Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 16,025
- 27,365
Ndugu zangu wa Chelsea imefika muda tubadilike sasa. Huu ni wakati wa kujenga timu ya ushindani mpaka misimu hata 4 na zaidi. Anavhokifanya Lampard ndio kinawashinda fans wengi wa hii timu ni swala la muda tu lakini sisi tunakosa uvumilivu wengi wanachojua ni kalalama tu. Ni kweli inauma kufungwa na midtable teams hasa nyumbani lakini nomba tumuamini Lampard anajua anachokifanya. Hakuna kitubkilikua kinakera kama msimu huu unafanya vizuri then msimu unaofuata ni matatizo mfano kipindi cha Anceloti, Mou na Conte yote ni sababu hakukua na timu ya muendelezo (UJENZI) Kulikua na timu ya kukupa matokeo ukija msimu mwingine wachezaji wamechoka.
Hata Liver nao walianza ivi ivi wkabezwa lakini leo ndio anaongoza kwa kutembeza vichapo kwa sisi tuliowabeza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Liver nao walianza ivi ivi wkabezwa lakini leo ndio anaongoza kwa kutembeza vichapo kwa sisi tuliowabeza.
Sent using Jamii Forums mobile app