Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyu kijana wa kimarekani atakosesha watu namba kaanza na odoi loftus akirudi mount atakuwa na wakati mgumu sana maana dogo kuna mechi anapotea kabisa kama ile ya ajax
 
nimekubali mkuu,unajua sana mpira.
Achana nao mkuu, agenda yao ya kwanza ilikuwa kwamba Chelsea atamaliza nafasi ya 10, baadae wakasema timu haiingii top 6, Mara baada ya mechi tukiwa top 6 tutabeba ubingwa. Ila yote hayo wameona walikosea. Inawauma moyoni timu zao zikidhoofika kila siku. Hayo maneno yao yasikusumbue ni msongo Wa mawazo unaowasumbua
 
Nyie si ndio hamuwajui Hernan Crespo na Gudjohnson hahahahaaaa sasa kama hao wachezaji wa juzi tu huwajui utawajua kina Celestin Babayaro,TAF,Zola,na kina Didier Deschamps nyie Generation ya kina Mason Mount na Odoi ni kwikwi aseeeehhhh
Akina flo... Jimmy Floyd... Noma Sana Chelsea ile
 
Achana nao mkuu, agenda yao ya kwanza ilikuwa kwamba Chelsea atamaliza nafasi ya 10, baadae wakasema timu haiingii top 6, Mara baada ya mechi tukiwa top 6 tutabeba ubingwa. Ila yote hayo wameona walikosea. Inawauma moyoni timu zao zikidhoofika kila siku. Hayo maneno yao yasikusumbue ni msongo Wa mawazo unaowasumbua
Tushampiga crystal palace kitambo sana
 
Pulisic 5 goals in 3 games.
Kwani kuna mtu anateseka
chelseafc-20191109-0001.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom