Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Kuna mtu hapa anaitwa King Ngwaba alibishana na mimi juu ya ubora wa Norwich. Niliwaambia hakuna timu yenye defense zembe EPL kuliko Norwich sasa wao ndio wameshika mkia kwa kuchapwa 2-0 na timu ambayo haikuwahi kushinda tangu ligi ianze
Sijui waliwafungaje Man City maana tangu wawafunge Man City hawa jamaa wanabugizwa tu
Nakubali kushindwa
Nilihadalika na Five match wonder Mr Pukki
Kwa wakati ule usishangae kumfunga Man City! Pukki alikuwa ni zaidi ya Messi kwenye mechi 5 mwanzo

