Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

FRANK LAMPARD is reportedly telling his scouts to line up a replacement for Chelsea keeper Kepa Arrizabalaga.
Kuanzia msimu uanze hadi sasa, Kepa ana save percent ya 56 ambayo ni ya pili kutoka chini baada ya 55% ya kipa wa Southampton. Alisson Becker wa kwanza kwa kuwa na 78%
 
Europa League last 32 draw
  1. Wolves vs Espanyol
  2. Sporting Lisbon vs Istanbul Basaksehir
  3. Getafe vs Ajax
  4. Bayer Leverkusen vs Porto
  5. FC Copenhagen vs Celtic
  6. APOEL vs Basel
  7. Cluj vs Sevilla
  8. Olympiakos vs Arsenal
  9. AZ Alkmaar vs LASK
  10. Club Brugge vs Manchester United
  11. Ludogorets vs Inter Milan
  12. Eintracht Frankfurt vs Salzburg
  13. Shakhtar Donetsk vs Benfica
  14. Wolfsburg vs Malmo
  15. Roma vs Gent
  16. Rangers vs Braga
 
Aisee
1576554561282.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Feb 8: Chelsea vs Man u
Feb 22: Chelsea vs Spurs
Feb 25: Chelsea vs Bayern
Feb 29: Bournemouth vs Chelsea
March 7: Chelsea vs Everton
March 14: Aston Villa vs Chelsea
March 18: Bayern vs Chelsea
March 21: Chelsea vs Man City

*there's [emoji91][emoji91][emoji91] on the mountain

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuu sasa mbona hapo mshashuka daraja!?
 
Wachezaji waliopo kwa sasa wanaostahili kubaki 1st eleven ni:-

Rudiger
Kante
Pulisic
Kovacic
Joginho

Na wachezaji wa sub ni:-

Keppa
Zouma
Tomori
James
Emerson
Mount
Abraham
Odoi
Lfc

Wachezaji wa kuuzwa:-

Azipuleta
Willan
Pedro
Giroud
Batshuayi
Alonso
Christensen
Barkely
Bakayoko
Drinking water
Victor Mosses
Zappacosta

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuu hivi Drinkwater na Moses victor ni wachezaji Wa Chelsea!?
 
Cha kushangaza hata Ivanovic, Terry na Essien hawakucheza kwenye hiyo fainali. Terry na Ivanovic hawakuwepo kabisa nafikiri walikuwa majeruhi, Essien alianzia bechi
  1. Petr Cech;
  2. Ashley Cole,
  3. David Luiz,
  4. Gary Cahill,
  5. Jose Bosingwa;
  6. Frank Lampard,
  7. John Obi Mikel;
  8. Ryan Bertrand,
  9. Juan Mata,
  10. Salomon Kalou;
  11. Didier Drogba.
terry alikula umeme second leg vs barcelona nakumbuka alimpiga kigoti sanchez

Ivanovic, Ramires & Meireless walikua na njano gemu mbili za nusu fainal dhidi ya barcelona (Kipindi hicho kulikua na sheria ya kumzuia mtu aliyepata njano mbili semi finals asicheze fainal).

Kwa kipindi hicho hao wote wanne walikua kwenye first eleven ya chama letu la ze blueess

Bayern kama sijakosea waliwakosa.. Badstuber, Alaba na Gustavo.. Baada ya kupata njano mbili mfululizo semi-finals

Nakumbuka wenyewe semi-finals walicheza na madrid ya akina ronaldo,kaka & benzema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea were handed an early Christmas present as Ruben Loftus-Cheek took a major step in his recovery from injury by training with the ball at his feet again.


Loftus Cheek is back again [emoji170][emoji170]

Wakuu nimeshindwa ku upload video akiwa anafanya mazoezi peke yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea were handed an early Christmas present as Ruben Loftus-Cheek took a major step in his recovery from injury by training with the ball at his feet again.


Loftus Cheek is back again [emoji170][emoji170]

Wakuu nimeshindwa ku upload video akiwa anafanya mazoezi peke yake

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimemuona. He will be back stronger than b4
 
Kuna majira zetu wanakula matapishi kuhusu un experinced coach [emoji57][emoji57]
 
Chelsea wanamtaka Isco na wametoa ofa hii hapa
Chelsea slapped in a £44.4m (€52m) offer for the Spain international on Monday.
 
Chelsea wanamtaka Isco na wametoa ofa hii hapa
Chelsea slapped in a £44.4m (€52m) offer for the Spain international on Monday.
Kama tutamsajili huyu jamaa uongozi utafanya Jambo la maana.
 
Kama tutamsajili huyu jamaa uongozi utafanya Jambo la maana.
Ila mimi sidhani kama tunamhitaji Isco kwa namba yake au kwa caliber yake. Tunahitaji winger na LB, ela ikitosha tupate striker
RLC tunaye, kapona, Mount tunaye yuko fit, Kovacic yupo yuko fit, sijawataja akina ross hapo tunapoteza pesa wakati kuna strategic areas zinahitaji wachezaji wa pesa kubwa
 
Man u wanamchukua Erling Haaland
Liverpool wanamchukua Takumi Minamino
Chelsea tunamchukua nani?
 
Lampard confirmed Fikayo Tomori, Ross Barkley and Olivier Giroud are all available for Spurs
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom