Muhindi ashakula kichwa hapa, yaani roho inakuuma tumeshinda, na bado muhindi kakutungua
Kila lililo la kheri kwa chama langu la faida AJAX AMSTERDAM chama langu la home kabisa hili .....mimi nishaweka mzigo tayari nasubiri kuwithdraw tu
Hii ndio chelsea
 
Chelsea wameimprove sana kwenye kujilinda. Akina Azpi, Tomo, Zouma na Alonso WELL DONE!
Kipindi cha kwanza kilikuwa cha ICU na nilijuwa hawa jamaa wakishindwa kutufunga kipindi cha kwanza, second half watakuja wamechoka kwa sababu walitumia nguvu nyingi sana mpaka wakapotea maboya kipindi cha pili
 
Pamoja na kucheza sana Ajax wana shots 10 tu na katika hizo on target ni 2 tu wakati Chelsea ina 16 on target 4
 
Kila lililo la kheri kwa chama langu la faida AJAX AMSTERDAM chama langu la home kabisa hili .....mimi nishaweka mzigo tayari nasubiri kuwithdraw tu
Hahaha tangu juzi mikeka yako inachanika tu ulimpa Liver, Man akachana ..umempa Ajax wanaume kibabe tumechana ...itakuwa pia ulikapa katimu kako arsenal ..lijanaume lililoshiba Shelfed United likachana dah..
 
Combination ya Pulisic na Batshuayi naona inalipa
Chelsea vs Southampton walifanya kitu kile kile
 
Nimekuambia hivyo cos hii game kwa Chelsea ni Kama fainal kwake cos ili awe sawa kipoint na Ajax ni lazima amfunge Ajax leo so atacheza kwa nguvu zake zote lakini pia Chelsea ana record nzuri against Ajax so unapokuwa una bet usipende kubet ovyo ovyo bila kuangalia mazingira ya mechi husika huo ndio ushauri wangu.

Mwenye matokeo mdomoni au mfukoni aneishi kwa kubeti hawezi fikiria ivo. Najua sasa anaona aibu na hawezi rudi. Bora hiyo pesa yake angenunua ukwaju ale
 
Back
Top Bottom