interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,409
Sasa uyu City tumuombee mabaya au tumuombee mema![]()
Adui muombee njaa namba mbili ni patamu sana mkuu
Huwezi kumuona humu, anateseka na garasha lake pepeAARON anateseka sana, kwani unamuona siku hizi akija humu ndani ya CHELSEA THREAD na ule utabiri wake uchwara?
Ni kweli kabisa lakini MAN CITY akishatokaga kufungwa mechi 1 huwa ni mbogo sana kwa mechi inayofuata, ebu weka rekodi zake hapa tokana na hoja yangu Bosi ili uone niko sahihi.Mancity timu ya kawaida sana, mabeki wawe makini tu na akina Aguero na Stearling
Valencia tunacheza naye baada ya man city. Itakuwa tar 27. Man city tunacheza naye tar 22. Hapo katikati kuna international break. Joginho amwpumzika sababu ya kuwa na yellow card 5...
Man city leo afungwe, Leicester afungwe tukae nafasi ya 2.
Mechi ijayo kitaeleweka tuu. Kuanzia kesho LAMPARD aanze kuangalia video za man city uchezaji wao.
Ni mzuri, ila usisahau kuwa tuna mechi na Valencia wiki kesho ugenini. Na hivyo ilikuwa lazima Joginho na Azpillicuta wapumzike
Ayseee...Huwezi kumuona humu, anateseka na garasha lake pepe

Tuombe Arsenal leo washinde na kesho man city na liver watoe draw ili wote wapoteze point 2
Hahahahahahahahah Tukutane kesho machinjioni ANFIELD.Ni kweli kabisa lakini MAN CITY akishatokaga kufungwa mechi 1 huwa ni mbogo sana kwa mechi inayofuata, ebu weka rekodi zake hapa tokana na hoja yangu Bosi ili uone niko sahihi.
Arsenal hatoki king power! Lazima apigwe.Tuombe Arsenal leo washinde na kesho man city na liver watoe draw ili wote wapoteze point 2
Sasa uyu City tumuombee mabaya au tumuombee mema![]()
LIVERPOOL Vs MAN CITY ni gemu ngumu sana kwa LIVERPOOL 7bu MAN CITY hatakubali kuachwa point 9 na kukaa chini ya CHELSEA na LEICESTER CITY.
Atakubali tu
Ikitokea hivi itakuwa furesh sana ..Sema sasa aya maarsenal mpka dkk ya sabini uko utakuwa yashaongozwa tatu uko..Tuombe Arsenal leo washinde na kesho man city na liver watoe draw ili wote wapoteze point 2