SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,449
In reality. Bournemouth yupo kwenye form zaidi ya Chelsea. Katika matches tano za mwisho, Bournemouth ameshinda matches mbili, huku Chelsea akishinda mechi moja tu! ... kwa mujibu wa stats, Bournemouth ni hatari kuliko Chelsea ambaye anamiliki mpaka 75% ya mpira lakini anashindwa kwa shots on target na Bournemouth mpaka dkk 86.
Ni wazi timu zishajua mtindo wa Lampard, anaendekeza kucheza na mpira bila madhara, hivyo mpe acheze nao, sisi tukipata ni counter mpaka goli. Kaadhibiwa hivi mara kadha wa kadha lakini bado hajataka kujifunza wapi anakosea, hii maana yake ni MWANA KUYALILIA, MWANA KUYAPATA.
Ndio waweza sema ana wachezaji substandard lakini kocha mzuri ni yule anayeweza ku-utilise kwanza alichonacho ingali akiwa anatafuta anachokosa. THIS MAN DOESNT LEARN FROM HIS MISTAKES
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wazi timu zishajua mtindo wa Lampard, anaendekeza kucheza na mpira bila madhara, hivyo mpe acheze nao, sisi tukipata ni counter mpaka goli. Kaadhibiwa hivi mara kadha wa kadha lakini bado hajataka kujifunza wapi anakosea, hii maana yake ni MWANA KUYALILIA, MWANA KUYAPATA.
Ndio waweza sema ana wachezaji substandard lakini kocha mzuri ni yule anayeweza ku-utilise kwanza alichonacho ingali akiwa anatafuta anachokosa. THIS MAN DOESNT LEARN FROM HIS MISTAKES
Sent using Jamii Forums mobile app