Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tumejua kuwa Joginho ni hasara ndani ya hizi match mbili ambazo Gilmour amecheza. Ila kabla ya hapo tusidanganyane. Joginho akikaa nje tulikuwa tunaahuhudia kinachotokea. Otherwise kama wewe mwenzetu mpira wako unaangalizia live score...

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu dogo asilewe sifa tu apige kazi akipiga hivi hiv soon tutaanza kumsahau jorgi coz dogo pass zake nyingi ni za mbele halaf anakaba kwa nidham leo wale wakina sigurdson,tom davies na andre gomez pale kati walikuwa wamepotezwa

Barkley katika hiz mech 2 kacheza vizur ajitahid sasa awe na consistenc hii hii

Kule nyuma mech 2 ngumu japo yalikuwa mashindano tofaut tumetoka na cleansheet ni jambo bora na litazid kuimarisha confidenc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshabiki wa Arsenal dully Jr mbona simuoni akicomment maana si kawaida yake?
 
Gilmour kama akiwa consistent basi tunaweza kumaliza ndani ya top 4....

Joginho alikuwa anacheza sababu tu ilikuwa akikaa ndani team inatulia. Lakini hizi match mbili Gilmour alizocheza kidogo kumekuwa na utulivu na creativity.

Huyu Gilmour anajitahidi sana kukaba na yuko very accurate kwenye passes zake. Wote mnajua kuwa Joginho karibu kila match lazima ale yellow card sababu ya kukaba.







Sent using Jamii Forums mobile app
Jojigho uyu amekuwa hasara ..em acheni masikhara mazee...

Uyu dgo Gilmour yuko vizur lakin sio wa kumkabidhi mikoba ya hapo kati aise..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuwe serious. Joginho hawezi kukaba mara nyingi huwa anasababisha fouls wakati huyo dogo anakaba kwa nidhamu sana.

Pia hata kwenye kupandisha mashambulizi, Dogo yupo vizuri kuliko Joginho.

Kama akiwa na consistent Joginho tutamsahau nakuambia.

Unless km huangalii match.
Jojigho uyu amekuwa hasara ..em acheni masikhara mazee...

Uyu dgo Gilmour yuko vizur lakin sio wa kumkabidhi mikoba ya hapo kati aise..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuwe serious. Joginho hawezi kukaba mara nyingi huwa anasababisha fouls wakati huyo dogo anakaba kwa nidhamu sana.

Pia hata kwenye kupandisha mashambulizi, Dogo yupo vizuri kuliko Joginho.

Kama akiwa na consistent Joginho tutamsahau nakuambia.

Unless km huangalii match.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila zile sub za Lampard ilisimamisha mvua ya magoli. Asingefanya sub au asingebadilsiha shape magoli yangefika hata 6
 
Joginho mimi nilishamkataa tangu day 1. Mara kibao nilikuwa nauliza hapa:-

UMUHIMU WA JOGINHO KWENYE TIMU?

Wadau wakawa wanajibu anatuliza timu. Yule jamaa LONDON IS BLUE, alijibu vizuri kwamba Jognho anaicost sana timu kuliko anavyoituliza

1. Joginho hawezi kukaba, na akikaba anasababisha fouls kibao, Sari alimtumia KANTE kubeba madhaifu ya Joginho. Na SARI alisema Jognho akicheza bila Kante anakiwa terrible

2. Joginho hana speed, akipoteza mpira kurecover ni ngumu, akishapitwa na opponents hawezi kumkimbiza na kupora mpira labda amchezee rafu kwa nyuma

3. Uwepo wa Joginho timu inacheza sana nyuma na slow kuliko kwenda mbele.

4. Jamaa ana hasira sana ambazo zinacost timu mfano alivyomkaripia refa mechi na Bayern anakosa next mechi.

Kwangu Joginho analeta hasara kubwa kuliko hiyo faida ya kutuliza timu. Aondoke tuu.

Nafahamu ni mapema sana kumbebesha mzigo mzito Dogo Glimour ila dogo ameendelea kutufungua macho kwamba Joginho anatucost sana.

Lazima Lampard aingie sokoni kusajili mchezaji mwingine, joginho asepe Juve akaungane na baba yake Sari waendelee kuvuta bangi pamoja



Sent using Cash Money Wings
Tushgukuru tu haya majeruhi yamemuibua huko aliko Gilmour na Pedro na Giroud na naona Chemistry ya timu imetulia. Who knows sio ajabu mechi na Bayern tukawanyeshea mvua kule kule kwao kama Lampard hataibadilksiha timu
 
Akipona Kante ktkti inakuwa hivi
Kovacic - Gilmour - Kante
AU
Kovacic - Kante - Gilmour
 
Tuwe serious. Joginho hawezi kukaba mara nyingi huwa anasababisha fouls wakati huyo dogo anakaba kwa nidhamu sana.

Pia hata kwenye kupandisha mashambulizi, Dogo yupo vizuri kuliko Joginho.

Kama akiwa na consistent Joginho tutamsahau nakuambia.

Unless km huangalii match.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jana Gilmour alibadilishwa akaenda kucheza mbele baada ya James kuingia na kuchukua nafasi yake, kwa mara ya kwanza James anacheza MF. Na kule mbele alicheza vizuri ila magoli hayakuwepo
 
Baada ya mechi ya jana mashabiki wanatoa maoni yao

Fellow fan Rod Hood added: "I had no expectations for anything this season. I'd have been happy with relegation because I believe we could have come back from that.

The likes of Giroud and Pedro were used sparingly earlier in the season as Tammy Abraham, Christian Pulisic and Callum Hudson-Odoi made their mark. But with that trio out injured, the more senior frontline, including Willian, appeared rejuvenated on Sunday and all scored.
 
1583731682251.png
 
Tukimpiga bayern tukapita basi hapo tutakuwa unstoppable. Nadhani kituo kinachofuata kitakuwa ni Instanbul kwenye fainali.
Tushgukuru tu haya majeruhi yamemuibua huko aliko Gilmour na Pedro na Giroud na naona Chemistry ya timu imetulia. Who knows sio ajabu mechi na Bayern tukawanyeshea mvua kule kule kwao kama Lampard hataibadilksiha timu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usishangae kante akipona tunaanza kuboronga.... Ila Gilmour siyo wa kuanzia nje kwa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kweli kabisa maana hata msim umeanza tulikuwa na injury nyingi tu but team ikawa inaperform vizur tu baada wachezaj kupona hali ikabadilika

Me nahis wachezaj wakipona waendelee kusubir bench tu mpka pale itakapotokea ulazima wakuwa wanaanza as long as team ikawa inaperform vizur wasubir njee kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom