Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea ina mechi ngumu hadi tar 4/4 2020
Mungu atusaidie
Mentality ya timu isipobadilika, kabla ya tar 4/4 tutakuwa tumeshasahau top 4

Timu inafanya makosa madogo madogo mengi sana. Inaweza kuanza mchezo vizuri ila mbele wanaharibu. Pia tunatakiwa tuwe tunamaliza mchezo mapema
 
Chelsea ina mechi ngumu hadi tar 4/4 2020
Mungu atusaidie
Mentality ya timu isipobadilika, kabla ya tar 4/4 tutakuwa tumeshasahau top 4
Mbn mwez wa 4 ni mbali kitu mwezi 3 hapo kama tukiwA bado tupo top4 ni jambo la kumshuru Mungu
Screenshot_20200210-141942-1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea make £174m profit - the biggest of any club in the world - over the last two transfer windows... while Aston Villa run up a loss of more than £140m (second only to Spanish giants Real Madrid)
 
Chelsea make £174m profit - the biggest of any club in the world - over the last two transfer windows... while Aston Villa run up a loss of more than £140m (second only to Spanish giants Real Madrid)
Yule Mrusi akiona mambo kama haya ndo hataki nunua kabisa. Anaona bora auze tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utashangaa barcley yupo ndani wakat kova anasugua bench! mi hapo ndio sielewagi, au joginho nje barcley ndani mh!, au game unakuta limemkataa mchezaji huyu sab anafanyiwa mwingine. Sometym najiulizaga ile partnership ya Joghno na kova kipindi flani hakuionaga?

Haya ni maoni yangu, mana kila mtu huwa na mtazamo wake, ndio mana kocha nae ana mtazamo wake kuwa barcley ni messi wa chelsea. Maoni yangu sio kwamba sio mzalendo.
Mkuu comb ya kova na jorgi ilikuwa ishakubali na hawa wakina mount,abraham waliperform vizur tu wakati huo
Nahisi shida ni pale wachezaj wangine walipopona kova sio mfungaji,ngolo sio mfungaji,jorgi nae vile vile sio mfungaji tulichokosea ni kuwapa hawa madogo mzigo wachezaj wetu wenyew wanashindwa kutupa matokeo but hawa wote ndio msim wao wa kwanza katika premier league

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea make £174m profit - the biggest of any club in the world - over the last two transfer windows... while Aston Villa run up a loss of more than £140m (second only to Spanish giants Real Madrid)
Summer sasa tusajilj sio marina atuletee wachezaj ambao hawaeleweki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utashangaa barcley yupo ndani wakat kova anasugua bench! mi hapo ndio sielewagi, au joginho nje barcley ndani mh!, au game unakuta limemkataa mchezaji huyu sab anafanyiwa mwingine. Sometym najiulizaga ile partnership ya Joghno na kova kipindi flani hakuionaga?

Haya ni maoni yangu, mana kila mtu huwa na mtazamo wake, ndio mana kocha nae ana mtazamo wake kuwa barcley ni messi wa chelsea. Maoni yangu sio kwamba sio mzalendo.
Hahahaaaaa aya bhana tuko pamoja mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utashangaa barcley yupo ndani wakat kova anasugua bench! mi hapo ndio sielewagi, au joginho nje barcley ndani mh!, au game unakuta limemkataa mchezaji huyu sab anafanyiwa mwingine. Sometym najiulizaga ile partnership ya Joghno na kova kipindi flani hakuionaga?

Haya ni maoni yangu, mana kila mtu huwa na mtazamo wake, ndio mana kocha nae ana mtazamo wake kuwa barcley ni messi wa chelsea. Maoni yangu sio kwamba sio mzalendo.
Tena mchezaji anaongoza kwa kubebwa ni mount huyu dogo hata acheze vibaya kiasi gani ana number ya kudumu lakini kovacic akizingua mechi moja tu benchi hapa ndo lampard anaponikasirisha.Abraham game kubwa zote kashindwa kuscore kasoro tu game moja na Arsenal lakini kila game lazima aanze hiv anashindwa vp kumuamini Giroud kwanini asiwe anampa hata game hiz kubwa.Wewe jamaa unaongea ukweli japo wanakuponda ila me na wewe tupo pamoja.
 
Tena mchezaji anaongoza kwa kubebwa ni mount huyu dogo hata acheze vibaya kiasi gani ana number ya kudumu lakini kovacic akizingua mechi moja tu benchi hapa ndo lampard anaponikasirisha.Abraham game kubwa zote kashindwa kuscore kasoro tu game moja na Arsenal lakini kila game lazima aanze hiv anashindwa vp kumuamini Giroud kwanini asiwe anampa hata game hiz kubwa.Wewe jamaa unaongea ukweli japo wanakuponda ila me na wewe tupo pamoja.
Tunaponda matusi sio point, Sasa kama point inasindikizwa na matusi, why?
 
Man U wanatraka kumuuza Pogba kwa Mil 30
Sisi kwa nini tusimuuze Kepa kwa Mil 20?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom