mart66
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 610
- 691
mount ndo first time kucheza pro league so uwezi tegemea ata kuoffer vitu vingi kma other experienced players ,,mashabiki wengi wanataka madogo wawe wanaperfom kma wachezaji wakubwaYaani roho inauma sana hasa pale mnapomtaja Mount hivi huyu Dogo hata 120min Anaweza kucheza kweli mbona uwezo wake ni wa kawaida sana
Jamani embu tuwe serious kwenye football
Kitu kma hicho ndo kilimuondoa sancho man city,de bryune Chelsea
So we have use what we have ata kama bado havijakomaa at the end of the day watakua wazur