Happycuit
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 646
- 542
Kwahiyo kaka mkubwa kama mtu akiwa fan wa Chelsea ndio haruhusiwi kukupinga pamoja na upupu wote huo unaoutoa hahahahaha aiseeeee katika majitu majinga ya hapa Chelsea basi wewe ni mmoja wapo.Hivi hizo digrii nne zenu ndio munataka kufunga mpaka fikra za wengine.Kijana wacha kuropoka, kama ni Chelsea uwe na kituo wakati unaongea sio kuja kuungana na waadhirika na sisi hatutaweza kukutofautisha
Una mengi ya kujifunza mzee hili ni jukwaa huru
