Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,937
- 27,200
How much does Molinga mwenye rasta cost us compared to Pepekale?Batshuay ni moringa mwenye rasta
How much does Molinga mwenye rasta cost us compared to Pepekale?Batshuay ni moringa mwenye rasta
Jijibu mwenyewe kwani wewe ndio unajua Moringa mwenye rasta kasajiliwa lini na ana muda gani chelsea,How much does Molinga mwenye rasta cost us compared to Pepekale?
Cc. Southern HighlandBatman jana kafanya vizuri lakin kamwe usije ukamuamin batshuayi, kuna kipindi utataman mpka apate majeruhi ya mwaka mzima... nakukumbusha kamwe kamwe usimuamin batshuayi...
Batman hajui ku control mpira, hajui ku dribble, changa hajui na hata kijiposition ni 50%.. Ndio maana kila anapoenda anakuwa na poor performance
Teh Arsenal Fans u ok mentally? Kama uliyajua yote haya kwa nn ukaanza kumponda? Huo unaouita upuuzi jana umenipa point tatu hicho kipepe kimekupa nini?Jijibu mwenyewe kwani wewe ndio unajua Moringa mwenye rasta kasajiliwa lini na ana muda gani chelsea,
Then Nico Pepe kasajiliwa lini na ana muda gani Arsenal....usifananishe Pepe na upuuzi.....
Tatizo wewe hujaelewa kiini cha comment yangu,kuna mtu alikuja mbio kule juzi kisa Pepe alikosa goli la wazi....sasa katika kumuonesha kuwa hakustahili kuja kupiga kelele ndio nikamletea mfano wa batshuay kupaisha akiwa yeye na lango,Teh Arsenal Fans u ok mentally? Kama uliyajua yote haya kwa nn ukaanza kumponda? Huo unaouita upuuzi jana umenipa point tatu hicho kipepe kimekupa nini?
Hizi records tunazitoa makusudi ili wenye wivu kama wewe wajinyonge AU wale wembe AU wale pilipili na waache kuja kusodoa hukuNayo ni rekodi?????!!!!!!
Bat alijirekebisha akafunga je Pepe alijirekebisha?Tatizo wewe hujaelewa kiini cha comment yangu,kuna mtu alikuja mbio kule juzi kisa Pepe alikosa goli la wazi....sasa katika kumuonesha kuwa hakustahili kuja kupiga kelele ndio nikamletea mfano wa batshuay kupaisha akiwa yeye na lango,
Sasa wewe unaleta habari za kufananisha hawa watu kiuwezo jambo ambalo mwenzako anayejielewa hapo juu kakufafanulia vizuri tu......
Kwa hiyo ShaffihDauda ndie sourc e yako kwa timu za Ulaya?Isingelikuwa ban, nadhani mngekuwa mpo zaidi ya hapo.View attachment 1243404
Kwa takwimu za mazenzeTulete ushabiki wa mpira, lakin sio maswala ya IQ hiko ni kitu kingine kabsa... lampard hata 1000 bora hafiki kwenye maswala ya IQ
1. Kwa taarifa yako msimu huu Chelsea ndo team ya kwanza kumfunga ajax. Alikuwa hajafungwa na team yoyote in all competitions.Nayo ni rekodi?????!!!!!!
Ameleta toka transferMarket. Wewe kwa akili yako ukadhani yeye ndo katunga?Kwa hiyo ShaffihDauda ndie sourc e yako kwa timu za Ulaya?
Zikilingana pointi huwa wanaangalia head to head, goal difference nadhani ni option ya mwisho kama hawakufungana kama sijakosea.uefa timu zikilingana magoli huwa wanaangalia head to head kuamiua nani akae juu
Masaa 12 yaliyopita nilishaandika alicho andika huyo jamaa. Wewe sijui husomagiKama kawaida niliwahi kusema siku za nyuma kuhusu Batshuayi yan anahitaji akose hata nafasi 4 ili apate goli moja. Sasa kwa uwepo wa Pulisic na jinsi timu inavyocheza inamsaidia sana Batshuayi kuficha makosa yake. Jana kuna open chance alikosa kama angetumia vizuri nafasi anazopata angefunga zaidi ya goli mbili.
Huyu jamaa siyo reliable kwa sababu ipo siku timu italemewa tutakua hatutengenezi nafasi kabisa na ndipo utaona mzigo uliopo nadhani anahitaji kufanyia kazi finishing zake ili aweze ku improve zaidi.View attachment 1242708
Fungu la kukosa kapambane FUTUHI naona una matatizo mengi hata hatuelewani.Tatizo wewe hujaelewa kiini cha comment yangu,kuna mtu alikuja mbio kule juzi kisa Pepe alikosa goli la wazi....sasa katika kumuonesha kuwa hakustahili kuja kupiga kelele ndio nikamletea mfano wa batshuay kupaisha akiwa yeye na lango,
Sasa wewe unaleta habari za kufananisha hawa watu kiuwezo jambo ambalo mwenzako anayejielewa hapo juu kakufafanulia vizuri tu......
Mueleweshe huyo FUTUHI inamchanganyaBat alijirekebisha akafunga je Pepe alijirekebisha?
Hizi records tunazitoa makusudi ili wenye wivu kama wewe wajinyonge AU wale wembe AU wale pilipili na waache kuja kusodoa huku









mbona hiyo huiandiki?Mueleweshe huyo FUTUHI inamchanganya
ukicheza futuhi akili nazo zinakuwa vivyo hivyo.Eeeh we si unamuona uyo alivyo![]()
ukicheza futuhi akili nazo zinakuwa vivyo hivyo.
Jijibu mwenyewe kwani wewe ndio unajua Moringa mwenye rasta kasajiliwa lini na ana muda gani chelsea,
Then Nico Pepe kasajiliwa lini na ana muda gani Arsenal....usifananishe Pepe na upuuzi.....