Stonesrain
Member
- Nov 19, 2019
- 56
- 53
Mimi ni Spurs die hard fan,kwani ulitaka kila mtu awe fan wa Chelsea mkuu?We jamaa sio Chelsea fan
Mimi ni Spurs die hard fan,kwani ulitaka kila mtu awe fan wa Chelsea mkuu?We jamaa sio Chelsea fan
Umepanic bure kijana. RelaxNimekusoma sana we jamaa ni much know alafu ni empty set......
USIDHARAU USIYEMJUA KAMWE....
nimekupa elimu hiyo sasa ni hiyari yako kuitumia,
Humu wengi hatujuani unaweza kuta unamsemea mbovu baba yako mzazi au mumeo.....
Dah kumbe wana mna roho mbaya kiasi hikiWavamizi ni kuwapiga tanganyika jeki kuwarudisha kwenye timu zao Arsenal na Man u
Nimekusoma sana we jamaa ni much know alafu ni empty set......
USIDHARAU USIYEMJUA KAMWE....
nimekupa elimu hiyo sasa ni hiyari yako kuitumia,
Humu wengi hatujuani unaweza kuta unamsemea mbovu baba yako mzazi au mumeo.....
Utakuta hata kutuliza sodo hujui alafu unajitia mtaalamu wa mpira dahhhh.....jitu likiwa nyuma ya kibao mbonyeo linakuwa jasiri linaweza hata kupambana na simba....
Ndio umeandika nini sasa ????
Hawana furaha uliingia katika mioyo yao???au munashare bedsheet????
Fuatilia yako haya ya Spurs huyawezi
Kwanza yeye alijuaje kama kuna watu hawana furaha ni kaka zake au ni watoto wa mjomba wakeSio vizuri kuitana majina ya ajabu ajabu mara tatu mzuka mara manini sijui ...sio vema kabisa kudharau wengine kwasababu ya vitu vidogovidogo....wapo wanaojua sana soka na wanapita tu humu kimyakimya wanasoma comment wanatembea na wanaosababisha hayo ni hawa wanaojifanya wajuaji kuliko wengine....Hawana cha kupoteza maana kuna watu wanakula na kufanya maisha yao kupitia haya mambo...kama yeye mjuaji si aende akafanye uchambuzi huko ktk magazeti,tvs na radio akalipwa sio kutupigia kelele na dharau hapa na vihabari vyake vya kuungaunga...
Sorry mkuu nilichanganga...Mkuu aliyepigwa ban ni benardo sio sterling
Acheni kumshushia heshima alzipicueta Kuna jembe linalokaba zaidi ya hili huyo mtu wenu mnamjaza upepo bure game Kama hizi nikwaajili ya experience player.
Ndio umeandika nini sasa ????
Hawana furaha uliingia katika mioyo yao???au munashare bedsheet????
Fuatilia yako haya ya Spurs huyawezi
Kwanza yeye alijuaje kama kuna watu hawana furaha ni kaka zake au ni watoto wa mjomba wake
Aache ujuaji wake
Hapana mkuu,nipo normal tu,Umepanic bure kijana. Relax
Katika FIFA 20 team, Jadon Sancho amemchagua Lampard awe manager wake, je hii ina maana anakuaj darajani au?
Jadon Sancho sends Chelsea hint with his FIFA 20 Ultimate Team
The Borussia Dortmund winger is reportedly a keen gamer and has even been playing FIFA 20 Ultimate Team.www.football.london
Itapendeza kama james atapangwa badala ya Azipuleta ili akimbizane na kile kiberenge Stelling.
Azipuleta ameshachoka Stelling atamsumbua sana.
We jamaa sio Chelsea fan
Kijana wacha kuropoka, kama ni Chelsea uwe na kituo wakati unaongea sio kuja kuungana na waadhirika na sisi hatutaweza kukutofautishaHahahhaaaaa
Huyo hajui hata tomori anacheza namba ngapi pale Chelsea alafu anasema ni mtalam wa mpira
Ni kweli Reece ana advantage zaidi ya Azpi kukabiliana na SterlingItapendeza kama james atapangwa badala ya Azipuleta ili akimbizane na kile kiberenge Stelling.
Azipuleta ameshachoka Stelling atamsumbua sana.
Wewe akili zako ni fupi sana, @lembuMBUMBU yaani ni mbumbumbu na jina lako linaakisi ulivyo.....Kijana wacha kuropoka, kama ni Chelsea uwe na kituo wakati unaongea sio kuja kuungana na waadhirika na sisi hatutaweza kukutofautisha