Na tukishinda leo afu akaja kutuchapa? Afu valencia naye akaja kuchapwa na Ajax nan atasonga
Katika hili kundi inavyoelekea H2H results ndio itakayoamua nani asonge na nani abaki
Ili Chelsea iwe na uhakika wa kusonga mbele ni lazima washinde kwa goal difference ya 2 kwenda juu ili H2H results yake iwe bora Zaidi ya Valencia hata kama Valencia wakiwafunga Ajax kwenye mchezo wa mwisho
Kama Chelsea ikishinda kwa goli moja na Valencia wakawafunga Ajax 1-0, Chelsea inasonga mbele
Kama Chelsea ikidraw halafu Ajax vs Valencia wakadraw, Chelsea itasonga mbele
Hayo yote tunategemea leo Ajax atashinda na Chelsea atafungwa na Lile mchezo wa mwisho
Kama Chelsea akimfunga 1-0 na kwenye mchezo wao na Ajax akashinda 2-0 bado Chelsea itasonga mbele ila
Kama Valencia akimfunga 3-0 Valencia anasonga mbele
Ila kama Chelsea atashinda leo 1-0 na akamfunga Lile Chelsea atasonga mbele kwa sababu lazima mchezo wa Ajax na Valencia umtoe mshindi mmoja atakayeungana na Chelsea kwa sababu Chelsea atakuwa na point 13 ambazo ni timu moja tu kati ya hao wawili wenye uwezo wa kufikia.
Mchezo wa leo ni muhimu Chelsea kushinda 2-0 au tofauti ya 2 ili akate ngebe, hata Valensia wakiwafunga goli 1000 Ajax watatoana wenyewe, matokeo yao hayataiadhiri Chelsea kwa sababu watakuwa wanapunguziana H2H GD wenye
Akishinda 3-0 Ajax na Chelsea wanakwenda, Akishinda 4-0 Valencia anakwenda ajax anabaki