Hiv Huu ugonjwa ukaingia hapa bongo hiv kweli tutapona?ebu piga picha hapo kwenye daladala zetuUEFA have announced all Champions League and Europa League games next week have been postponed due to ongoing coronavirus pandemic.
The postponement also applies to UEFA Youth League, with further decisions on when these matches take place "to be communicated in due course".
As a consequence of the postponements, the UCL and UEL quarter-final draws scheduled for 20 March have also been postponed.
Asee hapo ni mtihani kweli kweliNashindwa kuusemea huu ugonjwa kwa bongo kwa sababu mara nasikia:-
- Watu weusi/Black people hawaupati cases zinazorepotiwa ni wazungu, Asians na mapatel
- Wanasema ugonjwa hauna nguvu kwenye maeneo ya joto.
Tanzania tumebaki dillema, na kwa kuwa hatujafunga mipaka yetu, wageni bado wanaingia nchini, inawezekana kweli mgonjwa wa corona hajaingia?
Naamini huu ugonjwa hauna nguvu ya kuadhiri na kusambaa kwa mazingira ya kwetu. Ila tuishi kwa tahadhari tuu
Kwa kweli kama unaathiri races zote kwa maeneo yote duniani, Mungu atunusuru na hilo janga likitua Tanzania kila nyumba itaweka msiba.
Maswali ya kujiuliza ugonjwa ukiingia nchini:-
- Je serikali itakuwa na budget ya kutosha kujikinga na kupambana na huu ugonjwa, vituo vya afya na wauguzi watatosha kuhudumia wagonjwa?
- Madawa ya matibabu mahosptalini na majumbani yatatosha?
- Familia zote zitaweza kumudu kununua mask za kufunika pua na mdomo? Serikali itakuwa na pesa ya kununua na kutugawia mask na gloves bure nchi nzima?
- Je serikali ikitoa amri ya kutotoka majumbani je familia zitakuwa na uwezo wa kifedha wa kununua akiba ya vyakula vya kutosha na kujifungia majumbani tukala na kunywa? Bila kufanya kazi kwa miezi kadhaa
- Je serikali itakuwa na budget ya kugawa/kusambaza vyakula kaya zote ambazo hazitakuwa na uwezo wa kuweka akiba ya chakula kwa kipindi ambacho itatolewa amri ya kutotoka majumbani kwa miezi kadhaa?
Sent using Cash Money Wings
Odoi ni mzungu yule? Kuna wale jamaa wa NBA wote ni blacks...Nashindwa kuusemea huu ugonjwa kwa bongo kwa sababu mara nasikia:-
- Watu weusi/Black people hawaupati cases zinazorepotiwa ni wazungu, Asians na mapatel
- Wanasema ugonjwa hauna nguvu kwenye maeneo ya joto.
Tanzania tumebaki dillema, na kwa kuwa hatujafunga mipaka yetu, wageni bado wanaingia nchini, inawezekana kweli mgonjwa wa corona hajaingia?
Naamini huu ugonjwa hauna nguvu ya kuadhiri na kusambaa kwa mazingira ya kwetu. Ila tuishi kwa tahadhari tuu
Kwa kweli kama unaathiri races zote kwa maeneo yote duniani, Mungu atunusuru na hilo janga likitua Tanzania kila nyumba itaweka msiba.
Maswali ya kujiuliza ugonjwa ukiingia nchini:-
- Je serikali itakuwa na budget ya kutosha kujikinga na kupambana na huu ugonjwa, vituo vya afya na wauguzi watatosha kuhudumia wagonjwa?
- Madawa ya matibabu mahosptalini na majumbani yatatosha?
- Familia zote zitaweza kumudu kununua mask za kufunika pua na mdomo? Serikali itakuwa na pesa ya kununua na kutugawia mask na gloves bure nchi nzima?
- Je serikali ikitoa amri ya kutotoka majumbani je familia zitakuwa na uwezo wa kifedha wa kununua akiba ya vyakula vya kutosha na kujifungia majumbani tukala na kunywa? Bila kufanya kazi kwa miezi kadhaa
- Je serikali itakuwa na budget ya kugawa/kusambaza vyakula kaya zote ambazo hazitakuwa na uwezo wa kuweka akiba ya chakula kwa kipindi ambacho itatolewa amri ya kutotoka majumbani kwa miezi kadhaa?
Nashindwa kuusemea huu ugonjwa kwa bongo kwa sababu mara nasikia:-
- Watu weusi/Black people hawaupati cases zinazorepotiwa ni wazungu, Asians na mapatel
- Wanasema ugonjwa hauna nguvu kwenye maeneo ya joto.
Tanzania tumebaki dillema, na kwa kuwa hatujafunga mipaka yetu, wageni bado wanaingia nchini, inawezekana kweli mgonjwa wa corona hajaingia?
Naamini huu ugonjwa hauna nguvu ya kuadhiri na kusambaa kwa mazingira ya kwetu. Ila tuishi kwa tahadhari tuu
Kwa kweli kama unaathiri races zote kwa maeneo yote duniani, Mungu atunusuru na hilo janga likitua Tanzania kila nyumba itaweka msiba.
Maswali ya kujiuliza ugonjwa ukiingia nchini:-
- Je serikali itakuwa na budget ya kutosha kujikinga na kupambana na huu ugonjwa, vituo vya afya na wauguzi watatosha kuhudumia wagonjwa?
- Madawa ya matibabu mahosptalini na majumbani yatatosha?
- Familia zote zitaweza kumudu kununua mask za kufunika pua na mdomo? Serikali itakuwa na pesa ya kununua na kutugawia mask na gloves bure nchi nzima?
- Je serikali ikitoa amri ya kutotoka majumbani je familia zitakuwa na uwezo wa kifedha wa kununua akiba ya vyakula vya kutosha na kujifungia majumbani tukala na kunywa? Bila kufanya kazi kwa miezi kadhaa
- Je serikali itakuwa na budget ya kugawa/kusambaza vyakula kaya zote ambazo hazitakuwa na uwezo wa kuweka akiba ya chakula kwa kipindi ambacho itatolewa amri ya kutotoka majumbani kwa miezi kadhaa?
Mwafrika hapati korona, mfano mzuri ni bwana Ighalo, yeye ndio aliyeleta korona ulaya na alibeba virusi hivyo katika mabegi yake ya nguo na yeye havikumwathiri.Nashindwa kuusemea huu ugonjwa kwa bongo kwa sababu mara nasikia:-
- Watu weusi/Black people hawaupati cases zinazorepotiwa ni wazungu, Asians na mapatel
- Wanasema ugonjwa hauna nguvu kwenye maeneo ya joto.
Tanzania tumebaki dillema, na kwa kuwa hatujafunga mipaka yetu, wageni bado wanaingia nchini, inawezekana kweli mgonjwa wa corona hajaingia?
Naamini huu ugonjwa hauna nguvu ya kuadhiri na kusambaa kwa mazingira ya kwetu. Ila tuishi kwa tahadhari tuu
Kwa kweli kama unaathiri races zote kwa maeneo yote duniani, Mungu atunusuru na hilo janga likitua Tanzania kila nyumba itaweka msiba.
Maswali ya kujiuliza ugonjwa ukiingia nchini:-
- Je serikali itakuwa na budget ya kutosha kujikinga na kupambana na huu ugonjwa, vituo vya afya na wauguzi watatosha kuhudumia wagonjwa?
- Madawa ya matibabu mahosptalini na majumbani yatatosha?
- Familia zote zitaweza kumudu kununua mask za kufunika pua na mdomo? Serikali itakuwa na pesa ya kununua na kutugawia mask na gloves bure nchi nzima?
- Je serikali ikitoa amri ya kutotoka majumbani je familia zitakuwa na uwezo wa kifedha wa kununua akiba ya vyakula vya kutosha na kujifungia majumbani tukala na kunywa? Bila kufanya kazi kwa miezi kadhaa
- Je serikali itakuwa na budget ya kugawa/kusambaza vyakula kaya zote ambazo hazitakuwa na uwezo wa kuweka akiba ya chakula kwa kipindi ambacho itatolewa amri ya kutotoka majumbani kwa miezi kadhaa?
Ni Mungu pekee ndie atakayetuepusha, atupe kinga tu ikija ipite kuleUnajua mkuu huu ugonjwa ukisambaa Tanzania tutapata tabu sana, mtanzania ana tabia akisikia kichwa kinauma anakunywa paracetamol haendi kupima.
Akipata mafua anakomaa hivyo hivyo anakula ngumu ya jeshi mpaka yakate yenyewe.
Hizo ni dalili za kwanza za Corona kichwa kuuma, mafua baadae mapafu yanapata shida hence matatizo ya upumuaji
Mtanzania akiona anapua kwa shida ndio atataka kwenda hospital kumbe ndio final stage, Kwaheri mwalimu.
Sent using Cash Money Wings
Mkuu sio kweli sisi tunauwezo wa kuhimili hiyo hali kuliko wazungu vyakula vyao vingi ni factory made wakati sisi tunatowa mashambani.......na kulima sio lazima tukusanyike sehemu mojaNi Mungu pekee ndie atakayetuepusha, atupe kinga tu ikija ipite kule
Wazungu wanaweza kujiisolate hata mwaka mzima bila kazi na wakala wakashiba
Sisi ukibakia chumbani mwezi tu si tutakufa sio kwa Korona bali kwa njaa
Mkuu covid 19 ni over rated hapa kwetu motority rate yake ni ndogo sana 3% ukilinganisha na majanga tunayo kutana nayo Africa Eboro tu motority elikua 25% maleria bado ni janga......sema tu hu ungojwa umeanzia kule wenye dunia na wanao miliki vyombo vya habari wemeutangazi paka basi, ila sio hatari kama Hiv aids hapa Africa na utawapa shida kweli kweli kwasabb ya winter na kinga ya mwili hafifu.
Aiseee corona inatafuna mapafu. Sijui unaelewa?Mkuu sio kweli sisi tunauwezo wa kuhimili hiyo hali kuliko wazungu vyakula vyao vingi ni factory made wakati sisi tunatowa mashambani.......na kulima sio lazima tukusanyike sehemu moja
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimonia ni hatari Africa kuliko corona na bado Mungu anatupigania tuondoe wasiwasi