Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 16,025
- 27,365
Watu wa namna hii ambao wanahisi kuwasilisha hoja zao mpaka watukane ni kuwaacha. Kwanza wanaonekana tu ni vijana wadogo wasiokuwa na uelewa kuwa humu kuna watu umri wa baba na kaka zao.
MPUUZI NA APUUZWETimu iko top four halafu shabiki mmoja ambaye hajaachive chochote tofauti na orgasms kadhaa kwa demu wake anamwita kocha takataka ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app