Chelsea ilimkosa best defensive midfielder in the world ngolo kante lakini pengo lake dhidi ya Ajax haikuonekana kovacic na jorginho walikichafua ile mbaya hi ndo maana ya kocha wakati kipindi Cha sari na Conte tukimkosaga tu kante Chelsea inakuwa nyepesi na Mara nyingi tunapotesaga point Tena kwa team za kawaida tu ila kwa lampard bila ya kante it is possible

NIWAKUMBUSHE TUU:-
1. Tulibigwa ban ya usajili
2. Tuliondokewa na Hazard
3. Tuliondokewa na kocha aliyetupa Europa trophy
4. Tuna majeruhi kibao nje
Lakini imezaliwa Chelsea mpya moto ya world class players.
Sipati picha Abromovich huko alipo anajisikiaje, hajamwaga hela ya usajili na pesa ya mauzo ya Hazard, luiz imekaa bank tuu. Timu inawasha moto.



Kutoka September 1 mpaka leo hii October 24 tumecheza game 9 tumeshinda game 7 tumepoteza mbili ya Valencia na ya Liverpool. Katika game hizo zote tumefunga magoli 23 pia tumefungwa magoli 8 pia tumepata Clean Sheet 3 ushindi mfululizo mechi 6, kwa mwezi huu tumebakisha mechi mbili tu kati ya Burnley tar 26 19:30 PL pamoja na Man U tar 31 saa 23:05 EFL
Kwa takwimu hizo kiukweli tuna improve sana shida ipo kuzifanyia kazi nafasi zinazotengenezwa ili kupata magoli zaidi
Mkuu sokoni lazima tuingie hasa beki mmoja, kiungo mmoja pamoja na kwenye attacking lazima tufanyie kazi hizi nafasi.Sure. Kwa sasa chelsea miongoni mwa club chache zinazotengeneza nafasi nyingi sana za kufunga.
Kwa kweli TAMMY anatakiwa kila match angalau asitoke bila kufunga.
Kwa muda tuliopigwa ban ya usajili Hawa mastriker wetu wajitathimini kasi yao ya ufungaji na nafasi wanazotengenezewa.
La sivyo itatulazimu tuingie sokoni kusaka stiker matata.
Tuko pamoja mkuu!Kumbe Kaka huku nako upo? Nilidhani uko kwenye siasa tu![]()
Yeah rotation ni muhimu kuongeza competence kwa kila mchezaji na pia itasaidia kupunguza specialization. Leo hii Jorginho asipikuwepo tutaanza kuwaza nafasi yake atachukua naniPia Lampand afanye rotation ili kila mchezaji ajione mwenye thamani kuichezea chelsea. Nimependa anavyofanya kwa sasa. Ili afanikiwe hasiwakumbatie waingereza kwenye stsrting XI. Hongera chama langu kwa ushindi next Barnley.
usikute anazungumzia Chelsea ya yomboUnamaanisha Chelsea hii hii inayoitwa the blues au
Anaweza kwenda MadridSawa sawa Eriksen wa Tote mwisho wa msimu anaondoka bure amekataa kusign mkataba mpya.
Tumdake dirisha la January, endapo rufaa yetu itakubaliwa.
Levy anataka €25M January
Kwa ufupi tunacheza na team B, Team A iko majeruhiNIWAKUMBUSHE TUU:-
1. Tulibigwa ban ya usajili
2. Tuliondokewa na Hazard
3. Tuliondokewa na kocha aliyetupa Europa trophy
4. Tuna majeruhi kibao nje
Lakini imezaliwa Chelsea mpya moto ya world class players.
Sipati picha Abromovich huko alipo anajisikiaje, hajamwaga hela ya usajili na pesa ya mauzo ya Hazard, luiz imekaa bank tuu. Timu inawasha moto.
Babu sari kila match na kila saa alikuwa bize kuandika kwenye kikaratasi alikuwa anaandika nini?
Batshuayi kafunga goli la ushindi.. Halafu leo unasema tushukuru VAR ile game yetu na Liver uliwaambia waseme ahsante kwa VAR? Mahaba yenu ni motomoto

alipobaki yeye na goli 🤣🤣au kwa kuwa Pepe ni mchezaji mkubwa kutoka timu kubwa ndio sababu mlikija kutoa povu kwa ile mis.....🤣🤣🤣🤣🤣nadhani sari alikuwa anaandika mistake wanazofanya wachezaji wake uwanjani. Hope alikuwa anazifanyia kazi mazoezini.
Still kila match mpaka mwisho wa msimu busy na kuandika kwenye karatasi au alikuwa anachora vikatuni?View attachment 1242884
AminaBig up chama kubwa chelsea
Mimi mtu wa Liver ila nimepitia tu huku kusalimia. Unajuwa Ajax ni wazuri sana tu ila jana nawapa sifa zote Chelsea waliifanya Ajax kuonekana team ya kawaida sana tu. Chelsea walienda kama wababe na team kubwa walicheza kwa kujiamini sana na 3 5 2 ni mfumo unawafit sana Chelsea inawachezaji wanaondana na mfumo huo. Jana Chelsea walikuwa vizuri sana tu nadhani Lampard ana future nzuri kama kocha hakuna uwoga katika uchezaji wao.