DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Rossbarkley solo goal
Chelsea 2 Liverpool 0
Rossbarkley solo goal
Chelsea 2 Liverpool 0
Mzee baba punguza matusi sio Jambo zuri kabisaChoko wewe si ulikua unasema akicheza huyo dogo Gilmour timu inazidiwa. Leo unajitekenya nini na kucheka mwenyewe fala ww.
Nimeenda kwenye dictionary kujihakikishia maana ya jina lako SCRAP looh kumbe ni kile kile nilichokua nafikiria.wanashinda wapi hawa na ukute kikosi atakachopangiwa ni kikosi cha pili...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nyie watatu wewe huyo matusi na CAPITAL LETTER si ndio huwa mnasapotiana kutukanana?Mzee baba punguza matusi sio Jambo zuri kabisa
Tunasapotiana kwenye hoja ila sio kwenye matusiMkuu nyie watatu wewe huyo matusi na CAPITAL LETTER si ndio huwa mnasapotiana kutukanana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mtu yoyote anayetukana hata aongee hoja gani siwezi msapotiTunasapotiana kwenye hoja ila sio kwenye matusi
We jamaa jana tungefungwa ungekuja kumponda lampard kwa kumuanzisha barkley na gilmourChoko wewe si ulikua unasema akicheza huyo dogo Gilmour timu inazidiwa. Leo unajitekenya nini na kucheka mwenyewe fala ww.
Wanaoongoza kutukana na kuponda kila kitu huwa hawaeleweki wanataka nini.? Wanaboa mkuu. Yan wao hawana jema kabisa
Yule dogo anajua sanaMitandaoni naona wanatoa habari kwamba jana Fabrigas mpya ameonekana chelsea.
Nimeangalia highlights zake jana kweli Dogo Glimour amekichafua katikati, fabinho kala chenga za mauzi na kofi juu.
Mimi Sio muumini wa madogo ila huyu amenikosha sana. Napenda dogo kama huyu mwenye kipaji cha kuzaliwa na sio cha kuforce ukubwani.
Anapokea mpira anaangalia wapi nafasi ipo anatoa pass kama hataki vile ndio imefika hiyo. Hapanic ametulia. Anaurahisisha mpira what a player.
Huyu dogo alindwe kiwango chake, na usalama wake kwa gharama yeyote.
Dogo ni future secret weapon ya chelsea, tumempata xavi/iniesta wetu.
Sent using Cash Money Wings
Kuna mtu banda umiza hapa ubungo nilimsikia akisema huyu ndio Barkley wa Everton
Shida ya barkley jana kacheza vizuri game ijayo anacheza hovyo hana consistenc
Dah kama nilijua tu..Apo zote tunaua uyu Liverpool keshachoka tunamla kichwa vizuri tu..
Kisha tunaenda malizia kwa Everton pale
Sent using Jamii Forums mobile app


Choko wewe si ulikua unasema akicheza huyo dogo Gilmour timu inazidiwa. Leo unajitekenya nini na kucheka mwenyewe fala ww.
Billy Gilmour what a talent
Mitandaoni naona wanatoa habari kwamba jana Fabrigas mpya ameonekana chelsea.
Nimeangalia highlights zake jana kweli Dogo Glimour amekichafua katikati, fabinho kala chenga za mauzi na kofi juu.
Mimi Sio muumini wa madogo ila huyu amenikosha sana. Napenda dogo kama huyu mwenye kipaji cha kuzaliwa na sio cha kuforce ukubwani.
Anapokea mpira anaangalia wapi nafasi ipo anatoa pass kama hataki vile ndio imefika hiyo. Hapanic ametulia. Anaurahisisha mpira what a player.
Huyu dogo alindwe kiwango chake, na usalama wake kwa gharama yeyote.
Dogo ni future secret weapon ya chelsea, tumempata xavi/iniesta wetu.