camily
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 268
- 653
Namuangalia huyu jimenez wa wolves nasikitika tuu,,
Ivi kweli board yetu haikumuona uyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi kweli board yetu haikumuona uyu

Sent using Jamii Forums mobile app

Tunaye Tammy na GiroudNamuangalia huyu jimenez wa wolves nasikitika tuu,,
Ivi kweli board yetu haikumuona uyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nimekuambia nashangilia hiyo droo. Acha ufala. Au siku hizi mpira inaishia dakika ya 65?
Sent using Jamii Forums mobile app
LEICESTER CITY 2-2 CHELSEA, Premier League: Post-match reaction.
By Mlanzi
Bonge la performance kutoka kwa man of the match Antonio Rüdiger. Rüdiger anakuwa defender wa kwanza kuchana malinda mala mbili kwa upande wetu Chelsea katika Premier League tangia John Terry afanye hivyo dhidi ya Fulham mwezi April mwaka 2013; mabao yote yalikuwa ya kichwa pia.
Juhudi safi kutoka kwa Reece James zinahitaji Striker mzuri, zinahitaji finisher mzuri. Tammy Abraham anaweza lakini ukweli ni kwamba hana msaada pindi team inahitaji matokeo.
Nashindwa kuelewa malengo halisi ya board, nadhani kama Roman Abramovic amechoka kufanya investments ni bora auze hisa zake alafu amchukuwe Marina na Buck aende nao..!! Nini maana ya ku appeal hiyo transfer ban kwa ku spend pesa nyingi alafu unashindwa kufanya usajili!
Anyway, first-half hususani dakika chache za mwanzo Chelsea ilikuwa imeutawala mchezo, team ilikuwa ina creat opportunities kibao ambazo zote ziliota mbawa kutokana kukosa umakini upande wa striker.
Leicester waliamka na kuanza kuwa threat, especially katika counter attack. Chelsea ilianza kupoteza momentum na kuanza kupoteza mipira kizembe katika eneo la midfield makosa yaliyopelekea Vardy kutukosa kosa na kumlazimisha Willy Caballero kufanya save moja ya hatari.
Willy Caballero alikuwa kati kati ya lango letu badala ya Kepa Arrizabalaga ambae amekuwa pazia siku za hivi karibuni.
Chelsea tuliendelea kupoteza chances, kupitia kwa Mason Mount, Tammy Abraham, pamoja na Callum Hudson-Odoi wote wakionyesha poor finishing katika hiyo game.
Baada ya kukosa chances katika first half, burudani ilihamia katika second-half ambapo mnyama mkali Antonio Rüdiger alipofunga bao safi kwa header fupi mpira uliokuwa umepikwa na Mason Mount kutokea kwenye corner dakika ya 46.
Speed ya Leicester City iliongezeka huku wakiyatumia makosa tuliyokuwa tukiyafanya katika defense hari iliyopelekea Barnes kuipatia Leicester City bao la kusawazisha dakika ya 54. Matokeo yakiwa Moja moja, team yetu ilionekana kuwa down huku Leicester City wakitumia mwanya huo kufanya attacks za haraka kitu kilichopelekea Chilwell kuongeza bao la pili katika dakika ya 64.
Chelsea tulipoteza matumaini kabla ya AntonioRüdiger kuipandia tena freekick iliyopigwa na Mason Mount dakika ya 71 na kufanya matokeo kuwa mbili kwa mbili.
Uwanjani kulikuwa na mabadiliko manne yaliyokuwa yamefanywa na Frank Lampard kutoka katika league game, Lampard alikuwa amemuanzisha big Willy Caballero mbele ya Kepa Arrizabalaga huku Pedro Rodriguez akianza mbele ya Willian.
Substitutions zilikuwa Willian upande wa Pedro Rodriguez, Mateo Kovačić upande wa Jorginho. Then Ross Barkley upande wa Tammy Abraham.
Kwa matokeo haya Chelsea tunabakia nafasi ya nne kwa tofauti ya points nane dhidi ya Leicester City walioko nafasi ya tatu. Wanaotutuatia tumewaacha points saba na wote wakiwa na points 34.
Next up team itakwenda katika Winter break kwa muda wa week mbili, then tukirejea tutakuwa na games tatu za nyumbani ndani ya siku nane. Tutaanza na Manchester United, Tottenham, na baadae dhidi ya Bayern Munich.
KTBFFH
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee Haaland matches 3 magoal 7TAMMY ABRAHAM:- Mpira wa kufundishwa, mpira wa vitabuni
HAALAND:- Kipaji/Mpira wa kuzaliwa nao
AGE doesn't MATTER
EXPERIENCE doesn't MATTER, but
TALENT is EVERYTHING.
Sent using Cash Money Wings
Sijuo scout wetu wanafanya kazi gani now tangu aondoke emiliano
nilitaka ajue kupiga mahesabu na sio kutuletea propaganda kwamba tumeshinda mechi moja kwenye tanoWote mmepoteza pointi tisa
Scout wetu wana makengeza, wanaona mbilimbiliSijuo scout wetu wanafanya kazi gani now tangu aondoke emiliano
Na yule mmama sijui anafanya kazi gani muhuni alikuwa peter kenyon ambae alikuwa na uwezo wakuingilia deal la mchezaji yeyote yule
Sent using Jamii Forums mobile app
ktk context ya mechi ya leo kusema tuna weakness kwenye set pieces ina maana tumefungwa kwenye set pieces na ndivyo nilivyoelewa wakati ukweli ni kwamba tumeboresha kujilinda kwa set pieces kwa sababu hatukufungwa goli la set pieces
Na tukaimprove kwenye set pieces n corner magoal yote leo yametokana na corner na set piecesktk context ya mechi ya leo kusema tuna weakness kwenye set pieces ina maana tumefungwa kwenye set pieces na ndivyo nilivyoelewa wakati ukweli ni kwamba tumeboresha kujilinda kwa set pieces kwa sababu hatukufungwa goli la set pieces
Tuweke vzr kumbukumbu had mwisho wa msimu
Man U wamesajili vizuri kuliko Chelsea na jana tumeona matunda, Arsenal na ninyi mmesajili January vizuri kuliko Chelsea, tunawasubiri leo tuone matokeo. Nakiri kwamba Arsenal mna safari ndefu hadi top 4 kwa sababu itabidi Chelsea ipoteze tu na nyie mshinde tu na tena itabidi mpambane na timu shindani 10 zikiwemo Mancity, Lecester city na Chelsea ambao tayari wako top 4Tuweke vzr kumbukumbu had mwisho wa msimu
"It's a decision I've made and I think with goalkeepers it's one I don't take lightly." Some tough playing decisions to be made by Frank Lampard as Caballero starts in goal and Tammy Abraham plays through the pain barrier.
Wengine wako below average kubali au kataChelsea tuna average players wengi sana.
Sent using Cash Money Wings