lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,489
Na Marina kashasema wachezaji hawatauzwa nje ya bei inayotakiwa, hapo anamsema Alonso kwenda Intermilan wao (Marina) alitaka mil 35 na Inter wao walitaka kwa bei rahisi zaidi
Na Marina kashasema wachezaji hawatauzwa nje ya bei inayotakiwa, hapo anamsema Alonso kwenda Intermilan wao (Marina) alitaka mil 35 na Inter wao walitaka kwa bei rahisi zaidi
Wachezaji wote wauzwe wabaki hao makinda, mtakuja kuniunga mkono muda mfupi ujao, Kante ni DM mzuri na mimi sijakataa. Hajafit kwenye mfumo na falsafa ya LampardHuyo jamaa akili Hana yaani umuuze best defensive midfielder in the world alafu huwaache wachezaji mizigo Kama Barkley, Emerson n.k
Wachezaji wote wauzwe wabaki hao makinda, mtakuja kuniunga mkono muda mfupi ujao, Kante ni DM mzuri na mimi sijakataa. Hajafit kwenye mfumo na falsafa ya Lampard
HATUWEZI KUMPA MUDA HUYO KIAZI. KWA UBORA GANI ALIONAO WA KUFUNGWA MECHI TATU NA MAN U.
AKAFUNDISHE HUKO CHAMPIONSHIP
KOCHA UNAFUNDISHAJE MPIRA WA HIVI WA KUACHA MAGAP KAMA SIO UKILAZA.
MECHI NA BOURNEMOUTH TUNAFUNGWA KAMA KAWAIDA YETU, HATUNA UBAVU WA KUMFUNGA.
MAN U LOST
TOTE WIN
BAYERN LOST
BOUNER LOST
LAMPARD OUT
Huyu ni Ollachuga Oc amekuja kwa style ya kuongea kweli bila kuremba,Kwanini aje baada ya kufungwa na Bayern?
Siku zote alikuwa wapi?
Kama ulivyojibu huyo alishakuwa members hapa na anafahamika, amekuja na ID nyingine kutuvuruga.
Kwa hiyo namim nikisena arteta out nitakuwa nimekosea sidhan tangu amekuja ameshafika mech 5 za ushindi kweny premier leagueHuyu ni Ollachuga Oc amekuja kwa style ya kuongea kweli bila kuremba,
Mimi nipo pamoja nae maana anaongea msivyopenda kusikia.....ila ndio ukweli mchungu.
Lampard out
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni Ollachuga Oc amekuja kwa style ya kuongea kweli bila kuremba,
Mimi nipo pamoja nae maana anaongea msivyopenda kusikia.....ila ndio ukweli mchungu.
Lampard out
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nasema Lampard sio kocha wa kufundisha Chelsea uwezo wake ni mdogo tangu niijue Chelsea sijawahi ona imefungwa mara tatu na manyumbu kwa msimu mmoja tena kwa kocha kama ole bora ingekuwa Manchester ile ya fagi sio hii ya kawaida kabisa unamwekaji world striker nje na kupanga vitoto ambavyo vinaruka ruka tu in short simwoni Lampard akiwapa kombe lolote lile hata msimu ujaoB:- Madhaifu ya Mbinu/mifumo ya Lampard:-
Kutokana na kitendo cha wachezaji wetu viungo kukabia juu inapekea kuacha gap kubwa katikati, na mabeki wetu wanabaki wazi bila ulinzi kinachofuata ni opponent kutupigia counter attack au penetration pass kwenda eneo tulioacha wazi. Mfano mzuri man u alitufunga kwa style hiyo, Leicester city pia.
Na hata morinho alishasema hilo kabla ya kuwa kocha Tote kwamba Chelsea inaacha gap kubwa katikati hakuna mbanano kati ya viungo wakabaji na mabeki wetu.
Na mbaya zaidi defensive yetu sio nzuri sana linapotekea shambulio la moja kwa moja wanachanganyikiwa kwenye kumark adui. View attachment 1371292View attachment 1371293View attachment 1371294View attachment 1371295View attachment 1371297
Ndo maana nasema Lampard sio kocha wa kufundisha Chelsea uwezo wake ni mdogo tangu niijue Chelsea sijawahi ona imefungwa mara tatu na manyumbu kwa msimu mmoja tena kwa kocha kama ole bora ingekuwa Manchester ile ya fagi sio hii ya kawaida kabisa unamwekaji world striker nje na kupanga vitoto ambavyo vinaruka ruka tu in short simwoni Lampard akiwapa kombe lolote lile hata msimu ujao
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo huyo ole unaemsema kashinda etihad mara mbili mfululizoNdo maana nasema Lampard sio kocha wa kufundisha Chelsea uwezo wake ni mdogo tangu niijue Chelsea sijawahi ona imefungwa mara tatu na manyumbu kwa msimu mmoja tena kwa kocha kama ole bora ingekuwa Manchester ile ya fagi sio hii ya kawaida kabisa unamwekaji world striker nje na kupanga vitoto ambavyo vinaruka ruka tu in short simwoni Lampard akiwapa kombe lolote lile hata msimu ujao
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo huyo ole unaemsema kashinda etihad mara mbili mfululizo
Tim yet haina watu wanaoweza kupiga counter kama man utd na hatuwez kuzuia kwa mda mrefu kama man utd wanavyofanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi kabisa!! Mi naona hawataki kukubaliana na ukweli uliopo kuna maana gan una dominate Mpira wenzio wakienda mbele tu imoMECHI YA 1 NA MAN U - TUMEFUNGWA MAGOLI YA COUNTER LAMPARD HAKUJIFUNZA
MECHI YA 2 NA MAN U - MAGOLI YA COUNTER LAMPARD HAKUJIFUNZA
MECHI YA 3 NA MAN U - MAGOLI YA COUNTER LAMPARD HAKUJIFUNZA MECHI
MECHI NA BAYERN - MAGOLI YA COUNTER
KOCHA GANI SASA HUYU ASIYEBADILISHA WALA KUBORESHA MBINU ZAKE?
NDIO MAANA NAMUITA KIAZI NA ATAFUKUZWA TUU UKOCHA AMEUVAMIA.
Ina maana hizo mechi tatu zote hakushindwa kudeal nao na kujifunza makosa yake amefanywa mpk mnaitwa vibonde wa manyumbu hii kweli haki jaman anataka kufanya Chelsea iwe timu ya kawaida tu wakati Chelsea chama kubwaHuyo huyo ole unaemsema kashinda etihad mara mbili mfululizo
Tim yet haina watu wanaoweza kupiga counter kama man utd na hatuwez kuzuia kwa mda mrefu kama man utd wanavyofanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo watu wanatetea ujinga ila ukweli lazima usemweUkiongea ukweli unachukiwa. Dah! haya maisha sio kabisa.