Yaani roho inauma sana hasa pale mnapomtaja Mount hivi huyu Dogo hata 120min Anaweza kucheza kweli mbona uwezo wake ni wa kawaida sana


Jamani embu tuwe serious kwenye football
mount ndo first time kucheza pro league so uwezi tegemea ata kuoffer vitu vingi kma other experienced players ,,mashabiki wengi wanataka madogo wawe wanaperfom kma wachezaji wakubwa

Kitu kma hicho ndo kilimuondoa sancho man city,de bryune Chelsea

So we have use what we have ata kama bado havijakomaa at the end of the day watakua wazur
 
Baada ya uchovu wa majukumu ya leo ngoja niwape stori flani kuelekea mechi yetu na Bayern.

Mwaka 2010 nikiwa arusha maeneo ya mnara wa mwenge, maduka flani upande wa chini yanayotazamana na makaburi, njia ya kuelekea polisi.

Siku hiyo ilikuwa jumamosi mida ya saa 1 asubuhi. Mimi na baba yangu mdogo tulikuwa tumesimama nje ya duka lake tunapiga stori.

Kwa kipindi hicho ilikuwa kila siku ya jumamosi wamiliki wa mbwa majumbani walikuwa wanapeleka mbwa wao kule polisi kuoshwa na huduma nyingine.

Kwahiyo mida hiyo mbwa wengi walikuwa wanapitishwa na vijana kwenda huko polisi, tukasikia sauti kwa mbali jamaa anasema "FUKUZENI HUYO MBWA KOKO HAPO TUPITE, TUSIJE TUKAMUUA BURE", jamaa walikuwa ameshika minyororo ya mbwa wawili wakubwa sana kama ndama wanatisha, yanataka kukata mnyororo kwa hasira.

Kweli pembeni yetu alikuwa amelala mbwa wa pale mtaani hana makazi ya kudumu huwa anazungukaga tuu maeneo hayo tulishamzoea, mara alale chini ya magari parking, vibarazani.

Baba mdogo akamjibu wale jamaa "AMUENI MTAKALOFANYA HUYU MBWA ATAJAZA MWENYEWE"

Yule jamaa akajibu sawa ngoja mzee tumuonyeshe rangi zote, bwana akaachia mnyororo wa limbwa limoja likawa linakuja kwa kasi kumfuata huyu mbwa wetu. Ikabidi tukimbie pembeni tuone movie.

Yule mbwa wa mtaani alivyoona lile limbwa linakuja kwa kasi akasimama akamcheki, akanguruma kwa hasira, aisee huyu mbwa wa mtaani alimpokea kwa kumrukia shingoni, wakaamguka chini, alimvuruga kwenye mavumbi tukasikia mlio wa maumivu.

Lile limbwa la jamaa likatoka baruti likarudi kwa wale jamaa. Nikasikia wale jamaa wanasema eeh eeh eeh hatareee huyo mbwa ni noma, jamaa wakavuka upande wa pili wanaenda huku wanajeuka nyuma hawaamini kilichotokea.

Kilichofuata ni pongezi kwa yule mbwa wetu wa mtaani, tunamdharau kumbe vita anaviweza. Nakumbuka kuna mzee alipita akasema leo naenda moshi naombeni mnikamatie huyu mbwa nimpeleke moshi nikamfuge hakiamungu mwizi hatakanyaga kwangu. Hahahaha

Mwache BAYERN aje kibabe tutakachomuonyesha rangi zote stanford, tutamchanachana vipande atatoka na kilio cha uchungu.
Story ina fundisho hata katika maisha ya kawaida japo wengi wataona kama utani. Ila kwa mechi ya kesho nina imani kubwa na timu yangu. Sijui kitakachotupata huko kwao ila darajani shughuli wanayo.
 
Ila mimi ninampenda Barkley, ana touches chache lakini za uhakika. Barkley kakomaa kidogo akicheza na Willian na Giroud tunaweza wasumbua kule mbele
Barkley kuna wakati anakua uwanjani utafikiri hayupo. Yan anakua mzigo dhidi ya wenzake. Lakini kuna baadhi ya game anakua active dakika zote 90' kama ile game ya Tot. Sasa unajiuliza huyu mtu alikua anashindwa nini kufanya ivyo siku zote? Hata Willian naye anakuwaga ivyo sometimes.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mount ndo first time kucheza pro league so uwezi tegemea ata kuoffer vitu vingi kma other experienced players ,,mashabiki wengi wanataka madogo wawe wanaperfom kma wachezaji wakubwa

Kitu kma hicho ndo kilimuondoa sancho man city,de bryune Chelsea

So we have use what we have ata kama bado havijakomaa at the end of the day watakua wazur
kitu kinaniuzi Mimi ni kwanini kila kitu Mount mnataka kusema Chelsea imefika stage ya kutegemea mchezaji mwenye uwezo wa kati kama mount
 
Baada ya uchovu wa majukumu ya leo ngoja niwape stori flani kuelekea mechi yetu na Bayern.

Mwaka 2010 nikiwa arusha maeneo ya mnara wa mwenge, maduka flani upande wa chini yanayotazamana na makaburi, njia ya kuelekea polisi.

Siku hiyo ilikuwa jumamosi mida ya saa 1 asubuhi. Mimi na baba yangu mdogo tulikuwa tumesimama nje ya duka lake tunapiga stori.

Kwa kipindi hicho ilikuwa kila siku ya jumamosi wamiliki wa mbwa majumbani walikuwa wanapeleka mbwa wao kule polisi kuoshwa na huduma nyingine.

Kwahiyo mida hiyo mbwa wengi walikuwa wanapitishwa na vijana kwenda huko polisi, tukasikia sauti kwa mbali jamaa anasema "FUKUZENI HUYO MBWA KOKO HAPO TUPITE, TUSIJE TUKAMUUA BURE", jamaa walikuwa ameshika minyororo ya mbwa wawili wakubwa sana kama ndama wanatisha, yanataka kukata mnyororo kwa hasira.

Kweli pembeni yetu alikuwa amelala mbwa wa pale mtaani hana makazi ya kudumu huwa anazungukaga tuu maeneo hayo tulishamzoea, mara alale chini ya magari parking, vibarazani.

Baba mdogo akamjibu wale jamaa "AMUENI MTAKALOFANYA HUYU MBWA ATAJAZA MWENYEWE"

Yule jamaa akajibu sawa ngoja mzee tumuonyeshe rangi zote, bwana akaachia mnyororo wa limbwa limoja likawa linakuja kwa kasi kumfuata huyu mbwa wetu. Ikabidi tukimbie pembeni tuone movie.

Yule mbwa wa mtaani alivyoona lile limbwa linakuja kwa kasi akasimama akamcheki, akanguruma kwa hasira, aisee huyu mbwa wa mtaani alimpokea kwa kumrukia shingoni, wakaamguka chini, alimvuruga kwenye mavumbi tukasikia mlio wa maumivu.

Lile limbwa la jamaa likatoka baruti likarudi kwa wale jamaa. Nikasikia wale jamaa wanasema eeh eeh eeh hatareee huyo mbwa ni noma, jamaa wakavuka upande wa pili wanaenda huku wanajeuka nyuma hawaamini kilichotokea.

Kilichofuata ni pongezi kwa yule mbwa wetu wa mtaani, tunamdharau kumbe vita anaviweza. Nakumbuka kuna mzee alipita akasema leo naenda moshi naombeni mnikamatie huyu mbwa nimpeleke moshi nikamfuge hakiamungu mwizi hatakanyaga kwangu. Hahahaha

Mwache BAYERN aje kibabe tutakachomuonyesha rangi zote stanford, tutamchanachana vipande atatoka na kilio cha uchungu.
Sawa mkuu ila kwa Beyern the blues sio mbwa koko kabisa Chelsea is great team the history is on our side tutaweka real resistance I promise you Beryen itatukubali tu........
 
sasa hamuoni mnatuaminisha kwamba mpo tia maji tia maji kaka

Coz mount or abraham Mimi nafikiri hata Bayern B hapati namba mzee
kuwa na youth players haimainishi kuwa timu ni tia maji unaweza ukawa na pro player's

Kama unakumbuka nusu final ya uefa2012 Chelsea kikosi kilikuaje ukilinganish na cha Barcelona ,, Chelsea alikuw na kikosi kibovu lakin akapita so at the end tunaangalia matokeo utakayo pata haijalish una timu gan
 
kuwa na youth players haimainishi kuwa timu ni tia maji unaweza ukawa na pro player's

Kama unakumbuka nusu final ya uefa2012 Chelsea kikosi kilikuaje ukilinganish na cha Barcelona ,, Chelsea alikuw na kikosi kibovu lakin akapita so at the end tunaangalia matokeo utakayo pata haijalish una timu gan
sawa kaka tuache quality ya wachezaji ndiyo hiamue mechi japo ni kama kichekesho
 
Back
Top Bottom