Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yeah hilo la kwenye timu ya Taifa nmenote hicho kitu...
Watu wanmu underrate Barkley, tukiongea tunaambiwa hatujui mpira
Niliwahi kusema Barkley ana tourches chache lakini za maana kule mbele. Barkjley anachoboa tu ni zile nyakati akiwa kwenye form mbaya BUT kama ni Attacking MF Barkley ni bora kwenye ufungaji na kuasists
Ukifuatilia stats za Barkley kwenye timu ya Taifa ni bora kuliko ya Chelsea. Barkley akicheza na wachezaji wabovu anapotea, akicheza na wachezaji wa class ya juu anaonekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiv wana Chelsea hamumuoni kweli striker Wissam Ben Yedder wa monaco?dah! Huyu jamaa anafunga kweli kweli Hadi sasa ana goal 18 ingawa team yake haipo kwenye nafasi nzuri ya ligi, performance yao mbeya. lakini jamaa anatimiza majukumu yake vizuri.Huyu jamaa wanatakiwa uongozi wamchukue naona kabisa ana fit kabisa Chelsea na tutatoa nuksi pale mbele.Kingine kinachonivutia kwa huyu mwamba hakosagi magoal yakiboya Kama yule Tim Werner.
Halafu jamaa accuracy yake kubwa mno, 73% 51 shots 37 zimelenga goli
 
Conte ndo pekee aliweza kumtumia vizuri kante, DM walikuwa wawili kante na matic na partnership yao ilikuwa amaizing kante akipanda matic anarudi chini na matic akipanda kante anarudi chini faida kubwa alikuwa anaipata kante ni kwamba matic alikuwa vizuri kwenye kukaba na kupandisha team ata anapopanda kante kukaba juu uku kwa matic kunakuwa salama tukija kwa mfumo wa Lampard wapocheza jorginho na kante as DM jorginho ana kuwa mzigo cos hana quality aliyokuwa nayo matic yaani kante akienda kukabia mbele jorginho anakuwa si salama cos kukaba hawezi na huyu ndo anamuangusha Kante.Solution hapo pekee Lampard anatakiwa amrudishe kante acheze pekee eneo la mbele ya mabeki wanne au tatu na jukumu lake ni kukabia maeneo hayo hayo asiende mbele na mbele yake zaidi wawe viungo wawili wa pembeni acheze Gilmour na kovacic ata tukiwa tumepoteza mpira tuna mtu wa kuwalinda Gilmour, kovacic ambaye ni kante.
We ndo umeongea point angalau ukiangalia style ya uchezaji kati ya jog na Kante utaona Jog yupo very slow and Very weak hasa akiporwa Mpira na Opponent badala atumie akili yy anakwatua kwa nyuma na kusababisha hasara kwa timu hivyo anampa wakati mgumu sana kante kwenye kukaba wanaosema Jog ni mzuri hatubishi ila kama sote tunaifuatilia hii timu mtajua tu kwamba Jog pumzi imeshakata na suruhisho ni kuuzwa tu ili Kante acheze above the diffence lines na Gilm acheze mbele yake mtaona jinsi timu itakavyokuwa. Suala la Kante kufrop shishangai mana ni hali ya kawaida katika soka ila kusema kwamba Kante auzwe aisee huko ni kumkosea heshima kabisa wakuuzwa ni Jog ili wabaki wanaopandisha timu mbele na ambao wapo faster Kukaba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachambuzi wa mambo ndo wanasema hivyo
FB_IMG_1583855093091.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachambuzi wa mambo ndo wanasema hivyoView attachment 1383263

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa bahati nzuri Lewandowski hatacheza alipata majeruhi
Bayern vs Chelsea
Highlights: Chelsea 0-3 Bayern
Bayern: Neuer; Pavard, Boateng, Alaba, Davies; Kimmich, Thiago; Coutinho, Goretzka, Gnabry; Müller
Out: Lewandowski (leg), Perišić (ankle), Süle (knee)
Doubtful: Coman (thigh)
Chelsea: Arrizabalaga; Azpilicueta, Rüdiger, Zouma, Emerson; Barkley, Gilmour, Mount; Willian, Giroud, Pedro
Out: Alonso (suspended), Hudson-Odoi (hamstring), Jorginho (suspended), Van Ginkel (ACL)
 
Reece James ataendelea kuwa sub sijui hadi lini

Form nzuri aliyonayo Alonzo na Azpi kama kampten wa timu na bado anacheza aggressively inamfanya Lampard amuache Reece James kwenye starting XI na kubakia kuwa sub Midfield japo huko hachezi vizuri sana kama Gilmour
Akina Kovacic na Jorginho na Kante wakirudi sijui Reece atakuwa anacheza wapi?
Reece James form yake imeshuka kidogo kama ilivyoshuka ya Tomori ambapo pamoaj na form ya Jorginho na hapo ndipo Chelsea ilipoteleza tangu Desemba mwaka jana ilipotoka kwenye honeymoon ya kushinda
 
Huyo Emerson anaweza kutukaanga.
Kwa bahati nzuri Lewandowski hatacheza alipata majeruhi
Bayern vs Chelsea
Highlights: Chelsea 0-3 Bayern
Bayern: Neuer; Pavard, Boateng, Alaba, Davies; Kimmich, Thiago; Coutinho, Goretzka, Gnabry; Müller
Out: Lewandowski (leg), Perišić (ankle), Süle (knee)
Doubtful: Coman (thigh)
Chelsea: Arrizabalaga; Azpilicueta, Rüdiger, Zouma, Emerson; Barkley, Gilmour, Mount; Willian, Giroud, Pedro
Out: Alonso (suspended), Hudson-Odoi (hamstring), Jorginho (suspended), Van Ginkel (ACL)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reece James ataendelea kuwa sub sijui hadi lini

Form nzuri aliyonayo Alonzo na Azpi kama kampten wa timu na bado anacheza aggressively inamfanya Lampard amuache Reece James kwenye starting XI na kubakia kuwa sub Midfield japo huko hachezi vizuri sana kama Gilmour
Akina Kovacic na Jorginho na Kante wakirudi sijui Reece atakuwa anacheza wapi?
Reece James form yake imeshuka kidogo kama ilivyoshuka ya Tomori ambapo pamoaj na form ya Jorginho na hapo ndipo Chelsea ilipoteleza tangu Desemba mwaka jana ilipotoka kwenye honeymoon ya kushinda
James hajashuka kiwango eti kwasababu anakaa benchi sema Hapo Kocha anapenda kubadilisha mifumo na wachezaji ndo maana anakaa benchi mbona mechi ya Liverpool James kacheza vizuri.Wachezaji ambao viwango vyao vimedrop ni Emerson, Tomori pamoja na zouma ata pia Christensen kiwango chake kimechuka lakini anapata nafasi first eleven.Uwe mzee baba unaangalia mpira vizuri.
 
James hajashuka kiwango eti kwasababu anakaa benchi sema Hapo Kocha anapenda kubadilisha mifumo na wachezaji ndo maana anakaa benchi mbona mechi ya Liverpool James kacheza vizuri.Wachezaji ambao viwango vyao vimedrop ni Emerson, Tomori pamoja na zouma ata pia Christensen kiwango chake kimechuka lakini anapata nafasi first eleven.Uwe mzee baba unaangalia mpira vizuri.
Labda tuweke hivi hajashuka kiwango ila hayuko kwenye kiwango chake cha juu kama alivyoanza. Na pia form nzuri ya Alonzo imemforce kocha kumdrop
 
Labda tuweke hivi hajashuka kiwango ila hayuko kwenye kiwango chake cha juu kama alivyoanza. Na pia form nzuri ya Alonzo imemforce kocha kumdrop
James atachezeshwa endapo lampard atatumia mfumo wa 3-4-3 wa wing back ambapo alzipicueta ataunda line ya mabeki watatu na wing back wa kulia atakuwa James na wakushoto ni Alonso.
 
Labda tuweke hivi hajashuka kiwango ila hayuko kwenye kiwango chake cha juu kama alivyoanza. Na pia form nzuri ya Alonzo imemforce kocha kumdrop

UNAPOAMBIWA HUJUI MPIRA NI KWELI HUJUI MPIRA. SASA HAPA AMEANDIKA NINI? MAUTUMBO TUU, MUDA MWINGINE UNAKERA KUANDIKA VITU AMBAVYO HAVIKO HUKU DUNIANI LABDA HUKO KUZIMU.

NARUDIA TENA WEWE NI MAMLUKI, SHABIKI GANI WA CHELSEA UNASHINDWA KUJUA ROLE ZA WACHEZAJI NA MIFUMO YA KOCHA.
 
UNAPOAMBIWA HUJUI MPIRA NI KWELI HUJUI MPIRA. SASA HAPA AMEANDIKA NINI? MAUTUMBO TUU, MUDA MWINGINE UNAKERA KUANDIKA VITU AMBAVYO HAVIKO HUKU DUNIANI LABDA HUKO KUZIMU.

NARUDIA TENA WEWE NI MAMLUKI, SHABIKI GANI WA CHELSEA UNASHINDWA KUJUA ROLE ZA WACHEZAJI NA MIFUMO YA KOCHA.
KWANI WEWE UNAJUA MPIRA?
WEWE HUWEZI ELEZEA MAONI YAKO BILA KUFOKA NA KUKASHIFU
KWANI KUNA MCHEZAJI KIWANGO HAKISHUKI?
KUSEMA REECE KIWANGO KIMESHUKA KIDOGO TOFAUTI NA HUKO MWANZO IMEKUWA NDIO SIJUI MPIRA?
NIKIKUAMBIA BAADHI YA WADAU WAMEKUWA NA MAWAZO KAMA YANGU YA KIWANGO CHAKE KUSHUKA NAO HAWAJUI MPIRA?
SAWA KIWANGO CHAKE KIMEPANDA HAKIJASHUKA NA KOCHA KAMFANYA SUB MECHI MBILI AMBAZO TUMESHINDA YA LIVER NA EVERTON
WEKENI HUU UZI UTATUSAIDIA KULE MBELENI MSIMU HUU KABLA LIGI HAIJAISHA
 
James hajashuka kiwango eti kwasababu anakaa benchi sema Hapo Kocha anapenda kubadilisha mifumo na wachezaji ndo maana anakaa benchi mbona mechi ya Liverpool James kacheza vizuri.Wachezaji ambao viwango vyao vimedrop ni Emerson, Tomori pamoja na zouma ata pia Christensen kiwango chake kimechuka lakini anapata nafasi first eleven.Uwe mzee baba unaangalia mpira vizuri.
Huyo james sialianzia sub mechi ya liver au mechi ipi unayoizungumizia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Everton

KWANI WEWE UNAJUA MPIRA?
WEWE HUWEZI ELEZEA MAONI YAKO BILA KUFOKA NA KUKASHIFU
KWANI KUNA MCHEZAJI KIWANGO HAKISHUKI?
KUSEMA REECE KIWANGO KIMESHUKA KIDOGO TOFAUTI NA HUKO MWANZO IMEKUWA NDIO SIJUI MPIRA?
NIKIKUAMBIA BAADHI YA WADAU WAMEKUWA NA MAWAZO KAMA YANGU YA KIWANGO CHAKE KUSHUKA NAO HAWAJUI MPIRA?
SAWA KIWANGO CHAKE KIMEPANDA HAKIJASHUKA NA KOCHA KAMFANYA SUB MECHI MBILI AMBAZO TUMESHINDA YA LIVER NA EVERTON
KWA TAARIFA YAKO MECHI YA EVERTON ALICHEZA DM KWA SABABU NAFASI YAKE YA AWALI AKINA ALONZO NA AZPI VIWANGO VIKO JUU ZAIDI YAKE
WEKENI HUU UZI UTATUSAIDIA KULE MBELENI MSIMU HUU KABLA LIGI HAIJAISHA

WEWE NI MAMLUKI, UNAENDA MBELE UNARUDI NYUMA. HUELEWEKI HAPA. TUACHIE TIMU YETU
 
WEWE NI MAMLUKI, UNAENDA MBELE UNARUDI NYUMA. HUELEWEKI HAPA. TUACHIE TIMU YETU
wewe ni mamluki wala hujui kitu
form ya Reece James kushuka amesema kocha mwenyewe

But not picking James was definitely a departure from the standard XI of recent weeks. The academy product was a consistent selection on the right of defence in whatever formation Lampard picked for a couple of months – until yesterday.

He will be back, of course. Until Gilmour’s breakout, it was James receiving most of the plaudits as Chelsea’s outstanding academy talent of the season. But dropping him (not for the first time this season either) was an admission by Lampard that the full back’s form has dipped in recent weeks.

Lampard’s Reece James decision lost in Billy Gilmour hype
 
Everton

KWANI WEWE UNAJUA MPIRA?
WEWE HUWEZI ELEZEA MAONI YAKO BILA KUFOKA NA KUKASHIFU
KWANI KUNA MCHEZAJI KIWANGO HAKISHUKI?
KUSEMA REECE KIWANGO KIMESHUKA KIDOGO TOFAUTI NA HUKO MWANZO IMEKUWA NDIO SIJUI MPIRA?
NIKIKUAMBIA BAADHI YA WADAU WAMEKUWA NA MAWAZO KAMA YANGU YA KIWANGO CHAKE KUSHUKA NAO HAWAJUI MPIRA?
SAWA KIWANGO CHAKE KIMEPANDA HAKIJASHUKA NA KOCHA KAMFANYA SUB MECHI MBILI AMBAZO TUMESHINDA YA LIVER NA EVERTON
KWA TAARIFA YAKO MECHI YA EVERTON ALICHEZA DM KWA SABABU NAFASI YAKE YA AWALI AKINA ALONZO NA AZPI VIWANGO VIKO JUU ZAIDI YAKE
WEKENI HUU UZI UTATUSAIDIA KULE MBELENI MSIMU HUU KABLA LIGI HAIJAISHA
James ni kijana mdogo alafu ana option mbili moja ya kucheza upande wa alzipicueta au wing back wa kulia. Kukaa kwake bench haimaanishi kiwango chake kimechuka bali alzipicueta yupo kwenye form as usual ndomaana nikakuambia nafasi yake ipo kwenye mfumo wa 3-4-3 lakini James Kama James ni mchezaji mzuri na kiwango kipo pale pale akijashuka ukitaka kujua Hilo nitajie mechi ambayo wear umeona
Huyo james sialianzia sub mechi ya liver au mechi ipi unayoizungumizia

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliingia Kama sub dhidi ya Liverpool na akacheza vizuri
 
Shabiki asiyejua mpira utamjua tu kwa namna anavyodakia mada
Mchezaji kushuka kiwango ni jambo la kawaida wala sio la kushangaa na kuanza kutema maneno magumu
Tumeshuhudia mara nyingi hata wachezaji wa class ya juu kama akina Messi viwango vinapanda na kushuka
ukimchukulia mchezaji mmoja mmoja wa Chelsea hakuna hata mmoja ameenda mfululizo na kiwango kile kile, aidha safari hii imepanda au safari nyingine imeshuka, kuanzia kwa makipa, mabeki, viungo na washambuliaji. Sasa mimi leo kusema Reece James kiwango chake kimeshuka kidogo wala sio sana nashambuliwa sijui mpira
Na ndio maana mchezaji kama Alonso kiwango chake kilishuka muda mrefu tangu Enzi za Sarri mpaka Emerson akampiku, au tumeshasahau. Leo hii Alonso amekuwa hot cake kwa sababu kiwango chake kimepanda na cha Emerson kimeshuka. Muda mrefu kiwango cha Pedro kilishuka mpaka wengi humu tukasuggest aondoke muda wake ukiisha,, leo kiwango kimerudi maoni tofauti. Mount kiwango chake kinashuka kinapanda tena yeye ndio kiwango kinabadilika hapa na hapa. Tammy Abrahama alipokuwa anatumbukiza vizuri alisifiwa sana, leo form yake imedrop mpaka anaambiwa hajui mpira. Mimi naamini hakuna mchezaji ambaye yuko immune na kiwango kushuka au kupanda na kama yupo mniambie. Wanachotofautiana wachezaji kwenye viwango kushuka au kupanda ni
  1. Lini (When)
  2. Itachukua muda gani (How long) na
  3. Kiwango cha kushuka au kupanda (Degree of dipping)
Sasa hata Lampard aliyesema kiwango cha Reece kimeenda chini katika wiki za hivi karibuni hajui mpira??
Lampard anaendelea kusema kuwa hata Desemba mwaka jana kiwango cha Reece kilishuka kidogo akaamua kumpa break na kwa hiyo hata hii break ya sasa sio ngeni.
Reference hii hapa: Lampard’s Reece James decision lost in Billy Gilmour hype
 
James ni kijana mdogo alafu ana option mbili moja ya kucheza upande wa alzipicueta au wing back wa kulia. Kukaa kwake bench haimaanishi kiwango chake kimechuka bali alzipicueta yupo kwenye form as usual ndomaana nikakuambia nafasi yake ipo kwenye mfumo wa 3-4-3 lakini James Kama James ni mchezaji mzuri na kiwango kipo pale pale akijashuka ukitaka kujua Hilo nitajie mechi ambayo wear umeona
Aliingia Kama sub dhidi ya Liverpool na akacheza vizuri
Hivi unayo habari kuwa mechi ya Everton alicheza kiungo badala ya Gilmour na kwamba kule Wigan alikuwa pia akicheza kama kiungo mbali na RB?
Katika Chelsea nafikiri ni Reece ni mmojawapowa wachezaji wachache wenye uwezo wa kucheza nafasi nyingi, 3 or more
 
Shabiki asiyejua mpira utamjua tu kwa namna anavyodakia mada
Mchezaji kushuka kiwango ni jambo la kawaida wala sio la kushangaa na kuanza kutema maneno magumu
Tumeshuhudia mara nyingi hata wachezaji wa class ya juu kama akina Messi viwango vinapanda na kushuka
ukimchukulia mchezaji mmoja mmoja wa Chelsea hakuna hata mmoja ameenda mfululizo na kiwango kile kile, aidha safari hii imepanda au safari nyingine imeshuka, kuanzia kwa makipa, mabeki, viungo na washambuliaji. Sasa mimi leo kusema Reece James kiwango chake kimeshuka kidogo wala sio sana nashambuliwa sijui mpira
Na ndio maana mchezaji kama Alonso kiwango chake kilishuka muda mrefu tangu Enzi za Sarri mpaka Emerson akampiku, au tumeshasahau. Leo hii Alonso amekuwa hot cake kwa sababu kiwango chake kimepanda na cha Emerson kimeshuka. Muda mrefu kiwango cha Pedro kilishuka mpaka wengi humu tukasuggest aondoke muda wake ukiisha,, leo kiwango kimerudi maoni tofauti. Mount kiwango chake kinashuka kinapanda tena yeye ndio kiwango kinabadilika hapa na hapa. Tammy Abrahama alipokuwa anatumbukiza vizuri alisifiwa sana, leo form yake imedrop mpaka anaambiwa hajui mpira. Mimi naamini hakuna mchezaji ambaye yuko immune na kiwango kushuka au kupanda na kama yupo mniambie. Wanachotofautiana wachezaji kwenye viwango kushuka au kupanda ni
  1. Lini (When)
  2. Itachukua muda gani (How long) na
  3. Kiwango cha kushuka au kupanda (Degree of dipping)
Sasa hata Lampard aliyesema kiwango cha Reece kimeenda chini katika wiki za hivi karibuni hajui mpira??
Lampard anaendelea kusema kuwa hata Desemba mwaka jana kiwango cha Reece kilishuka kidogo akaamua kumpa break na kwa hiyo hata hii break ya sasa sio ngeni.
Reference hii hapa: Lampard’s Reece James decision lost in Billy Gilmour hype

WE HUJUI KITU BENDERA FUATA UPEPO MITANDAONI.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom