Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,935
- 27,196
Chelsea sent scouts to watch Celtic vs Lazio, and observe Milinkovic-Savic.
Jana nilikuja na bandiko nikasema kuelezea sehemu ambazo tunahitaji kufanyia usajili na moja hizo sehemu nilisema ni kiungo wa kati hasa defensive midfield na hizi ndio report zilizopo kama tutafunguliwa kusajili Chelsea ilituma scouts wake kumuangalia huyu mwamba na siyo huyu tu pia Makelele ambaye ni kocha wa wachezaji wa Chelsea walio kwa mkopo alipendekeza Chelsea imsajili Ruslan Malinovskyi wa Atalanta hapo alienda kumuangalia Mario Pasalic mchezaji wa Chelsea aliye Atalanta kwa mkopo.
Jana nilikuja na bandiko nikasema kuelezea sehemu ambazo tunahitaji kufanyia usajili na moja hizo sehemu nilisema ni kiungo wa kati hasa defensive midfield na hizi ndio report zilizopo kama tutafunguliwa kusajili Chelsea ilituma scouts wake kumuangalia huyu mwamba na siyo huyu tu pia Makelele ambaye ni kocha wa wachezaji wa Chelsea walio kwa mkopo alipendekeza Chelsea imsajili Ruslan Malinovskyi wa Atalanta hapo alienda kumuangalia Mario Pasalic mchezaji wa Chelsea aliye Atalanta kwa mkopo.
tupate jembe la kusaidiana na kante kwenye ukabaji.