OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Wakuu inakuwaje apa tunaongoza?
ubaya wa mashabiki wa Man u hawafichikichelsea ni timu ya kuianzishia uzi apa
chelsea hata katika nne bora ktk timu zitakazo chukua taji la EPL haitambuliki
Kimzaha mzaha Chelsea tunazidi kuwa tishio.
Kama umechaniwa mkeka na miChy BatShuaY nyoosha mkono juu!!
Unarudi wewe na nani?Naona tukirudi Alhamis
Take some chill pillLeo mnafungwa au draw,yaani Chelsea bure kabisa.
Timu ina improve siku hadi siku... Vijana wanacheza Kwa jitihada na kujituma Kwa hali ya juu
Hongera sana timu nzima pamoja na benchi LA ufundi.... Bila kuwasahau wapenzi na mashabiki WA Chelsea duniani kote.

wewe timu ganiLeo mnafungwa au draw,yaani Chelsea bure kabisa.
Tushachapa mtu hukoVp mkuu kwan mechi imeshachezwa?
Boss tizama mwenyewe hapaHivi umeangalia kweli mpira au umeona matokeo tu livescore?
Inabidi tuanzie hapo kwanza.
Acha kuropoka bwana mdogo au umevimbewa makande?chelsea ni timu ya kuianzishia uzi apa
chelsea hata katika nne bora ktk timu zitakazo chukua taji la EPL haitambuliki
Mou aliwahi kusema hao ni mabingwa wa kupoteza. So usishangaeHahaha tangu juzi mikeka yako inachanika tuulimpa Liver, Man akachana ..umempa Ajax wanaume kibabe tumechana ...itakuwa pia ulikapa katimu kako arsenal ..lijanaume lililoshiba Shelfed United likachana dah..
![]()
Hahahaaaa et nimepurugutaNdo umepuruguta,ulikuwa umejificha.Mngefungwa huu uzi usingeanzisha.Haya hongereni.
Jamaa wamesajili lakin wanazidiwa na team iliyofungiwa kusajiliubaya wa mashabiki wa Man u hawafichiki
Hongeren mkuuBoss tizama mwenyewe hapa
View attachment 1242429
Point of collection!! PleaseMimi ni Man united for life.
uefa timu zikilingana magoli huwa wanaangalia head to head kuamiua nani akae juuWakuu inakuwaje apa tunaongoza?View attachment 1242419