Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hahahah... wewe jamaa unachekesha umati... yaani unamponda Abraham huku ukimpraise barshuay. Haupo serious kabisa yani...
Tammy ni mzuri lakini si mchezaji wa kutegemea kwenye mechi kubwa,

mtazame Tammy anayecheza na Liverpool au Man United si yule anayecheza na Southampton.
 
Hayo ni mawazo yako aiseee na yanaweza yasiwe na ukweli wowote. Kuna mifano miwioi mikubwa ambayo kama ukishindwa kunielewa basi hayo yatakuwa ni matatizo yako....

1. July mwaka 2008 Guardiola alikuwa appointed kama Kocha wa barcelona. Akitokea Barcelona B. Alikaa misimu minne na ndani ya hiyo misimu minne kilichotokea nadhani unakifahamu.

2. January 2016 Zidane alikuwa appointed kama kocha wa Real Madrid. Amekaa misimu miwili na nusu. Na ndani ya huo muda nadhani unafahamu kilichotokea...

Tukirudi kwa upande wa chelsea. Honestly mimi hata kama chelsea ingefanya vibaya msimu huu wala hata nisingejisikia vibaya. Hasa kutokana na transfer ban na kuwa na wachezaji wengi ambao hawana experience. Nadhani tunapaswa kushukuru hata kwa hiki ambacho Lampard ameamua kutuonesha.

Hebu wewe tuambie labda unadhani ni kocha gani angeletwa hapo timu ingekuwa juu zaidi ya hapo ilipo???

Chelsea is no longer the big team in Europe,

Tutapigwa na kila timu ambayo iko serious

kuna watu wanaamini tutabadilika tukianza kusajili, msijidanganye

Tatizo la timu ni kocha(kocha amepewa timu kubwa wakati ana mentality ya kufundisha timu ndogo, hii ndio sababu tutaendelea kuzishinda timu ndogo tu, ila timu kubwa zitatuadhibu kila siku)

Shida ni Lampard anaeamini hadi sasa tammy anaweza kuifunga Liverpool na man city wakati batshuay yupo.
 
Tammy ni mzuri lakini si mchezaji wa kutegemea kwenye mechi kubwa,

mtazame Tammy anayecheza na Liverpool au Man United si yule anayecheza na Southampton.
Wala siyo kama namsifia tammy... Ila kwa kifupi chelsea tunahitaji striker nyingine... uza Batshuay uza Giroud then tununue striker kaliba ya akina Diego Costa.

Huyo Tammy akila benchi matches kadhaa akili itakaa sawa.
 
Hayo ni mawazo yako aiseee na yanaweza yasiwe na ukweli wowote. Kuna mifano miwioi mikubwa ambayo kama ukishindwa kunielewa basi hayo yatakuwa ni matatizo yako....

1. July mwaka 2008 Guardiola alikuwa appointed kama Kocha wa barcelona. Akitokea Barcelona B. Alikaa misimu minne na ndani ya hiyo misimu minne kilichotokea nadhani unakifahamu.

2. January 2016 Zidane alikuwa appointed kama kocha wa Real Madrid. Amekaa misimu miwili na nusu. Na ndani ya huo muda nadhani unafahamu kilichotokea...

Tukirudi kwa upande wa chelsea. Honestly mimi hata kama chelsea ingefanya vibaya msimu huu wala hata nisingejisikia vibaya. Hasa kutokana na transfer ban na kuwa na wachezaji wengi ambao hawana experience. Nadhani tunapaswa kushukuru hata kwa hiki ambacho Lampard ameamua kutuonesha.

Hebu wewe tuambie labda unadhani ni kocha gani angeletwa hapo timu ingekuwa juu zaidi ya hapo ilipo???
mkuu point yangu ni mentality ya kocha na si uchanga wake
Lampard ana falsafa nzuri lakini kichwa yake haina plan B, ndio maana hata kwenye mechi na Liverpool alikuwekea watoto kina Mason Mount na Tammy

NB: natamani tungepata kocha aina ya allegri au conte.
 
Sasa angecheza nani?
mkuu point yangu ni mentality ya kocha na si uchanga wake
Lampard ana falsafa nzuri lakini kichwa yake haina plan B, ndio maana hata kwenye mechi na Liverpool alikuwekea watoto kina Mason Mount na Tammy

NB: natamani tungepata kocha aina ya allegri au conte.
 
Hayo ni mawazo yako aiseee na yanaweza yasiwe na ukweli wowote. Kuna mifano miwioi mikubwa ambayo kama ukishindwa kunielewa basi hayo yatakuwa ni matatizo yako....

1. July mwaka 2008 Guardiola alikuwa appointed kama Kocha wa barcelona. Akitokea Barcelona B. Alikaa misimu minne na ndani ya hiyo misimu minne kilichotokea nadhani unakifahamu.

2. January 2016 Zidane alikuwa appointed kama kocha wa Real Madrid. Amekaa misimu miwili na nusu. Na ndani ya huo muda nadhani unafahamu kilichotokea...

Tukirudi kwa upande wa chelsea. Honestly mimi hata kama chelsea ingefanya vibaya msimu huu wala hata nisingejisikia vibaya. Hasa kutokana na transfer ban na kuwa na wachezaji wengi ambao hawana experience. Nadhani tunapaswa kushukuru hata kwa hiki ambacho Lampard ameamua kutuonesha.

Hebu wewe tuambie labda unadhani ni kocha gani angeletwa hapo timu ingekuwa juu zaidi ya hapo ilipo???
Umeongea vyema shida ya mashabiki wa miaka hii ya 2010 na kuendelea hawana uvumilivu kabisa yaani wanashindwa kuchukua mfano mzuri wa mashabiki wa liverpool tangia mwaka 1989-1990 hajawahi kuchukua Epl na mpaka sasa bado wanaendelea kuishabikia liverpool

wanataka mafanikio ya haraka sana na tena kwa chelsea hii ambayo imefungiwa kusajili wanaanza kulaumu kocha hafai

Kweli nimeamini kuna mashabiki maandazi humu na umetoa mifano mizuri kuanzia hapo kwa pep
 
Hayo ni mawazo yako aiseee na yanaweza yasiwe na ukweli wowote. Kuna mifano miwioi mikubwa ambayo kama ukishindwa kunielewa basi hayo yatakuwa ni matatizo yako....

1. July mwaka 2008 Guardiola alikuwa appointed kama Kocha wa barcelona. Akitokea Barcelona B. Alikaa misimu minne na ndani ya hiyo misimu minne kilichotokea nadhani unakifahamu.

2. January 2016 Zidane alikuwa appointed kama kocha wa Real Madrid. Amekaa misimu miwili na nusu. Na ndani ya huo muda nadhani unafahamu kilichotokea...

Tukirudi kwa upande wa chelsea. Honestly mimi hata kama chelsea ingefanya vibaya msimu huu wala hata nisingejisikia vibaya. Hasa kutokana na transfer ban na kuwa na wachezaji wengi ambao hawana experience. Nadhani tunapaswa kushukuru hata kwa hiki ambacho Lampard ameamua kutuonesha.

Hebu wewe tuambie labda unadhani ni kocha gani angeletwa hapo timu ingekuwa juu zaidi ya hapo ilipo???
Mkuu kuna baadhi ya mashabiki ya Chelsea wana upeo mdogo sana

Ivi kweli walitegemea kuwa tutamfunga man city kwake?

Msimu uliopita tukiwa na hazard na rudiger ndan lakin tulikula sita, sasa leo tungemfungaje hatuna hazard wala rudiger wala cheek na tumezuiwa kusajili

Mimi mpaka kesho nampa kongole sana Lampard bila yeye saiz tungekuwa tunaburuza mkia

Hata top ten tungekuwa tunaisikia kwa majiran tu
 
Alafu mashabiki hawa mandazi wa Chelsea wako humu tu ndan huku mtaan mashabiki wa Chelsea kwanza hata wanashangaa tumefikaje top 4 yaan hawaamini
Umeongea vyema shida ya mashabiki wa miaka hii ya 2010 na kuendelea hawana uvumilivu kabisa yaani wanashindwa kuchukua mfano mzuri wa mashabiki wa liverpool tangia mwaka 1989-1990 hajawahi kuchukua Epl na mpaka sasa bado wanaendelea kuishabikia liverpool

wanataka mafanikio ya haraka sana na tena kwa chelsea hii ambayo imefungiwa kusajili wanaanza kulaumu kocha hafai

Kweli nimeamini kuna mashabiki maandazi humu na umetoa mifano mizuri kuanzia hapo kwa pep
Sasa humu unakutana na mashabiki wavimba macho tukipoteza tu mechi moja wanahamishia lawama kwa Abraham, sijui lampard siyo na bra bra kibao
 
Hiyo plan B unayoitaka wewe ni ipi?
mkuu point yangu ni mentality ya kocha na si uchanga wake
Lampard ana falsafa nzuri lakini kichwa yake haina plan B, ndio maana hata kwenye mechi na Liverpool alikuwekea watoto kina Mason Mount na Tammy

NB: natamani tungepata kocha aina ya allegri au conte.
Na kama siyo mason na Tammy ulitaka acheze nan?
 
Hiyo plan B unayoitaka wewe ni ipi?Na kama siyo mason na Tammy ulitaka acheze nan?
Anadai etty awe anaanzishwa mitch B na je kama akishindwa huyo MB aanzishwe nani?


Wakati tumefungiwa usajili na bado utasikia watu wengine wakisema mara kocha hafai mara abraham hamna kitu

Sasa nashindwa kumwelewa vizuri huyu ni shabiki wa chelsea die hard au ndo wale timu ikiyumba wanaamia timu nyingine
 
Wewe naona unaonaga raha ukimwaga pumba, raha yako sio lazima iwe raha yangu. Wengine tuna vipaumbele na hujui unaongea na mtu wa kaliba ipi? Sio kila shabiki wa mpira ni lazima aende kwenye makusanyiko ndipo afurahie mpira. Wewe kwa kaliba yako ya kupenda ubishi huko kwenye makusanyiko ni saizi yako
Huna lolote
 
Pep Guardiola has praise Chelsea after they dominated possession despite losing 2-1 to Manchester City on Saturday

The home team registered only 46.74% possession, the lowest figure ever recorded by a side coached by Guardiola in any of his 381 top-flight games as a manager. That includes his 127 Premier League matches in charge of City, as well as 152 La Liga outings as Barcelona boss and 102 Bundesliga contests while at the helm of Bayern Munich.
 
Hahahah... wewe jamaa unachekesha umati... yaani unamponda Abraham huku ukimpraise barshuay. Haupo serious kabisa yani...
Hao ni wale mamluki, tukirudi kwenye wining way atabaki tu Dully Jr yule mwenye roho ngumu
 
Wala siyo kama namsifia tammy... Ila kwa kifupi chelsea tunahitaji striker nyingine... uza Batshuay uza Giroud then tununue striker kaliba ya akina Diego Costa.

Huyo Tammy akila benchi matches kadhaa akili itakaa sawa.
Mimi namuamini sana Tammy, magoli yake mengi yanabase kwenye blunders za mabeki. Akikutana na mabeki wasio na blunders fursa zake za kufunga zinakuwa finyu. Uzuri wake hizo blunders zikitokea hakosei. Hata kama tutasajili striker mwingi kitu ambacho hakikwepeki lakini Tammy bado wa muhimu. Mchezaji anayekupa goli 10 kwa mechi 12 (au goli 20 kwa mechi 24 au goli 30 kwa mechi 36 -projections) OGOPA sana
 
Mkuu kuna baadhi ya mashabiki ya Chelsea wana upeo mdogo sana

Ivi kweli walitegemea kuwa tutamfunga man city kwake?

Msimu uliopita tukiwa na hazard na rudiger ndan lakin tulikula sita, sasa leo tungemfungaje hatuna hazard wala rudiger wala cheek na tumezuiwa kusajili

Mimi mpaka kesho nampa kongole sana Lampard bila yeye saiz tungekuwa tunaburuza mkia

Hata top ten tungekuwa tunaisikia kwa majiran tu
Yaani umeongea pointi, tuangalie improvement ya timu badala ya kuwa na illusion ya kumfunga city kwake. Ndio maana nilisema Chelsea walicheza vizuri, walimnyang'anya Pep mpira 53%, ilibidi City atumie plan B kufunga magoli ili asipate aibu mbele ya mashabiki wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom