lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 16,468
- 21,904
Formation ya 3-4-3 na 4-2-3-1 Kante anachezaga defensive MF na uchezaji ni ule ule. Tumekaririshwa tu kuwa Kante hachezi defensive role yake wakati sio kweli. Kwenye 4-3-3 ndio Kante anacheza attacking MF kwa sababu defensive MF ni mmoja tu naye ni Jorgi
Sent using Jamii Forums mobile app
Akirudi always atachezeshwa ATTACKING MIDFIELDER ambayo sio nafasi yake.
Otherwise hiyo 4 - 3 -3 wacheze Kovacic, Joginho na Mount, kuliko kumchezesha KANTE 4 -3-3 halafu acheze attacking mildflider nafas ambayo hachezi kwa ubora/comfortable.
Na ukisema kwamba Kante hachezi vizuri kwenye defensive fahamu kwamba ubora wake unashindwa kumatch na anaocheza nao katikati.
Sent using Jamii Forums mobile app