Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

chelseafc-20191102-0002.jpg

3 points
 
Katika jukwaa hili hakuna mtu mwenye haki ya kuniita mimi akili fupi mkuu nilishasema hapo juu rudia tena kusoma

99.9% ya raia wa humu ni vilaza wa kutupa,aseme hivyo mtu wa Liver au Utd ambao wana uelewa wa soka,hata ukiingia ktk majukwaa yao unaona watu wanazungumza vya maana sio hapa munaotaka kuaminisha watu munavyoviaminiutalikuta jitu lipo bize linafananisha Tomori na VVD🤭🤭

Vip Arsenali huko hali yenu ikoje. Nenda kasaidie kujenga timu mkuu. Rafiki yako Aaroon kashajipiga ban.
 
MATEO KOVACIC, huenda babu SARRI alikuwa hajajuwa namna nzuri ya kumtumia na kumfanya aonekane kuwa bora zaidi.... Ila SUPER FRANKIE naona amefanikiwa sana katika kumtumia KOVACIC.

He's a master class midfielder, performance ya hali ya juu toka kwake.

Tena sana aisee. Sipati picha kante akirudi nani atakula bench. Lets wait and see
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom