Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hahahaha gongowazi wa England. Mna tabu sana ndugu zangu hadi Bournemouth dadeeki.
Lampard tumbadilisheni aje pale Jangwani aisuke gongowazi yetu timu ya wananchi.
Top 4 ileeee wanaume tunakuja sasa na Leicester naona kashachoka tayari Chelsea mkapambane na Arsenal wanazengo wenzenu wa London

#GGMU
 
Timu iko top four halafu shabiki mmoja ambaye hajaachive chochote tofauti na orgasms kadhaa kwa demu wake anamwita kocha takataka ?
TRUTH MKUU, LAMPARD TAKATAKA HAKUNA KOCHA HAPO, ANAFUNDISHA MPIRA WA KITOTO, MBINU ZA KITOTO KWENYE LIGI NGUMU, HALAFU LIKICHWA LAKE SIJUI HUKO NDANI LIMEJAA MAGUNZI MMBISHI KUBADILIKA.

KIUFUPI LAMPARD ANAFAA KUWA KOCHA WA TIMU YA WANAWAKE CHELSEA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshaurini kocha wenu amsajili Mbwana Samatta au Isamila Sarr, huwezi kutegemea Alonso na ruediger wafunge magoli kila mechi.
 
Nyie arsenal mmeshindwa kumsajili ili awaokoe na sare mnazopata kila siku.?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui top scorer EPL anatoka timu gani?? Ebu tamka hilo jina kwanza, Pierre Emerick Aubameyaang, hapo bado tuna Eddie Nketiah na Martinelli ambao ni clinical finishers kuliko U23 yoyote Epl.Mchukueni Samatta mkuu muipeperushe bendera ya TZ.
 
Hujui top scorer EPL anatoka timu gani?? Ebu tamka hilo jina kwanza, Pierre Emerick Aubameyaang, hapo bado tuna Eddie Nketiah na Martinelli ambao ni clinical finishers kuliko U23 yoyote Epl.Mchukueni Samatta mkuu muipeperushe bendera ya TZ.
Na bado mmetolewa kule futuhi, na mwakani hata futuhi hamtashiriki!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom