interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,409
Kiujumla hii mechi ya leo Chelsea wamefeli tu 100%
MTU anaefurahia huu ushindi ana element za element za kishoga..
MTU anaefurahia huu ushindi ana element za element za kishoga..
Mwanaume hafurahiagi ujinga..Mm dume kwelikweli hahahahahaha
We nyau wa manure United uko wapi?Dume zima linafurahia ujinga
Yani duniani kuna mawatu ya ajabu sana, huwezi kuridhika kirahisi rahisi tu hivyo kuwa Chelsea ni timu kubwa kiushindani ilihali hata msimu mmoja tu haijamaliza kimafanikio chini ya Lampard.Mkuu punguza jazba, inaonekana huyo jamaa alikukera sana kuonesha mahaba mbele.
Na dakika ni ya 55, naona tutakula 7 leo ili akili zitukae sawa vichwani![]()
Kipa hatuna kabisa, bado hajafikia hata 25% ya ubora kwa Peter Check.Kipa wetu kwanini wasile hasara wampeleke mkopo
Yani duniani kuna mawatu ya ajabu sana, huwezi kuridhika kirahisi rahisi tu hivyo kuwa Chelsea ni timu kubwa kiushindani ilihali hata msimu mmoja tu haijamaliza kimafanikio chini ya Lampard.
Je vipi epl top 6 ishawahi kuifunga timu gani chini ya Lampard?
Ishachukua kombe gani chini ya Lampard?
Je ishaeleweka kuwa na football consistency bora sawa na Man City au Liverpool?
So kuna mahabuba wa mpira walio vilaza na washabiki wa mpira waliobobea kiuchambuzi na kuangalia mbali zaidi.
Na hao vilaza hapa ndio wamejaa,Yani duniani kuna mawatu ya ajabu sana, huwezi kuridhika kirahisi rahisi tu hivyo kuwa Chelsea ni timu kubwa kiushindani ilihali hata msimu mmoja tu haijamaliza kimafanikio chini ya Lampard.
Je vipi epl top 6 ishawahi kuifunga timu gani chini ya Lampard?
Ishachukua kombe gani chini ya Lampard?
Je ishaeleweka kuwa na football consistency bora sawa na Man City au Liverpool?
So kuna mahabuba wa mpira walio vilaza na washabiki wa mpira waliobobea kiuchambuzi na kuangalia mbali zaidi.
We nyau wa manure United uko wapi?
We sasa ndiwe Mshabiki unayeiangalia timu kwa jicho la 3 siyo wengine tunashabikia kimihemuko tu bila ya kuangalia mapungufu yetu...USAJILI
1. Beki wa kulia (Azipuleta apumzike)
2. Beki wa Kushoto (Alonso apangwe baadhi ya match)
3. Kiungo Mkabaji (kusaidiana na kante)
4. Mbadala ya willan/pedro wakiondoka
5. Mshambuliaji mkali wa kusaidiana na Tammy.
Lazima hizo nafasi zifanyiwe usajili kuongeza upana wa kikosi na ushindani wa wachezaji.

Na hao vilaza hapa ndio wamejaa,
Leo cheltako lazima ale mkono hahahaha
Afadhali tumemalizana nao vizuri huku tukiwa bado tunaongoza kundi, hao Valencia na Lile tutaelewana nao tu, hata kwa magoli ya mkono tutasonga mbele. Hakuna mtu kwenda Europa hapaAise Ajax ni balaa ..kundi bado gumu mnoo
Umefikia ngapTUNAHESABUView attachment 1255106
Zaha ni winga na atakuwa replacement nzuri ya akina pedro na willian kama willian ataondoka, ila kama willian atabaki, Zaha sio wa muhimuHuyo Zaha sijui wa nini kwa sasa Chelsea.
Inatakiwa kivyovyote vile tumpige Valencia au ata draw ili wakikutana wao ajax na Valencia wapambane kivyao..Afadhali tumemalizana nao vizuri huku tukiwa bado tunaongoza kundi, hao Valencia na Lile tutaelewana nao tu, hata kwa magoli ya mkono tuitasonga mbele. Hakuna mtu kwenda Europa hapa
Wamekurudisha nini, maana ulitekwa..Umefikia ngap