Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Man U wanatraka kumuuza Pogba kwa Mil 30
Sisi kwa nini tusimuuze Kepa kwa Mil 20?
Pogba akiuzwa kwa bei hiyo kwao ni bora zaidi kwa sababu kadri anavyo endelea kuwepo anazidi kuwa kirusi kama Corona. Ana effect kubwa kwa wachezaji wenzake kwa hiyo kwa bei yoyote ni bora kwao. Sasa sisi mi naona Kepa asiuzwe tu. Wa kuuzwa awe Cabalero then aletwe kipa mwingine wa kushindana na Kepa.

Akija Onana Kepa awe namba mbili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pogba akiuzwa kwa bei hiyo kwao ni bora zaidi kwa sababu kadri anavyo endelea kuwepo anazidi kuwa kirusi kama Corona. Ana effect kubwa kwa wachezaji wenzake kwa hiyo kwa bei yoyote ni bora kwao. Sasa sisi mi naona Kepa asiuzwe tu. Wa kuuzwa awe Cabalero then aletwe kipa mwingine wa kushindana na Kepa.

Akija Onana Krpa awe namba mbili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Idea nzur mkuu
Lakin kama umavyojua mafahari wawili hawawezi kaa zizi moja kumbuka issue ya cech na courtois
Cech alikataa kabisa kukaa bench

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Idea nzur mkuu
Lakin kama umavyojua mafahari wawili hawawezi kaa zizi moja kumbuka issue ya cech na courtois
Cech alikataa kabisa kukaa bench

Sent using Jamii Forums mobile app
Cech alikua mtu mzima halafu aliona kabisa uwezo bado anao so hakuona kama ni fair yeye awe kipa namba mbili. So kama atapatikana kipa mwingine mwenye uwezo mkubwa Kepa itabidi agombee nambabna huyo mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cech alikua mtu mzima halafu aliona kabisa uwezo bado anao so hakuona kama ni fair yeye awe kipa namba mbili. So kama atapatikana kipa mwingine mwenye uwezo mkubwa Kepa itabidi agombee nambabna huyo mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi.. kwenye swala la "makipa" liko tofauti sana na other outfield players.

Kwa makipa, There's only ONE that plays. Hamnaga this month huyu..that month yule.
Kepa analipwa £150k a week.. Board ya Cfc walivo wagumu recently hawawezi ku support akae bench as a second GK.
Also Kepa na agent wake hawawezi afiki. He's 25yrs.. anataka pia apate palying time ili aboreshe nafasi za kuitwa nationa team.

Good business ni wauze.. Walete a more capable GK.. na Caballero all his life has been a 2nd GK.. sioni kama ana tatizo na hilo so far.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
. Kuna sehemu nmesoma Chelsea wanataka golikipa atakae mpa challenge kepa kugombania namba ,kutokana kwamba cabarrelo yupo kashalidhika na nafasi yake so hana challenge kwa kepa
Kiongozi.. kwenye swala la "makipa" liko tofauti sana na other outfield players.

Kwa makipa, There's only ONE that plays. Hamnaga this month huyu..that month yule.
Kepa analipwa £150k a week.. Board ya Cfc walivo wagumu recently hawawezi ku support akae bench as a second GK.
Also Kepa na agent wake hawawezi afiki. He's 25yrs.. anataka pia apate palying time ili aboreshe nafasi za kuitwa nationa team.

Good business ni wauze.. Walete a more capable GK.. na Caballero all his life has been a 2nd GK.. sioni kama ana tatizo na hilo so far.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi.. kwenye swala la "makipa" liko tofauti sana na other outfield players.

Kwa makipa, There's only ONE that plays. Hamnaga this month huyu..that month yule.
Kepa analipwa £150k a week.. Board ya Cfc walivo wagumu recently hawawezi ku support akae bench as a second GK.
Also Kepa na agent wake hawawezi afiki. He's 25yrs.. anataka pia apate palying time ili aboreshe nafasi za kuitwa nationa team.

Good business ni wauze.. Walete a more capable GK.. na Caballero all his life has been a 2nd GK.. sioni kama ana tatizo na hilo so far.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo nalielewa vizuri. Option iliyopo ni auzwe lakini Marina hataki auzwe anataka apewe nafasi zaidi. Sasa Kepa keshapewa nafasi ya kutosha lakini matokeo ya yaleyale. Ndio maana nika suggest ni heri kama hawataki kumuuza basi atafutwe kipa mwingine Caballero aondoke then Kepa atafute namba na huyo kipa mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..honestly sielewi hiyo rumor ina base gani. Like why would Marina refuse to Kepa's sale??
Kwani Kepa ndio face of the team kwamba ni asset nje ya uwanja kwa mauzo ya jersey n.k?? Maana Marina ni a business woman.. hizo ndio sababu likely zinazoweza kumfanya awe against na a sale of a flop like Kepa.

Think of this..How do you contain the most expensive GK in history kwenye bench for the long run ??

How do you have your highest paid player on the bench for the long run?? Maana kepa ndio anaongoza kulipwa pesa mingi pale Stamford Bridge. (Same as Ngolo)


If Cfc are going for another shot stopper kwenye transfer window, basi jua Kepa is gone for good. Kwa bei ya hasara kwa Cfc obviously.
Hilo nalielewa vizuri. Option iliyopo ni auzwe lakini Marina hataki auzwe anataka apewe nafasi zaidi. Sasa Kepa keshapewa nafasi ya kutosha lakini matokeo ya yaleyale. Ndio maana nika suggest ni heri kama hawataki kumuuza basi atafutwe kipa mwingine Caballero aondoke then Kepa atafute namba na huyo kipa mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG-20200131-WA0018.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
..honestly sielewi hiyo rumor ina base gani. Like why would Marina refuse to Kepa's sale??
Kwani Kepa ndio face of the team kwamba ni asset nje ya uwanja kwa mauzo ya jersey n.k?? Maana Marina ni a business woman.. hizo ndio sababu likely zinazoweza kumfanya awe against na a sale of a flop like Kepa.

Think of this..How do you contain the most expensive GK in history kwenye bench for the long run ??

How do you have your highest paid player on the bench for the long run?? Maana kepa ndio anaongoza kulipwa pesa mingi pale Stamford Bridge. (Same as Ngolo)


If Cfc are going for another shot stopper kwenye transfer window, basi jua Kepa is gone for good. Kwa bei ya hasara kwa Cfc obviously.View attachment 1355196

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakubali tu kupata hasara like tuliyowah ipata kwa bakayoko naona anakula hela za bure tu hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu comb ya kova na jorgi ilikuwa ishakubali na hawa wakina mount,abraham waliperform vizur tu wakati huo
Nahisi shida ni pale wachezaj wangine walipopona kova sio mfungaji,ngolo sio mfungaji,jorgi nae vile vile sio mfungaji tulichokosea ni kuwapa hawa madogo mzigo wachezaj wetu wenyew wanashindwa kutupa matokeo but hawa wote ndio msim wao wa kwanza katika premier league

Sent using Jamii Forums mobile app
Kova kuanzia match ya brighton hajawa vizuri kabisa... Na ni moja ya watu waliopelekea tukapa sare hiyo match

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo nalielewa vizuri. Option iliyopo ni auzwe lakini Marina hataki auzwe anataka apewe nafasi zaidi. Sasa Kepa keshapewa nafasi ya kutosha lakini matokeo ya yaleyale. Ndio maana nika suggest ni heri kama hawataki kumuuza basi atafutwe kipa mwingine Caballero aondoke then Kepa atafute namba na huyo kipa mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena mbaya haoni kama yeye ameflop anawasingizia mabeki. Hapo Kepa hawezi kuimprove ni bora auze tu hata kwa mil 20 ila kwa mshahara wake ni timu kubwa tu zenye uwezo wa kumlipa. Ninavyoona atasugua benchi mpaka akubali kuuzwa kwa kupunguziwa mshahara wake au Chelsea imtoe kwa mkopo
 
Chelsea wamekubali kumnunua kiungo wa Ajax, Hakim Ziyech kwa Paundi Mil 40. Ni kiungo mzuri. Kwa mechi 18 ana magoli 6 na assists 12
Mwaka jana mechi 29 magoli 16 na assists 13
Kwa assists ni style ya Fabregas na kwa magoli ni style ya Lampard
 
Hamna kitu humo
Chelsea wamekubali kumnunua kiungo wa Ajax, Hakim Ziyech kwa Paundi Mil 40. Ni kiungo mzuri. Kwa mechi 18 ana magoli 6 na assists 12
Mwaka jana mechi 29 magoli 16 na assists 13
Kwa assists ni style ya Fabregas na kwa magoli ni style ya Lampard
 
Hakim Ziyech is a Dutch-born Moroccan professional footballer who plays as an attacking midfielder for Ajax and the Morocco national team. In 2019, he was selected as one of the 20 best players in the UEFA Champions League for the 2018–19 season

Ziyech has been a key figure at Ajax over the past two seasons with 29 goals and 45 assists in 78 appearances.
 
Chelsea wamekubali kumnunua kiungo wa Ajax, Hakim Ziyech kwa Paundi Mil 40. Ni kiungo mzuri. Kwa mechi 18 ana magoli 6 na assists 12
Mwaka jana mechi 29 magoli 16 na assists 13
Kwa assists ni style ya Fabregas na kwa magoli ni style ya Lampard
Kwa haraka haraka hapa naona kama vile deal la sancho ndio basi tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea wamekubali kumnunua kiungo wa Ajax, Hakim Ziyech kwa Paundi Mil 40. Ni kiungo mzuri. Kwa mechi 18 ana magoli 6 na assists 12
Mwaka jana mechi 29 magoli 16 na assists 13
Kwa assists ni style ya Fabregas na kwa magoli ni style ya Lampard
Naona willian n pedro wakiondoka hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chelsea wamekubali kumnunua kiungo wa Ajax, Hakim Ziyech kwa Paundi Mil 40. Ni kiungo mzuri. Kwa mechi 18 ana magoli 6 na assists 12
Mwaka jana mechi 29 magoli 16 na assists 13
Kwa assists ni style ya Fabregas na kwa magoli ni style ya Lampard
Assist za huyu jamaa sioni mtu wa kumalizia pale chelsea.... Assist zake nyingi ni kama assist ya lile goal ambalo lilikataliwa kwenye ile match tuliyowapiga ajax 1-0

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Idea nzur mkuu
Lakin kama umavyojua mafahari wawili hawawezi kaa zizi moja kumbuka issue ya cech na courtois
Cech alikataa kabisa kukaa bench

Sent using Jamii Forums mobile app
Kitendo cha Chelsea kutaka CECH akae benchi ni uhain mkubwa sana

Leo nilikuwa natizama marudio ya final ya Chelsea na bayen Munich pamoja na Barcelona aisee yule jamaa alikuwa jini kama shio shetan kamili

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom