Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,156
- 14,118
Ushindi wa Mashaka unapatikana kwa mtu aliyebebwa
Ushindi wa Mashaka unapatikana kwa mtu aliyebebwa
Kama ulivyofanya kwa kuwafumua Manure,Bournmouth,Southampton,Everton hahahaaaaaaaa aiseeeeeehWe dogo mimi ndio mbabe wa wote EPL yote kwa decade nzima. Kwa iyo sina mbabe nakufumua wewe na wengine wote mnaotapatapa kama nilivyokfanya wiki liyopita.
Sent using Jamii Forums mobile app
AiseeeeehhhhWanaume tumekaa tunajadili timu yetu, wewe unapita mbele yetu na kanga moja imelowa maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani bila mbeleko ya yule refa aiseeh tungewakeketa kwa chupa hawaNadhani mmeona mchezaji wenu wa 12 wiki iliyopita alichofanywa..... Japo hamuwezi lizungumzia hilo,ila ushindi wenu ulikuwa wa mashaka.
Mbona umeshindwa kutufungaYaani bila mbeleko ya yule refa aiseeh tungewakeketa kwa chupa hawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan kwa nini huyo refa kapewa rungu..?Siku zote hata mwanaume akimtongoza demu akimkosa ataanza kusingizia mara demu mwenyewe mbaya hana mvuto
ndo wewe sasa unafanana na aina hiyo ya wanaume umeshindwa kutufunga ulikuwa unaongoza kwa dk 83 na baada ya dk 90 umegongwa viwili unaanza kusema kuwa refa ametubeba
Mpira hauko hivyo unavyoonekana hauna ukomavu wa mpira Mbona umeshindwa kutufunga
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni rumours tu!According to the Express, Chelsea are planning a move for young CSKA Moscow striker Fyodor Chalov this month as Frank Lampard seeks to bolster his side for the second half of the season.
The paper reports the Blues are plotting a £20million January move for the Russian after postponing plans to sign Timo Werner from RB Leipzig and Moussa Dembele from Lyon.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mbeleko ile......
Wewe nakufumua hilo rinda bila huruma hyo tar 21,hifadhi hii comment
Sent using Jamii Forums mobile app
Watakaa sawa tu hata roma haikujengwa siku moja, mbona liver wanasajili wakina minamino
Watakaa sawa tu hata roma haikujengwa siku moja, mbona liver wanasajili wakina minamino
Inaweza ikalipa.Biashara hiyo ITALIPA FAIDA au ITAKATA MTAJI? View attachment 1310763
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kumbe nyie mlikuwa mademu kwetu hahahahaSiku zote hata mwanaume akimtongoza demu akimkosa ataanza kusingizia mara demu mwenyewe mbaya hana mvuto
ndo wewe sasa unafanana na aina hiyo ya wanaume umeshindwa kutufunga ulikuwa unaongoza kwa dk 83 na baada ya dk 90 umegongwa viwili unaanza kusema kuwa refa ametubeba
Mpira hauko hivyo unavyoonekana hauna ukomavu wa mpira Mbona umeshindwa kutufunga
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah tulipeleka £34 wakareject, Now tumepeleka £40 wamereject tena.
Sasa kumbe nyie mlikuwa mademu kwetu hahahaha
Chelsea si salama kwa watu kama hawa....... Hataki kufuata nyayo za bakayoko..... Labda asenali angeshawishika
Nyie ndio demu...... Mademu ndo wanabebwa na kuhongwa.... Ladies first...
Ulipeleka na naniDah tulipeleka £34 wakareject, Now tumepeleka £40 wamereject tena.
Tuwape Giroud na hela basi.
Hivi Timo werner dau lake sijui litakuwa ngapi.
Sent using Jamii Forums mobile app