hazard Don
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 1,229
- 1,035
Dah! Haya madogo lazima yakuibue yanapiga soka kiukweliUlikuwa umejificha,naona umeibuka.
Dah! Haya madogo lazima yakuibue yanapiga soka kiukweliUlikuwa umejificha,naona umeibuka.
Hakika mkuuLampard anairudisha Chelsea inapostahili. Ana kila mbinu ambayo kocha bora anapaswa kuwa nayo.
Kwani Asenane, Mwantesa Utd, Liverfool wanasemaje? kama wanabisha nistue niwashughulikie haraka iwezekanavyoLampard anairudisha Chelsea inapostahili. Ana kila mbinu ambayo kocha bora anapaswa kuwa nayo.

Odoi ni mchezaji bora sana,tue wavumilivu tu,ni suala la muda tu hizo chance na utoto anaoufanya vitakuwa ni assist murua na magoli bora,kutoka kwake.odoi amekosa open chance
Vp mkuu kwan mechi imeshachezwa?Aman kwenu wakuu
Hakika hii Chelsea ni noma sana yaan ni mwendo wa kujipigia tu
Yeyote ajaye mbele ni mwendo wa kunyukwa tu
Ajax kawambie wenzio kuwa sisi ni noma sana tena noma zaid ya noma
Super Frank
LONDON BOY
Kila la kheri GenkHahahahahahahahah Mabingwa wa Ulaya tunaingia uwanjani sasa.
Kumbe Kaka huku nako upo? Nilidhani uko kwenye siasa tuAsante sana Chelsea

Ni kweli ana utoto kiasi but ni best talent we have,at 18 year's.Dogo ana utoto mwingi
Leo kufanya hivyo, alivyoingia Pulisic, Chelsea imekosa kosa mabao mpaka hatimaye moja ikakubaliKabisa chief Pulisic anacheza mpira wa kipaji, mount ni kitabuni.
Pulisic anaserereka na mpira kuelekea golini kutengeneza chance za kufunga.
Mount anafanya timing kwenye kufunga.
Ni vema pulisic akaanza yeye na odoi wafanye presha golini kwa ajax tuwadhibiti wasipande kwetu.
Asenane hawezi kukanyaga huku hata kidogo. Kwa sasa wanaheshimu hii thread kuliko kawaida. Wamebaki kuomboleza kwenye Uzi wao waoKwani Asenane, Mwantesa Utd, Liverfool wanasemaje? kama wanabisha nistue niwashughulikie haraka iwezekanavyo![]()
AsanteeeeeeeehHONGERENI WANA CHELSEA WENZANGU
Mchawi wewe , na utasubiri sana na timu yako ya wafu asenaneKila lililo la kheri kwa chama langu la faida AJAX AMSTERDAM chama langu la home kabisa hili .....mimi nishaweka mzigo tayari nasubiri kuwithdraw tu