lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,488
Mimi bado nipo 50/50 kwa Kante. Naona kama hawezi fit kwenye falsafa ya Lampard. Tukimuuza bei kubwa tutawaleta wachezaji wazuri wa bei poa na mshahara poa na bado wakaleta Chemistry nzuri na akina Billy, Kovacic na hao wengineo kwenye falsafa ya LampardWachawi ni hawa
Jognho
Bakley homa ya kipindi
Odoi
Tammy
Hapana
Kwa upande wangu
Kante / kovacic na girlmour inatosha
Maana watamsaidia girl kukaba si kama Jognho ana rafu kijiji na kukaba awezi na ni kupeleke mipira side
Naona kama Kante akiwekwa pale hataongeza kitu, tutarudi kule kule kwenye inconsistency