Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

ukicheza futuhi akili nazo zinakuwa vivyo hivyo.
Katika washangiliaji wa liver viazi basi wewe ndio rais wao,
Huezi mkuta shabiki hasa wa liverpool anakuwa na akili mbovu kama zako.....jifunze kwa wenzio,unawadhalilisha dogo
 
Katika washangiliaji wa liver viazi basi wewe ndio rais wao,
Huezi mkuta shabiki hasa wa liverpool anakuwa na akili mbovu kama zako.....jifunze kwa wenzio,unawadhalilisha dogo
Na katika mashabiki wa Arsenal mbatata wewe ni mfalme wao. Kajifunze hata kwa Aaron mzee. Hana huu ufala kama wako. He is very respectable pal.
 
Na katika mashabiki wa Arsenal mbatata wewe ni mfalme wao. Kajifunze hata kwa Aaron mzee. Hana huu ufala kama wako. He is very respectable pal.

Unajivunjia heshima unataka kuheshimiwa????pumbavu kabisa wewe,

Kanuni yangu unavyokuja ndio naenda na wewe hivyohivyo kengemaji wewe
 
Bure kabisa.

Usilazimishe watu wenye akili zao waamini umburula wako kijana,hapa jukwaani hakuna mtu niliyewahi kumtusi wala kumsemea mbovu zaidi ya utani wa kishabiki ambao umezoeleka maana hawa mimi ni watani zangu tupo jiji moja London,,,,sasa nakushangaa wewe sijui umetokea wapi aiseeeeehhh

Au ndio umekuja na UPEPO WA KISULISULI
 
1. Kwa taarifa yako msimu huu Chelsea ndo team ya kwanza kumfunga ajax. Alikuwa hajafungwa na team yoyote in all competitions.

2. Kwa mara ya kwanza baada ya miaka miwili na miezi Ajax wanashindwa kuscore katika home ground.

3. Chelsea hajafungwa katika previous 9 away games in European competitions including match ya jana. The last time amefungwa away ilikuwa ni Camp Now mwaka mwaka 2018 kwenye 16 bora.

4.

Nikikumbuka zingine nitaendelea kuandika. Ila utapendeza kama ukituletea record za arsenal. Otherwise bora ukae kimya.

Record za Arsenal hazitoshi hapa mkuu,tutajaza severwe endelea kuokoteza okoteza vijirekodi unaweza fikia hata robo ya Arsenal
 
Fungu la kukosa kapambane FUTUHI naona una matatizo mengi hata hatuelewani.

Unakakamaza misuli ya kichwa kutoelewa wakati unaelewa vizuri tu...nadhani hiyo Futuhi ndio iliyokweka ulipo na unarudi ulipotoka soon🤣🤣🤣
 
Na wewe umeweka rekodi ya kuandika pumba humumbona hiyo huiandiki?
Katika haya maelezo niambie pumba ni ipi??
"The last time that Ajax lost at home and failed to score was August 2017 when the stadium was a different name and Rosenberg won 1-0 in south Amsterdam. "
Kama hujui kimombo ngoja niweke kwa kiswahili
"Mara ya mwisho Ajax kufungwa nyumbani kwake na kushindwa kufunga bao ilikuwa ni Agosti 2017 wakati uwanja wao ukiwa na jina jingine na Rosenberg aliposhinda kwa 1-0 kusini mwa Amsterdam"
 
Chelsea amecheza UEFA baada ya kushika nafasi ya 3 kwenye ligi. Alichofanya akawazibia na ninyi kule Baku. Na tangu kipigo cha BAKU mashabiki wengi wa Arsenal akili zenu ziliyumba
Unakakamaza misuli ya kichwa kutoelewa wakati unaelewa vizuri tu...nadhani hiyo Futuhi ndio iliyokweka ulipo na unarudi ulipotoka soon
 
Unakakamaza misuli ya kichwa kutoelewa wakati unaelewa vizuri tu...nadhani hiyo Futuhi ndio iliyokweka ulipo na unarudi ulipotoka soon
Chelsea alikuwa wa 3 kwenye msimamo wa epl 2018/2019 hata kama asingebea EUROPA lazima angecheza UEFA tu. Acha kujitoa akili.
 
Huyu Dully Jr mwacheni tu, betri zitaisha chaji kama Aroon alivyoishiwa hatumuoni humu tena, maana sisi Chelsea tunaendelea kukata umeme tu
 
Huyu Dully Jr mwacheni tu, betri zitaisha chaji kama Aroon alivyoishiwa hatumuoni humu tena, maana sisi Chelsea tunaendelea kukata umeme tu
Hahahaha mkuu utasubiri sana tena sana kwa hilo kutokea,kwani huna timu hiyo......

Angalau ungekuwa na timu inayofanana na ile ya kina CECH,ASHLEY COLE,TERRY,CARVALHO,MAKELELE,ROBBEN,DECO,DROGBA n.k ila sio hii ya tomori,zouma,barkley na batshuay
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom