Nilichokiona game yetu ya jana Vs Newcastle.

Hawa jamaa ni wagumu sana kuanzia back line yao kiungo mpaka washambuliaji kiukweli wakati game inaanza nilikua sifikirii kama tutapata clean sheet though nilijua ushindi tutapata. Kiuchezaji kwa kuangalia mfumo wao waliingia na 5-4-1 yan nadhan walijidhatiti kuja kutafuta point darajani kama siyo ushindi basi draw ukizingatia na sisi mfumo tuliotumia 4-3-3 na ndio maana tulimiliki mpira lakini bado ilikua ngumu kuwafunga kwa sababu ya solidness ya back yao.

Upande wetu kwenye backline naona bado kuna mapungufu japo tunazifi kuimarika. Pair anayoitaka Lampard bafo haijapatikana lakini jana Zouma alijitahidi tofauti na siku za nyuma nadhani majeruhi wakipona wanaweza kuwa msaada. Mwisho naomba niwe wa kwanza kusema Barkley auzwe January, CHO anakuja kuwa mchezaji hatari EPL, Pulisic the best is yet to come, wengine wote tunafahamu shughuli yao.
Newcastle wana kipa mkuu aisee acha mchezo yaani kipa kawasave sana kulikuwa na goal 3 jana pale basi tu.
 
Kitu kibaya kwa Wachezaji hawa Youngsters ni Consistency

Hawa wanakuwa vizuri msimu wa kwanza na pengine wa pili, Lakini wakiingia Kuanzia msimu wa pili au pengine wa tatu na wakisainishwa professional contract ndiyo wanaanza kula Bata na Mademu wakali na Kupotea.

Ni wachache sana ndiyo wanaoibukia na Talents wakiwa Madogo na kudumu kwenye Consistency
Inawezekana unachokisema kisiwe sahihi. Lampard alisajiliwa Chelsea 2011 kutoka West Ham akiwa na miaka 22 lakini aliwaka miaka yake yote akiwa Chelsea na kuwa mfungaji wa magoli ambaye hajawahi kutokea.
 
Inawezekana unachokisema kisiwe sahihi. Lampard alisajiliwa Chelsea 2011 kutoka West Ham akiwa na miaka 22 lakini aliwaka miaka yake yote akiwa Chelsea na kuwa mfungaji wa magoli ambaye hajawahi kutokea.
Naongezea sio kwamba chelsea itawategemea Sana young players cos Chelsea lazima watasajili, kwa young player ataetaka kuwa regular kwenye kikosi ni lazima apambane na usajili mpya
 
Yuko sahihi sana nadhani Lampard ni wachache walio maintain kiwango chao ila walio wengi wanashindwa kumaintain pale walipoanzia. Hebu muangalie Sterling toka alipianza mpaka sasa ndio anazidi kunoga kama mvinyo lakini kamuangalie Rashford jinsi anavyozidi kukua utafikiri ndio anaelekea kusaafu.

Maintenance ni kazi sana kwa hawa madogo.
Inawezekana unachokisema kisiwe sahihi. Lampard alisajiliwa Chelsea 2011 kutoka West Ham akiwa na miaka 22 lakini aliwaka miaka yake yote akiwa Chelsea na kuwa mfungaji wa magoli ambaye hajawahi kutokea.
 
Inawezekana unachokisema kisiwe sahihi. Lampard alisajiliwa Chelsea 2011 kutoka West Ham akiwa na miaka 22 lakini aliwaka miaka yake yote akiwa Chelsea na kuwa mfungaji wa magoli ambaye hajawahi kutokea.

Shida yako ni kitu kimoja tu! Nilipotaja Youngsters umekariri ni asilimia 100%...

Kwani sijui Kuwa Gerrard alianza kuika Liverpool akiwa youngster na akadumu kwenye Consistency?
 
Sasa nani aliyesema kuwa atujui historia ya timu yetu ya chelsea
Nyie si ndio hamuwajui Hernan Crespo na Gudjohnson hahahahaaaa sasa kama hao wachezaji wa juzi tu huwajui utawajua kina Celestin Babayaro,TAF,Zola,na kina Didier Deschamps nyie Generation ya kina Mason Mount na Odoi ni kwikwi aseeeehhhh
 
Sasa hilo sio mimi kuna mdau humu kwenu anauitaga huu ni ushindi wa tabu hahahahaaaaaa.....yaani 1 - 0 kwake ni ushindi wa tabu.
Magoli ya kufunga 1 wao sifuri
Posession 72% wao 22%
Short on target 8 wao sifuri
Kona 11 wao sifuri
 
Back
Top Bottom