Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Msimu wa kocha CONTE tulimfunga man city nje ndani, msimu uliofuata man city wakatufunga nje ndani, huo ndio mpira.

Msimu huu man u kutufunga ni kama wamepata bahati ya kuokota pochi ya mzungu.

Tumekubali msimu huu tumekuwa wadhaifu kwao, msimu ujao huu udhaifu hautakuwepo.
Sawa mjukuu wa marehemu sheikh yahya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila Maguire lina kichwa kikubwa sana kama mtungi wa gas, Jamaa lina kilo 100, kichwa peke yake kilo 30. Kulikaba kwenye kona ni changamoto, Jamaa likiruka juu linasomba wachezaji wanaomzunguka.
Nasikia olachuga kumbe ni kati wanafunzi watanzania waliokwama kule Huwan, ndio maana hapatikani umu, tumuombee corona virus impitie mbali ila ana kihere here sana yule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majeruhi ya kante ni uchovu.... kante kacheza misimu mi 4 mfulululizo kwa kiwango cha juu...

Kwa hyo kupata majeruhi kwa mda huu ni halali yake, kacheza bila majeruhi misimu 4 mfululizo...
KANTE KANTE KANTE, kuna jamaa nilimsikia asubuhi kwenye radio anamuongelea KANTE, anasema Ngolo kuandamwa na majeraha mfululizo ni kutokana na nafasi anayechezeshwa kwa sasa kama kiungo mshambuliaji.

Kwamba kupanda juu kushambulia anachezewa rafu na mabeki, kugongwa miguuni tofauti na wakati anacheza kama defensive midfielder yeye ndio alikuwa anawagonga na kuwachezea rafu.

Kumuepusha Kante na majeruhi na maumivu mfulilizo ni kumrudisha kwenye nafasi yake ya defensive.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea always tunashindana kubeba makombe na sio kumaliza top 4. Angalia historia yetu miaka 10 nyuma kila msimu lazima tutoke na kikombe kimoja kama sio viwili (EPL, UCL, EUROPA, CARABAO, FA)

Labda swali lako ulielekeze Arsenal

Sent using Cash Money Wings
😀😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom