Stonesrain
Member
- Nov 19, 2019
- 56
- 53
Muulize vizuri mkuu,inawezekana fyuzi imekata anatetemeka baada ya kusikia Special One katimba London tenaIvi wewe jamaa kichwani zimo kweli?
Muulize vizuri mkuu,inawezekana fyuzi imekata anatetemeka baada ya kusikia Special One katimba London tenaIvi wewe jamaa kichwani zimo kweli?
Fuatilia jambo kwa makini kwanza ndio uje kuandika mkuuHawa wachezaji hawako na furaha kuichezea tena Spurs
Hao ndio injini ya timu na hawako na furaha wengine walitaka kuhama tangu msimu uliopita, wote tunajua jinsi Ericksen alivyotaka kutoka na inawezekana kawekewa kizingiti na sasa hana furaha
- Eriksen
- Vertonghen
- Alderweirld,
- Danny Rose
Pulisic mbion kuikosa Man city sababu ya majeruhi ya Nyonga yanayomsumbua
Na ni wageni humu au wavamizi. Hatujui hata wanashabikia timu gani hizi forums zingekuwa kama za WhatsApp au group za facebook, mgeni akija lazima kwanza afanyiwe interview ili kujua yeye ni wa upande gani na kama ana akili timamuWataalamu wa mpira tulishakuelewa mkuu. Uko ryt
Na hao wachezaji wasio na furaha mikataba yao inaishia 30 June 2020, Danny na Eriksen wamekataa kusaini mikataba mipyaVijana wa tatu-mzuka ni ngumu sana kuelewa mambo, ukandika kitu kabla ya kuprocess kwenye ubongo wanafyatua kama hazimo. Niliongelea hapa wachezaji wasio na furaha ndani ya Tot wao wakakimbilia kwa Kane mara Son mara Dele Alli kana kwamba hao wachezaji mimi siwajui.
Ngoja niweke kwa maneno marahisi ukishindwa kuelewa hapa basi sina msaada mwingine
Hawa wachezaji ni muhimu kwenye timu ya Tot ya wakati wa Pochettino na hawana furaha ya kuichezea Tot
Hawa wachezaji ni muhimu kwenye timu ya Tot ya wakati wa Pochettino na wana furaha ya kuichezea Tot
- Eriksen
- Vertonghen
- Alderweirld,
- Danny Rose
- Harry Kane
- Dele Alli
- Son Heung-min
Yasr A dHyHii mechi ni ngum sana hasa kwa upande wetu , inatubidi tushambulie kutafuta goli na pia kucheza kwa uangalufu mkubwa ili tusifungwe na kupoteza point 3 muhimu kwetu.
Tujikumbushie 2014 wakati Lampard anaichezea Man City na tulipoenda pale Etihad, Lampard aliifungia Man city goli la kusawazisha hadi baadhi ya mashabiki wakaishiwa na uzalendo na aliporudi darajani January 2015 akakutana na ujumbe pichani hapo chini. Hata baada ya Lampard kutoshangilia hilo goli lakini bado walimwita msaliti. Je Lampard atatuhakikishia kwamba wakati ule hakukusudia kutuumiza?
Shabiki moja wa Chelsea akimsema Lampard msaliti kupitia bango baada ya Lampard kuwafungia City goli la kusawasisha walipocheza Etihad 2014 kwenye mechi mojawapo ya EPL
Huenda Sterling hatocheza sababu ya ile ban ya match moja aliyopigwa... ila hata mimi binafsi nilipenda apangwe Reece James badala ya Azplicueta.Itapendeza kama james atapangwa badala ya Azipuleta ili akimbizane na kile kiberenge Stelling.
Azipuleta ameshachoka Stelling atamsumbua sana.
Nimekusoma sana we jamaa ni much know alafu ni empty set......Na ni wageni humu au wavamizi. Hatujui hata wanashabikia timu gani hizi forums zingekuwa kama za WhatsApp au group za facebook, mgeni akija lazima kwanza afanyiwe interview ili kujua yeye ni wa upande gani na kama ana akili timamu
Utakuta hata kutuliza sodo hujui alafu unajitia mtaalamu wa mpira dahhhh.....jitu likiwa nyuma ya kibao mbonyeo linakuwa jasiri linaweza hata kupambana na simba....Wataalamu wa mpira tulishakuelewa mkuu. Uko ryt
Acheni kumshushia heshima alzipicueta Kuna jembe linalokaba zaidi ya hili huyo mtu wenu mnamjaza upepo bure game Kama hizi nikwaajili ya experience player.Huenda Sterling hatocheza sababu ya ile ban ya match moja aliyopigwa... ila hata mimi binafsi nilipenda apangwe Reece James badala ya Azplicueta.
Ndio umeandika nini sasa ????Vijana wa tatu-mzuka ni ngumu sana kuelewa mambo, ukandika kitu kabla ya kuprocess kwenye ubongo wanafyatua kama hazimo. Niliongelea hapa wachezaji wasio na furaha ndani ya Tot wao wakakimbilia kwa Kane mara Son mara Dele Alli kana kwamba hao wachezaji mimi siwajui.
Ngoja niweke kwa maneno marahisi ukishindwa kuelewa hapa basi sina msaada mwingine
Hawa wachezaji ni muhimu kwenye timu ya Tot ya wakati wa Pochettino na hawana furaha ya kuichezea Tot
Hawa wachezaji ni muhimu kwenye timu ya Tot ya wakati wa Pochettino na wana furaha ya kuichezea Tot
- Eriksen
- Vertonghen
- Alderweirld,
- Danny Rose
- Harry Kane
- Dele Alli
- Son Heung-min
Sio vizuri kuitana majina ya ajabu ajabu mara tatu mzuka mara manini sijui ...sio vema kabisa kudharau wengine kwasababu ya vitu vidogovidogo....wapo wanaojua sana soka na wanapita tu humu kimyakimya wanasoma comment wanatembea na wanaosababisha hayo ni hawa wanaojifanya wajuaji kuliko wengine....Hawana cha kupoteza maana kuna watu wanakula na kufanya maisha yao kupitia haya mambo...kama yeye mjuaji si aende akafanye uchambuzi huko ktk magazeti,tvs na radio akalipwa sio kutupigia kelele na dharau hapa na vihabari vyake vya kuungaunga...Aisee tunajenga nyumba moja, tusinyang'anyane fito wazee.
Umaarufu wa nini sasa mkuu? Mbona unachekesha,hivi mtu akisema kweli ndio anatafuta umaarufu?Huyu jamaa wa kupuuzwa anatafuta umaarufu hapa