We played better lakini finishing bado ni tatizo,, pia VAR walikua upande wa man u sana jana. 1st ile faulo ya maguire ilikua ni straight red card (same na ile faulo aliyocheza son wa spur na bahati nzuri refa wa kati ni yule yule kwenye gemu zote mbili), cesc fabregas, gary neville , roy keane wote wanakubali kua hawaelewi imekuaje maguire amepona pale, hata njano tu hakupewa..
Then, 2nd goli la Zouma lilitakiwa li"stand,, alichezewa faulo azpilicueta kabla ya kwenda kumchezea faulo william, sijui kwa hapa VAR maamuzi yao yalikuaje..
N:B in italy au world cup, tulushuhudia VAR refa akienda kuangalia kwenye screen ili atoe maamuzi mwenyewe,, ila EPL imekua ni kama upuuzi flani usio msaidia refa wa kati bali ni maamuzi ya hao waliokaa kwenye video.
Kingine, You cant win a war with boys you need men,, ndo kinachomponza Lampard. Giroud ameshinda world cup akiwa na france, ameshinda ueropa akiwa chelsea,, sio kua ni mbovu kutokufunga sana ila uwepo wake tuu unasababisha pale mbele angalau mpira haupotei hovyo.
Sasa unamuanzisha sharobaro ambaye hawezi kuumiliki mpira,, sio mzuri kwenye mipira ya juu, na pia hana accuracy kwenye mashuti yake
Batshuayi yule ni bora tubadilishane na korosho za pale bagamoyo.
Sent using
Jamii Forums mobile app