lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,492
ALONSO alitaka kumuua kipa. Jamaa anajua sana kufunga kuliko kukaba.
Let's go blues must win game
Alishawahi kucheza kama winga
Ndio maana wing-back anaimudu
ALONSO alitaka kumuua kipa. Jamaa anajua sana kufunga kuliko kukaba.
Let's go blues must win game
Asee intake radhi mkuu siwezi andika izo mambo ..apa mwanzo mwisho tupigwe tushinde ..bado nipo ..This is Chelsea ..Huyu ni Ollachuga Oc amekuja kwa style ya kuongea kweli bila kuremba,
Mimi nipo pamoja nae maana anaongea msivyopenda kusikia.....ila ndio ukweli mchungu.
Lampard out
Sent using Jamii Forums mobile app


Wewe ni Mamluki mkuu.MECHI NA BOURNEMOUTH TUNAFUNGWA KAMA KAWAIDA YETU, HATUNA UBAVU WA KUMFUNGA.
MAN U LOST
TOTE WIN
BAYERN LOST
BOUNER LOST
LAMPARD OUT
mzee vipi hali hapo kwenu longido??
Muda wote wapo kwetu tu jukwaani ona sasa back to back ya vipigo inanukiaHahahahahahahahah Mnapoteza muda kwenye uzi wa Arsenal kule mnajisahaulisha mnalitimu bovu kama chujio la nazi
Msema UKWELI. Japo kwenye Lampard Out ndo sidhani.MECHI NA BOURNEMOUTH TUNAFUNGWA KAMA KAWAIDA YETU, HATUNA UBAVU WA KUMFUNGA.
MAN U LOST
TOTE WIN
BAYERN LOST
BOUNER LOST
LAMPARD OUT
Nashangaa kipa wao namba moja kawekwa benchi sijui nini kimemsibuHawa makipa wenu mnawaokotaga dampo gani.