Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

KOCHA wa zamani wa Liverpool, Graeme Souness anaamini Chelsea itachangamkia fursa ya kwenda kumsajili kipa David De Gea.
Kipa huyo wa Manchester United, De Gea amekuwa akifanya makosa mengi tangu msimu uliopita jambo linalozua mjadala mzito kuhusu hatima yake kwenye kikosi hicho cha Old Trafford.
Makosa yake ya mara kwa mara yamemfanya Kocha Ole Gunnar Solskjaer kuanza kumzungumzia kipa kinda, Dean Henderson anayecheza kwa kiwango kikubwa kwa mkopo huko Sheffield United, jambo ambalo kama atarudi Old Trafford, basi De Gea anaweza kuwekwa sokoni.
Na sasa Souness anafahamu wazi Chelsea ina shida kwenye goli lake baada ya kipa Kepa Arrizabalaga kufanya makosa mengi, hivyo kama Man United itafungua milango ya kumuuza De Gea, atamtaka Kocha Frank Lampard kuchangamkia fursa hiyo ya kwenda kumsajili Mhispaniola huyo akakipige huko Stamford Bridge.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei ya Jadon Sancho imewekwa hadharani
  • Dollar 150M
  • Euro 140M AU
  • Paundi 120M
Chelsea, Liverpool na Manchester United wanamtaka
 
Chelsea hatuwezi kusajili huyo takataka mwendawazimu mvuta bangi.

Chelsea tuko kwenye mchakato wa kumsajili Oblak, kwa deal ya KEPPA + pesa.
kumbe mmeshakili Keppa ni mbovu na ela yote mliyotoa kumnunua.unaweza ukamlinganisha na LENO?!
 
Chelsea 1 Liv 0
Adrian alijaribiwa kwanza na Willian akapangua ndani ya dk akatupiwa shuti lingine akashindwa kupangua likawa goli
 
Kipindi cha kwanza Kepa kaokoa zaidi ya saves 5 hivi
 
Turudishieni goroud wetu kanoga
 

Attachments

  • 1583270729892.gif
    1583270729892.gif
    2.8 MB · Views: 4

Similar Discussions

Back
Top Bottom