Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 22,514
- 34,142
Ole kaanza kumake headlines magazetini wewe ukiwa bado hujaanza hata chekechea.
Yeye ni legend zaidi ya Lampard toka akiwa mchezaji na sasa kawathibitishia hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye ni legend zaidi ya Lampard toka akiwa mchezaji na sasa kawathibitishia hilo.
Kumbe kuwa legend kuna level? Kwanxa anakua legend kafanya nn hapo Man U. Nyie mmetukuta si tuko vibaya zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app