Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Lete source mkuu..ambayo itaonyesha Kante earns as you say..na Odoi. Maana haiwezekan kila site "wasi update" ili wauze habari sijui etc etc Lete source yako tuone.. sio maneno tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkataba aliusaini tar 23 Nov 2018, Zaidi ya mwaka uliopita

  1. Chelsea news: N'Golo Kante's incredible new salary revealed - Eden Hazard won't be pleased
  2. Chelsea transfer news: N'Golo Kante signs new record £290k-a-week Blues deal | Goal.com
Odoi

  1. Callum Hudson-Odoi new contract: Chelsea teenager signs five-year, £180,000-a-week deal | Goal.com
 
His numbers are [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] kwa muda mrefu.
Screenshot_2020-02-13-15-25-13.jpeg
IMG-20200213-WA0011.jpeg
20200213_160839.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Chelsea ndio yenye defense mbovu kuliko zote EPL? kwa nini hizo timu zenye defense mbovu kama Arsenal kipa wao anaongoza kwa saves nyingi? Tatizo kubwa na la msingi la Kepa ni mentality yake. Kama kipa anaamini makossa ya yeye kufungwa magoli mengi ni ya mabeki unategemea atajifunza hapo?. Leno ya Arsenal anaongoza kwa kuwa na mabeki wabovu ila save zake ni kubwa
Kepa kadaka mara 60, magoli 71 kashafungwa
Msimu huu pekee kadaka mara 24 kashafungwa magoli 32 na cleansheet 5, saves 41
HATA KAMA CHELSEA WAKIMSAJILI CB BADO KEPA ANATAKIWA KUONDOKA AU KUWA BACKUP GK

Ni kweli na sio kwamba muda wote magoli anayofungwa ni kutokana na mabeki muda mwingine ni uzembe wake mwenyewe.

Ila sasa magoli anayofungwa kutokana na uzembe wa mabeki ni mengi kuliko anayofungwa kutokana na uzembe wake
 
Pulisic
CHO
Ziyech
RLC

Wote hawa wanaweza kutwanga winga.

Sent using Jamii Forums mobile app
CHO bado sana hawa ni wale wakuanza fa cup,carabao
Pulisic bado hajawa na consistency
Ni bora CHO NA CP22 wawewanatokea benchi or tukimpata sancho
Iwe sancho-pulisic-ziyech huku hawa wakina cho,mount wakiendelea kugain experience kidogo kidogo kuliko kuwategemea hawa especially kwa mpira wa sasa
RLC anaweza hata akacheza cam or cm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndo nimeelewa kwanini management ilikuwa Kimya kusajili kwenye dirisha dogo la usajili lengo lao lilikuwa kusajili wachezaji sahihi sio ilimradi tu mchezaji.Si umeona Hakim ziyech kasajiwa fasta tu hivyo ndo tunavyotaka Mashabiki kikweli kwenye hili nawapa pongezi za dhati uongozi mzima wa Chelsea.
 
Hapa ndo tumepata mbadala wa Hazard...Hakim Ziyech ni kifaa kwelikweli.
 
Hapa ndo nimeelewa kwanini management ilikuwa Kimya kusajili kwenye dirisha dogo la usajili lengo lao lilikuwa kusajili wachezaji sahihi sio ilimradi tu mchezaji.Si umeona Hakim ziyech kasajiwa fasta tu hivyo ndo tunavyotaka Mashabiki kikweli kwenye hili nawapa pongezi za dhati uongozi mzima wa Chelsea.
Fasta?
From december to feb .
Hiyo ni fasta???

Beggars can't be choosers
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom