Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Liverpool pumzi imekata ikiwa Chelsea watakaza wanaweza kupata sare,ila timu ya kukaza ndio hawana.
Mechi ya kwanza ya ligi Liverpool alipack mabasi, hii ya sasa imeshachoka
Forward jana kama vile wana mgomo baridi, beki wanamtegemea Lovren na VVD kachoka kila mechi yupo
 
Huyu dogo wa Watford Ismaila Sarr mzuri sana, bonge la finisher what a player 22 yrs

Sent using Cash Money Wings
Katika shopping waliofanya watford ndie mchezaji ghali kwa historia ya klabu. kanunuliwa paundi mil 30
 
Acha kuwa kigeugeu fala wewe. Nilivyokua nauliza kwa nini hapangwi ulikua unapinga upuuzi. Vitu kama hujui ni bora ukapga kimya.
Hata avatar yako inaendana na ufala ulio nao kenge mkubwa wewe, ukiona nanyamaza kutojibu utumbo wako usione ni fala kama wewe
Onyesha ni wapi nilipinga. Wote humu tunajua Alonso hafai kuwa beki na bado nitapinga Alonso kuwa LB au hujui tofauti ya wing-back na LB
 
Hata avatar yako inaendana na ufala ulio nao kenge mkubwa wewe, ukiona nanyamaza kutojibu utumbo wako usione ni fala kama wewe
Onyesha ni wapi nilipinga. Wote humu tunajua Alonso hafai kuwa beki na bado nitapinga Alonso kuwa LB au hujui tofauti ya wing-back na LB

FUNGA BAKULI LAKO ZUMBUKUKU WEWE, MNAFIKI MKUBWA UNANG'ATA NA KUPULIZA, WEWE SIO SHABIKI WA CHELSEA UNATUSANIFU HAPA.
 
Drinkwater mambo mabaya. Tusitegemee kupiga pesa ya mauzo kwake VillaView attachment 1373394View attachment 1373395
Board ya chelsea ingekuwa inaweza ingterminate contract za wachezaj ambao hata loan bado wanasumbua ili ijulikane kabisa imepata hasara
Na sasa hiv loan ya kuanzia wachezaj wenye miaka 22 mwisho ni 6 tu

Hawa wachezaji wengine wanajaza nafasi tu ndan ya tim na kula hela ya bure
 
AFC BOURNEMOUTH 2-2 CHELSEA, Premier League: Post-match reaction, ratings

By Mlanzi

Nikisema nianze kumzungumzia Marcos Alonso Mendoza sitamaliza leo! Itoshe tu kusema huyu ni mwamba aliyeliokowa jahazi..!!! Long live MarcosAlonso.

Unajuwa kunamuda huwa hivi Chelsea tumekwama wapi!? Yani tumetoka kuwa na Striker tishio kama Didier Drogba, Diego Costa mpaka kudondokea kwa Michy Batshuayi!! Yani kutoka kuwa na Midfielder aina ya Frank Lampard mpaka kuwa na akina Ross Barkley na Mason Mount!! Lazima kuna sehemu tunakwama haiwezekani kutoka kuwa na defence ya akina Asley Cole, John Terry, Carvalho mpaka kuwa na akina Kurt Zouma na Tomori. Mungu atuonekanie kwa kweli haiwezekani tutoke kuwa na ma keeper kama Cudicini, Petr czech na leo tuwe na akona Willy Caballero pamoja na Kepa Arrizabalaga Revuelta.

Haki ya nani tena lazima kuna mkono wa mtu hapa! Ndo maana team inashindwa ku competes na vitimu vidogo kama Bournemouth. Yaani clean sheets saba katika all competitions msimu mzima? absolutely pathetic.

Anyway, twendezetu dimbani nadhani kijana Marcos Alonso alikuwa wa moto sana kiasi cha kuiweka Chelsea mbele kwa bao tamu linaloweza kumtoa nyoka pangoni katika dakika ya 33 kipindi cha kwanza. Bournemouth walifanikiwa kupata bao la kusawazisha dakika ya 54 kupitia kwa Jefferson Lerma.

Haikuwachukuwa muda mrefu Bournemouth kuongeza bao la pili kupitia kwa Josh King dakika ya 57 na kuufanya mchezo kuwa mgumu kwa upande wetu. Zikiwa zimebakia dakika tano katika dakika za kawaida mchezo kuisha Marcos Alonso tena alichana nyavu za Bournemouth na kufanya matokeo kuwa mbili kwa mbili na mapaka dakika tusini plus zinakamilika tulifanikiwa kuondoka na point moja inayotuweka hapo hapo tulipo katika nafasi ya nne.

Chelsea tulipata chances kadhaa dakika za lala salama but ubutu wa strikers wetu tulishindwa kuzibadilisha na kuwa mabao.

Kwa upande wa Frank Lampard aliendelea na mfumo wa 3-4-3 ukiwa ni mchezo wa tatu mfurulizo huku akiwa amefanya changes mbili kutoka katika starting lineups dhidi ya Spurs na Bayern Munich ambapo Fikayo Tomori alikuwa amechukuwa mikoba ya Antonio Rüdiger na Pedro Rodriguez kuchukuwa mikoba ya Ross Barkley.

Ilimlazimu kubadilisha shape na kuanza kutumia 4-2-3-1 Baada ya ujio wa Willian pamoja na Ross Barkley kuwapumzisha Jorginho na Fikayo Tomori.

Baadae Michy Batshuayi aliingia upande wa Olivier Giroud.

Chelsea tunabakia nafasi ya nne na kuwaacha Manchester United kwa points nne wakiwa na match mkononi ambapo watakuwa away hapo kesho kukipiga dhidi ya Everton.

Next up: tutakipiga dhidi ya Liverpool kwenye FA Cup siku ya Juma nne.

KTBFFH

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WACHEZAJI WAODESERVE KUENDELEA KUBAKI CHELSEA

RUDGER
CHRISTENSEN
ALONSO
KANTE
PULISIC
KOVACIC
JAMES
AZPILICUETA

WENGINE WALIOBAKI NI MAVI MATUPU

DRINK WATER
BARKLEY
BATSHUAYI
EMASON
JOGINHO
MOUNT
ZAPPACOSTA
ABRAHAM
PEDRO
ODOI
CABALERO
KEPPA
BAKAYOKO
 
Hata avatar yako inaendana na ufala ulio nao kenge mkubwa wewe, ukiona nanyamaza kutojibu utumbo wako usione ni fala kama wewe
Onyesha ni wapi nilipinga. Wote humu tunajua Alonso hafai kuwa beki na bado nitapinga Alonso kuwa LB au hujui tofauti ya wing-back na LB
Nawaona nawaona katika ubora wenu.

London is Red.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom