Ikiisha Ban na Chelsea kuanza kusajili wote hao Madogo watatamani siku zirudi Nyuma
Uzuri Lampard hatoi namba kwa kuangalia majina bali bidii yako kwenye mazoezi, your level of motivation na output yako. Ingekuwa hivyo Luiz asingeondoka au Mount asingekuwa anaanza over Kovacic and Barkley au Tammy asingekuwa anaanza over Giroud and Batshuaiy
 
Uzuri Lampard hatoi namba kwa kuangalia majina bali bidii yako kwenye mazoezi, your level of motivation na output yako. Ingekuwa hivyo Luiz asingeondoka au Mount asingekuwa anaanza over Kovacic and Barkley au Tammy asingekuwa anaanza over Giroud and Batshuaiy

Kitu kibaya kwa Wachezaji hawa Youngsters ni Consistency

Hawa wanakuwa vizuri msimu wa kwanza na pengine wa pili, Lakini wakiingia Kuanzia msimu wa pili au pengine wa tatu na wakisainishwa professional contract ndiyo wanaanza kula Bata na Mademu wakali na Kupotea.

Ni wachache sana ndiyo wanaoibukia na Talents wakiwa Madogo na kudumu kwenye Consistency
 
Yule jamaa wa Arsena hajaja humu. Naamini muda si mrefu anatia nanga kuleta uchambuzi wa Arsenal baada ya Arsenal kushinda.

Tujiandae kisakolojia sisi na Liverpool.
coming soon.........hahahhahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Hilo ni kweli kabisa, ila kuna watu wanadiscipline tangu udogo wao, mfano Tammy, Mount, na Tomori are disciplined boys. Ni kama TAA wenu, usitegee watadrop labda kwa sababu ya injury. Ni tofauti na akina Balotel au Kenedy
Kitu kibaya kwa Wachezaji hawa Youngsters ni Consistency

Hawa wanakuwa vizuri msimu wa kwanza na pengine wa pili, Lakini wakiingia Kuanzia msimu wa pili au pengine wa tatu na wakisainishwa professional contract ndiyo wanaanza kula Bata na Mademu wakali na Kupotea.

Ni wachache sana ndiyo wanaoibukia na Talents wakiwa Madogo na kudumu kwenye Consistency
 
Lampard today press conference

Frank Lampard on Mount's fitness: "He has got a chance, we saw
the image of the tackle afterwards and it made it look really bad. We
are trying to get him moving today. It is one I have to call later on."

Lampard on the Mount injury: "There is a lot of swelling and it didn't
look the best. Some injuries for the ankle if there's a lot of damage
there's not a lot you can do. You can strap it if it is not too bad."

Lampard on Kante's chances of playing. Fit but not match fit: "It is a
boost with N'Golo. We all know the importance for him. The
question for me is how fit he is because he has had a long time out."
Adds, what he did in Istanbul and that he will manage him for the
bigger picture

Lampard on Hudson-Odoi: "I spoke to Callum in pre-season when we
were away in Dublin. Pretty much as soon as I took the job I was in
contact with him. It felt to me it was what everyone wanted."

Lampard on Hudson-Odoi's new deal: "I know when a five-year
contract is signed is when the hard work really starts. We know he
has the talent which he has shown when he has had the opportunity
but I think there is a lot more to come.


Lampard on Hudson-Odoi seeing chances for Mount, Tomori and
Abraham: "It is a nice thing for him to see and hopefully it is
something he is hungry for. It is signed, sealed and delivered. Now
the real work starts"


Lampard unmoved by the statement of Twitter meeting football's
governing bodies after Tammy racist attacks. He says he wants
clear action and adds. "I can't stand it and it is not right. The action
is on their end."


Frank Lampard on Jurgen Klopp: "I respect him hugely it was a nice
thing to go up against him in the Super Cup. I like the way he came
into that club with his charisma."

Lampard on Van Dijk: "I think Van Dijk clearly the performances this
year have thrown him up for all the awards. Quite rightly, he is
incredible."


Lampard on Liverpool's attack: "If you give Liverpool half a second
and they are gone and can hurt you"

Lampard on being Chelsea manager: "Hard work, I expected that, I
had hard work at Chelsea last year. Chelsea is a club I love but it
hasn't taken anything away from wanting to be a success."


Lampard in good spirits despite the Valencia result: "The Wolves
game was something special for me to see. A good team
performance, the young lads from the academy were getting rightly
praised.


Lampard on Abraham and Tomori starting against Liverpool: "If they
play, yes. Van Dijk’s performances have put him right up there. It’s a
test for our centre-forward. And Tomori has shown a real calmness,
but give Liverpool one second and they have gone."


*****That was all from lampard*******
 
Kitu kibaya kwa Wachezaji hawa Youngsters ni Consistency

Hawa wanakuwa vizuri msimu wa kwanza na pengine wa pili, Lakini wakiingia Kuanzia msimu wa pili au pengine wa tatu na wakisainishwa professional contract ndiyo wanaanza kula Bata na Mademu wakali na Kupotea.

Ni wachache sana ndiyo wanaoibukia na Talents wakiwa Madogo na kudumu kwenye Consistency
Mbona naona kama unaona tofauti!
Wachezaji wenye umri mkubwa ndio wenye sifa hiyo
Chukua mfano
Willian is a great player lakini on and off ndiyo sifa yake kubwa mpaka mashabiki wana mixed thought kuhusu kupewa namba kwenye first XI
Mchezaji mwingine Pedro
At least Giroud peke yake namuona ana concistency kwa level yake
 
Mgema akisifiwa Tembo Hulitia maji
VVD baada ya kupewa sifa lukuki na nishani mbalimbali je ataendeleza ubora wake?
Sio wachezaji wengi wakipewa sifa na nishani wanabakia kwenye quality ile ile. Wengi wanadrop na kuwa wa kawaida
Je kwa errors za Napoli vs Liverpool, VVD ndio anaelekea kuwa beki wa kawaida?
Karibuni Darajani kesho kuwaona Tammy ambaye Liverpool fan wanamdharau vs very respected CD mr. VVD
 
Mechi ya kesho itategemea na game plan ya kocha, wachezaji wazuri wenye uwezo tunao
 
Yule jamaa wa Arsena hajaja humu. Naamini muda si mrefu anatia nanga kuleta uchambuzi wa Arsenal baada ya Arsenal kushinda.

Tujiandae kisakolojia sisi na Liverpool.
@ryana fan mbona mchokozi ?/

Mimi sasa hivi nasubiria tufukuze kocha kwanza , nije niwatanie vzr huku, maana sasa hivi Emery anabahatisha tu, ananinyima hata nguvu ya kuja kuwatania huku
 
Back
Top Bottom