WashaambiwaHivi kwanini VAR ya Epl hairuhusu marefa kwenda kuangalia kwenye tv uwanjani then refa afanye decision mwenyewe?
Tofauti na VAR za ligi nyingine even UEFA refa anafanya decision baada ya kwenda kuangalia kile tv, wale VAR unit kazi yao ni kumuonyesha tukio husika kwenye kile kitv uwanjani.
Willian mwenyew aligoma kwenda barca alikuw anataka mkataba mrefu so amemaind kutopew mkataba mrf cio kutouzwaKEPPA hawezi kukubali kuwa namba 2 ataondoka.
La Willan nilishasema hapa hawezi kujitoa kwa moyo tena, baada ya bodi kumbania kumuuza Barcelona ili hali mkataba wake unaisha july
Hahahahaha nazingua kinoma, Sema hapa ci home tu braza ...muhimu chama lisonge ..@ollachuga embu njoo hapa ujieleze.
Inakuwaje kama shabiki wa Chelsea, ushabiki wana CHELSEA unaufanya kwenye majukwaa mengine ila hapa kwenye jukwaa lako rasmi hupost wala hukocomment chochote?
hahahaha veri interesting brother.
Hivi kwanini VAR ya Epl hairuhusu marefa kwenda kuangalia kwenye tv uwanjani then refa afanye decision mwenyewe?
Tofauti na VAR za ligi nyingine even UEFA refa anafanya decision baada ya kwenda kuangalia kile tv, wale VAR unit kazi yao ni kumuonyesha tukio husika kwenye kile kitv uwanjani.
Naona comb ya jorgi na kova huwa iko njema ukilinganisha na anapokuwepo kante
Naona mwanafunzi(Lampard), kamufunga mwalimu(Mourinho) mechi mbili mfululizo.
Leo mount kajitaidi kuonyesh kiwango chke , Reece James as usual hajawah kuniangusha anaperform vzr, then giroud alkuw kweny form yake
Kovac kipind cha Kwanza kachez vizur but kipnd cha pili alikuw kachoka Sana same to gorjino alichoka ,ikawapa chanceTottnehum kutawala mpira
Tammy Abraham few minutes kacheza but utumbo
Pole sanaKila la Kheri Spurs kuelekea Jumatano ya Majivu
Mkuu Willian hana msaada kabisa.Sijui kwa nini Willian hakuanza
Nimefurahi Giroud kuanza badala ya Batshu
Ata alivyokuwa Lampard derby alimtwanga Mourinho.Naona mwanafunzi(Lampard), kamufunga mwalimu(Mourinho) mechi mbili mfululizo.
Why only Chelsea? Halafu unakuta nyumbuVAR ina makengeza,pale Celso alikuwa anakula straight red card.
Hii VAR ina hila na Chelsea
Oya hapa tumeweka ushabiki pembeni mapenzi yako peleka uko uko. Kwanza ishapita tushayaachaMatch vs Man United iache kabisa, mlipigwa kihalali kabisa, goal zenu zote zilikuwa Fraud na wote tunajua hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
goal la zuma lilikuwa halal kaangalie vizr Nan alianz kuchez rafuMatch vs Man United iache kabisa, mlipigwa kihalali kabisa, goal zenu zote zilikuwa Fraud na wote tunajua hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
. Ile ilkuw red card ndomana after gemu wamekubali alistahili rer cardHakuna red card kama ile...Ni kiherehere chake cesar kajiingiza mwenyewe kakanyagwa na jamaa bila kujua anaanza kugaragara ka likiboko
Haya mambo kwenye football yanatokea
Unabishana na VAR sasaHakuna red card kama ile...Ni kiherehere chake cesar kajiingiza mwenyewe kakanyagwa na jamaa bila kujua anaanza kugaragara ka likiboko