ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,056
Hii kweli kabisa maana hata msim umeanza tulikuwa na injury nyingi tu but team ikawa inaperform vizur tu baada wachezaj kupona hali ikabadilika
Me nahis wachezaj wakipona waendelee kusubir bench tu mpka pale itakapotokea ulazima wakuwa wanaanza as long as team ikawa inaperform vizur wasubir njee kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono. Kwa kukaa nje kwa muda mrefu
Sent from my iPhone using JamiiForums