Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea VS Ajax

Pulisic created as many chances in 24 minutes as any other Chelsea player (3) and
Batshuayi had more shots (4) than any other player on the pitch. Those two subs completely and utterly changed the game. Frank Lampard deserves enormous credit.
 
Chelsea VS Ajax

They have the best defense and the most goals scored too.
They were unbeaten across all competitions before tonight.
 
Chelsea ilimkosa best defensive midfielder in the world ngolo kante lakini pengo lake dhidi ya Ajax haikuonekana kovacic na jorginho walikichafua ile mbaya hi ndo maana ya kocha wakati kipindi Cha sari na Conte tukimkosaga tu kante Chelsea inakuwa nyepesi na Mara nyingi tunapotesaga point Tena kwa team za kawaida tu ila kwa lampard bila ya kante it is possible
 
Chelsea VS Ajax
Nilichogundua hawa akina Tammy na Mount hawawezi game kubwa ofcourse kwa sababu ya uzoefu. Alipoingia Batshuayi mbele ilionekana very simple wakati Tammy alibanwa kisawasawa.
Japo Tomori alimuweka sawa yule winger wao hatari anaitwa Hakim Ziyech
 
Chelsea FC younger generation

They have a genuine golden generation coming through and if the Blues nurture them properly and augment them well with imports then Chelsea could become a European superpower much sooner than people would have imagined.
 
Chelsea VS Ajax
Nilichogundua hawa akina Tammy na Mount hawawezi game kubwa ofcourse kwa sababu ya uzoefu. Alipoingia Batshuayi mbele ilionekana very simple wakati Tammy alibanwa kisawasawa.
Japo Tomori alimuweka sawa yule winger wao hatari anaitwa Hakim Ziyech
Kwa Abraham sawa Ila kwa mount ujaona shughuli alikuwa anafanya mount alikuwa anakabia juu lakini pia alikuwa anafanya movement without ball
 
Mungu fundi aiseeeeeh
Kuna dogo mmoja alikuja mbiombio kule ktk jukwaa la timu kubwa kuonesha Nico Pepe alivyokosa clear chance,,,,sasa muda mfupi uliopita batshuay yeye na goli kapiga mnazi
Picha zinakuja.

This is ️ so punguza ngenga kabla hujavuka mto.....

Semeni Thanks VAR


La sivyo mngeandaa maana moto wake usingezima kirahisi
Batshuayi kafunga goli la ushindi.. Halafu leo unasema tushukuru VAR ile game yetu na Liver uliwaambia waseme ahsante kwa VAR? Mahaba yenu ni motomoto
 
Kama kawaida niliwahi kusema siku za nyuma kuhusu Batshuayi yan anahitaji akose hata nafasi 4 ili apate goli moja. Sasa kwa uwepo wa Pulisic na jinsi timu inavyocheza inamsaidia sana Batshuayi kuficha makosa yake. Jana kuna open chance alikosa kama angetumia vizuri nafasi anazopata angefunga zaidi ya goli mbili.

Huyu jamaa siyo reliable kwa sababu ipo siku timu italemewa tutakua hatutengenezi nafasi kabisa na ndipo utaona mzigo uliopo nadhani anahitaji kufanyia kazi finishing zake ili aweze ku improve zaidi.
IMG_20191024_065338.jpeg
 
Chelsea - Ajax Thoughts:

• Kova, Jorginho, Mount all good
• Alonso held his own
• Azpi good defensively
• Tomori very good
• Zouma nervy but solid
• CHO & Willian struggled
• Pulisic big impact off bench
• Michy loves winners
• Great subs from Frank
• Resilient 3 pts!
 
No Chelsea player created more chances vs. Ajax than Christian Pulisic (3), despite the winger playing less than 30 minutes.

Assisted the winner. #CFC

The Best Is Yet To Come
IMG_20191024_082217.jpeg
 
Kutoka September 1 mpaka leo hii October 24 tumecheza game 9 tumeshinda game 7 tumepoteza mbili ya Valencia na ya Liverpool. Katika game hizo zote tumefunga magoli 23 pia tumefungwa magoli 8 pia tumepata Clean Sheet 3 ushindi mfululizo mechi 6, kwa mwezi huu tumebakisha mechi mbili tu kati ya Burnley tar 26 19:30 PL pamoja na Man U tar 31 saa 23:05 EFL

Kwa takwimu hizo kiukweli tuna improve sana shida ipo kuzifanyia kazi nafasi zinazotengenezwa ili kupata magoli zaidi
 
Wachezaji wa wawili walioanza walikuwa na the best rating ya 8 nao ni
  1. Zouma
  2. Kovacic
Pulisic kwa dakika 24 aliazocheza alijizolea rating ya 8 sawa na akina Zouma na Kovacic

Wachezaji wanne walioanza jana walikuwa na poor ratings ya 5 nao ni
  1. Mount
  2. Willian
  3. Tammy
  4. CHO
RJ jana kwa dakika 4 alizocheza alikuwa na poor ratings ya 5

Wengine waliobaki walikuwa na average rating ya 6 na 7
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom