42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,835
- 8,874
Yeah hilo la kwenye timu ya Taifa nmenote hicho kitu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanmu underrate Barkley, tukiongea tunaambiwa hatujui mpira
Niliwahi kusema Barkley ana tourches chache lakini za maana kule mbele. Barkjley anachoboa tu ni zile nyakati akiwa kwenye form mbaya BUT kama ni Attacking MF Barkley ni bora kwenye ufungaji na kuasists
Ukifuatilia stats za Barkley kwenye timu ya Taifa ni bora kuliko ya Chelsea. Barkley akicheza na wachezaji wabovu anapotea, akicheza na wachezaji wa class ya juu anaonekana
Sent using Jamii Forums mobile app