Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Assist za huyu jamaa sioni mtu wa kumalizia pale chelsea.... Assist zake nyingi ni kama assist ya lile goal ambalo lilikataliwa kwenye ile match tuliyowapiga ajax 1-0

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tuendelee kusubiri mambo mazuri yanakuja staki kuamini frank hatosajili striker mwenye kiwango cha juu isitoshe huenda batshuay n giroud wote wakaondoka kwa pamoja
Kuna mda huwa nafikiria conte alikuwa kocha mzuri sema tu alikosea kumuuza diego costa
Ngoja tuendelee kuangalia ikifika summer tutamsajili nani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
..honestly sielewi hiyo rumor ina base gani. Like why would Marina refuse to Kepa's sale??
Kwani Kepa ndio face of the team kwamba ni asset nje ya uwanja kwa mauzo ya jersey n.k?? Maana Marina ni a business woman.. hizo ndio sababu likely zinazoweza kumfanya awe against na a sale of a flop like Kepa.

Think of this..How do you contain the most expensive GK in history kwenye bench for the long run ??

How do you have your highest paid player on the bench for the long run?? Maana kepa ndio anaongoza kulipwa pesa mingi pale Stamford Bridge. (Same as Ngolo)


If Cfc are going for another shot stopper kwenye transfer window, basi jua Kepa is gone for good. Kwa bei ya hasara kwa Cfc obviously.View attachment 1355196

Sent using Jamii Forums mobile app
Kepa siyo face of the team wala hana market kubwa nje ya uwanja. Ninachoona Marina anam defend Kepa ili nayeye alinde status yake kwa sababu yeye ndio centre ya hii biashara na Bilbao. Hakuna anayetaka aonekane kaharibu sehemu na ndicho anachofanya Marina.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu utakua usajili mzuri sana kwetu. Willian na Pedro kwa heri sasa Odoi akaze kupambania namba hapa.

Katika vitu mimi nilikua siamini ni kwamba board ya usajili imeshindwa kufanya kitu katika sajili ya January. Ni heri kuchelewa lakini ukafanyika usajili wa maana kuliko kuwahi kisa tu tumeruhusiwa kufanya usajili then tukaokota okota ikiwa shida.
Screenshot_20200213-072613_1581569793296.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Assist za huyu jamaa sioni mtu wa kumalizia pale chelsea.... Assist zake nyingi ni kama assist ya lile goal ambalo lilikataliwa kwenye ile match tuliyowapiga ajax 1-0

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sijakuelewa kabisa, kuna assists ya goli lililokataliwa. Mimi najua assist ni ya goli lililokubaliwa. na msimao wa stats zake ni kuwa kwenye misimu miwili ana appearances 78, magoli 29 na assists 45. Hizi takwimu ni kubwa mno kwa Midfielder yeyote
 
Assist za huyu jamaa sioni mtu wa kumalizia pale chelsea.... Assist zake nyingi ni kama assist ya lile goal ambalo lilikataliwa kwenye ile match tuliyowapiga ajax 1-0

Sent using Jamii Forums mobile app
Tammy Abraham ni penalty box striker. na mastrikers wa style ya Tammy wakipata mtoa huduma mzuri atafunga magoli mengi. Pamoja na kuamini kuwa Chelsea itamsajili striker wa kushindana na Tammy lakini nataka niseme kuwa ubora wa Tammy bado hatujauona kwa sababu Chelsea haina mawinga na midfielders wa kutoa huduma kwa penalty box striker. Penalty box striker kwa wassiojua ni striker anayejua kumalizia mipira inayokuja kwenye penalty box. Mastrikers wa naman hii huwa hawawezi kucheza vizuri nje ya penalty box na pia hawawezi kucheza namba zingine kama akina firmino, salah na wenzake. Mfano wa penalty box striker maarufu kabisa ni Ronaldo Delima
 
..honestly sielewi hiyo rumor ina base gani. Like why would Marina refuse to Kepa's sale??
Kwani Kepa ndio face of the team kwamba ni asset nje ya uwanja kwa mauzo ya jersey n.k?? Maana Marina ni a business woman.. hizo ndio sababu likely zinazoweza kumfanya awe against na a sale of a flop like Kepa.

Think of this..How do you contain the most expensive GK in history kwenye bench for the long run ??

How do you have your highest paid player on the bench for the long run?? Maana kepa ndio anaongoza kulipwa pesa mingi pale Stamford Bridge. (Same as Ngolo)


If Cfc are going for another shot stopper kwenye transfer window, basi jua Kepa is gone for good. Kwa bei ya hasara kwa Cfc obviously.View attachment 1355196

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hii haiko updated, Odoi na Kante wanalipwa zaidi
N'Golo Kante, earning 325,000 euros per week
Hudson-Odoi earning £180,000 per week
 
She fucked up more than once kwa kina bakayoko..emerson..drinkwater..etc.
Sio argument base reasonable..
Kepa siyo face of the team wala hana market kubwa nje ya uwanja. Ninachoona Marina anam defend Kepa ili nayeye alinde status yake kwa sababu yeye ndio centre ya hii biashara na Bilbao. Hakuna anayetaka aonekane kaharibu sehemu na ndicho anachofanya Marina.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kante kaweka mkataba mpya wa miaka mitano hadi 2023 tangu 2018 ambapo analipwa Paundi 290,000 kwa wiki. Alikuwa ndio top paid player hata Zaidi ya Eden Hazard

Kante's new deal could be worth up to £290,000 per week.

Mwaka jana mwishoni Odoi kaweka mkataba mpya wa miaka mitano hadi 2024 kwa malipo ya paundi 180,000 kwa wiki

Hudson-Odoi signs new five-year £180,000-a-week Chelsea deal until 2024

Hayo mablogu ya kuuza news sio ya kuziamini, hata kama hiyo news imetoka kwenye media maarufu, taarifa za website huwa haziondolewi hata kama ziko outdated
Njia rahisi ya kujua mshahara wa mchezaji ni kutafuta latest contract yake na timu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom