Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mechi inayofuata mnaenda Etihad mechi ya iliyopita Ya ligi kwenye uwanja huo mlikula sita bila hata la kufutia machozi
Man City akifungwa na Iiverpool hiyo mechi itakuwa ngumu sana kwetu Chelsea, lakini kama watashinda basi itaweza kuwa 50% kwa 50% kimatokeo.
 
Valencia tunacheza naye baada ya man city. Itakuwa tar 27. Man city tunacheza naye tar 22. Hapo katikati kuna international break. Joginho amwpumzika sababu ya kuwa na yellow card 5...
Ni mzuri, ila usisahau kuwa tuna mechi na Valencia wiki kesho ugenini. Na hivyo ilikuwa lazima Joginho na Azpillicuta wapumzike
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom