Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yaani hili jukwaa mapema yote hii limedorola sasa ngoja tupige vuruguView attachment 1270989
Hapo wamepoteza game moja tu baad ya muda mrefu kupita. Sas msimu wa xmass ndo huwa wanapotea kabisa humu yaan timu shabik wake wanaroho ndogo sana. kuna mwingine hapa mtaa kunakipind mpk akajifanya anashabikia Barca yaan habar za Chelsea alikua hatak kbs juz ndo karud chelsix
 
Zeru zeru anapenda kutuonea sana. Kila tukikutana lazima hatufanye nyama. Jamaa ana hasira na chelsea

Nakiri kwamba this round hatutafunga timu kubwa. May be next round tukafanya wonders

Comeonchelsea
Mwaka jana alikuwa wapi huyo De Bryune tulipombikiri Man City 2 - 0 ?

Kama si kuwashwa washwa ni nini hasa kinachokutesa rohoni mwako?
 
yani wenyeji wamekimbia jukwaa lao na kuwaacha wageni wakivinjari kila chumba dah kweli kufungwa noma
 
Hapo wamepoteza game moja tu baad ya muda mrefu kupita. Sas msimu wa xmass ndo huwa wanapotea kabisa humu yaan timu shabik wake wanaroho ndogo sana. kuna mwingine hapa mtaa kunakipind mpk akajifanya anashabikia Barca yaan habar za Chelsea alikua hatak kbs juz ndo karud chelsix
Ushajisahaulisha nawe kuwa ulishawahi kulambwa 6 - 4 na Arse8 tena chini ya Arsene Wenger hadi usijiite mwenyewe Liversix?
 
Ushajisahaulisha nawe kuwa ulishawahi kulambwa 6 - 4 "2003" na Arse8 tena chini ya Arsene Wenger hadi usijiite mwenyewe Liversix?
Hapo wamepoteza game moja tu baad ya muda mrefu kupita. Sas msimu wa xmass ndo huwa wanapotea kabisa humu yaan timu shabik wake wanaroho ndogo sana. kuna mwingine hapa mtaa kunakipind mpk akajifanya anashabikia Barca yaan habar za Chelsea alikua hatak kbs juz ndo karud chelsix
 
Zeru zeru anapenda kutuonea sana. Kila tukikutana lazima hatufanye nyama. Jamaa ana hasira na chelsea

Nakiri kwamba this round hatutafunga timu kubwa. May be next round tukafanya wonders

Comeonchelsea
Ng'olo Kante mwaka jana aliwanyuka Man City katika kumbikiri 2-0 na mwaka huu tena kawalamba Man City, usijitekenye huku unacheka mwenyewe we kilaza
 
Hapo wamepoteza game moja tu baad ya muda mrefu kupita. Sas msimu wa xmass ndo huwa wanapotea kabisa humu yaan timu shabik wake wanaroho ndogo sana. kuna mwingine hapa mtaa kunakipind mpk akajifanya anashabikia Barca yaan habar za Chelsea alikua hatak kbs juz ndo karud chelsix
Remember yourself
Screenshot_20191124-161156.jpeg
 
Hapo wamepoteza game moja tu baad ya muda mrefu kupita. Sas msimu wa xmass ndo huwa wanapotea kabisa humu yaan timu shabik wake wanaroho ndogo sana. kuna mwingine hapa mtaa kunakipind mpk akajifanya anashabikia Barca yaan habar za Chelsea alikua hatak kbs juz ndo karud chelsix
Remember yourself
Screenshot_20191124-161216.jpeg
 
Chelsea is no longer the big team in Europe,

Tutapigwa na kila timu ambayo iko serious

kuna watu wanaamini tutabadilika tukianza kusajili, msijidanganye

Tatizo la timu ni kocha(kocha amepewa timu kubwa wakati ana mentality ya kufundisha timu ndogo, hii ndio sababu tutaendelea kuzishinda timu ndogo tu, ila timu kubwa zitatuadhibu kila siku)

Shida ni Lampard anaeamini hadi sasa tammy anaweza kuifunga Liverpool na man city wakati batshuay yupo.
 
Football ni mchezo wa mbinu bro, First half Chelsea ilitawala na ikawa hatari sana ikiwa na mpira , midfield ya city ilizidiwa pande zote , ila second half city walisoma mchezo wetu na kubadili plan, hapa ndipo wengi wanashindwa kuelewa nn kilitokea , ... City walipress Chelsea (kukaba kuanzia juu) tight marking kati ya midfield , kilichokuja kutuponza Chelsea ni kukosa maarifa ya ziada ya kupiga mipira mirefu kutokea golini kwetu, timu yetu ilishindwa kumove kwani mpira ulipoanziwa kwa zouma au watu wengine , umeona umekabwa , kwa nn usifanye long balls? Point city wakamaliza game pale jorginho alipotoka kwani hakukua na through pass za kutosha , all in all Chelsea bado tuna safari hasa tunapocheza na timu zenye waalim wenye kuusoma mchezo ma kuubadili kwa haraka, Frank bado anahitaji uzoefu zaid hapo he is doing good.
 
Hahahah... wewe jamaa unachekesha umati... yaani unamponda Abraham huku ukimpraise barshuay. Haupo serious kabisa yani...
Chelsea is no longer the big team in Europe,

Tutapigwa na kila timu ambayo iko serious

kuna watu wanaamini tutabadilika tukianza kusajili, msijidanganye

Tatizo la timu ni kocha(kocha amepewa timu kubwa wakati ana mentality ya kufundisha timu ndogo, hii ndio sababu tutaendelea kuzishinda timu ndogo tu, ila timu kubwa zitatuadhibu kila siku)

Shida ni Lampard anaeamini hadi sasa tammy anaweza kuifunga Liverpool na man city wakati batshuay yupo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom