Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mzee wa busara nadhani ungewaambia hao wenyewe unaowaona tumewakwaza. Wao ndio waanzilishi wa yote haya sasa tukijibu mapigo tunaonekana sisi ndio waanzilishi.

Halafu nadhani sijamwambia mtu kitu kibaya kumuita akili fupi ni ukweli sasa kama kusema ukweli ni kumkwaza mtu natanguliza samahani.

Mkuu unanijua sana au????ingoja nikae kimya
 
Mara Ole soskjar ni mbovu... sawa hatujakataa, Wachezaji wao pia ni wabovu kuliko wenu, Ila tunauliza je mlivokutana Head to Head vipi ilikuaje????

Sisi tunajua mmecheza game mbili thn goal aggregate ni 6-1, ..bado tu unashindwa kuwapa credit !!

Kweli humu kuna viazi nimeamini

Mkuu hayo majamaa ni mabumbunda kabisaaaaahayanaga point aiseeh yaani mtu kukubali mmezidiwa hawezi anabaki kuleta visingizio tele🤭🤭

Mara sijui Tomoro mara uefa mara chupilacueta hayupo shubamit

Viazi na nusu nyie
 
Ushabiki wa mpira sio matusi wala kukwaza tujadili mpira matusi na makwazo tuweke pembeni-ni mimi mzee wa busara

Tatizo ni utoto mwingi wapo katika stage za ukuaji mkuu🤣🤣🤣🤣waache maana wasipopitia now hii stage watakuja kuipitia ukubwani katika style nyingine kabisahapo ndio huchelewi kuona mtu alikuwa vizuri utotoni ila ukubwani anakuja kuwa bwabwa
 
Mimi nikiisha ona mtu ana pumba na anadakia tu uzi hata hajulikani ni timu gani anashabikia namuacha tu namchukulia kama vile ha exist

Tatizo wewe foreighner so kunijua mimi ni mshabiki wa timu gani huwezi mpaka kamba ya mguu ikitoke mzee
 
Tatizo hawajui utani hawa jamaa.....yaaninavuta picha kama tungekuwa tunaonana watu wa humu wangekuwa wa kwanza kurusha ngumi
emoji38.png
emoji38.png
emoji38.png
Wakati wenzenu England Epl mechi ikiisha makocha wanakumbatiana na wachezaji wanapongezana
 
Hawa Liverpool na Man City wanabahati mno, dakika za lala salama ndo wanachomoa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom